Hayo machaguo sijui ndo ya masomo ya kufundisha yaliyopotea nasema mbona kama ni tatizo la watu wengi? Kuna mdada nimemsikia ana cha gan tukiwa kabisa alifuta somo la English ili aongeze yamepotea moja kwa mojasijakuelewa kiongozi
Itakuwa mtandao tu ukikaa sawa itakubali keep on trying until you succeedNIMEJAZA ILA PANABAKI HIVYOHIVYO
inawezekana ila aendelee kujaribu mi Nimefanikiwa usiku nilikuta Somo limerudiHayo machaguo sijui ndo ya masomo ya kufundisha yaliyopotea nasema mbona kama ni tatizo la watu wengi? Kuna mdada nimemsikia ana cha gan tukiwa kabisa alifuta somo la English ili aongeze yamepotea moja kwa moja
Ndo nauliza huu mfumo bado hauko stable??
Jarbu kubadili password huenda umekosea...Habari wakuu, nakutana hii changamoto kila nikijaribu ku- log in, Nahitaji msaada wenu tafadhali
Asante.
View attachment 1781808
Jarbu kubadili password mkuuMambo jaman najaribu kujisajiri inaniambia index no haipo sawa na ndo naiweka sahihi
kwa sasa mfumo upo inactive. huenda kuna marekebisho ya ki mfumo yana tatuliwa tusubiri mfumo ukiwa active tena kuona kama kuna mabadilikoJarbu kubadili password mkuu
umemsaidia??? umewezaje ku log in na mfumo upo inactive kwa sasa.Changamoto ya Mfumo:
- Mfumo hauwatambui waliosoma Zanzibar ndiyoma Taarifa za Zanzibar (Mikoa, Wilaya na Shule waliowahi kusomesha/Experience) hazimo kwenye Mfumo.
Enewey nimemsaidia Mtu lakini ameniambia Sehemu ya kuattach CV haipo kwenye mfumo, anayeweza kunisaidia Tafadhali.
Sasa mkuu nikuulize ukianza kujaza taarifa wanahitaji majina matatu na Mimi kwenye vyeti natumia mawili, sasa halo nachomokaje? Niandike matatu au mawili?Weka jina jinsi linavyosomeka kwenye vyeti(form 4/6)
Kama jina lako lina majina mawili, sehemu ya jina la kati haujazi kitu
Kama jina lina majina matatu, jaza sehemu zote(jina la kwanza, kati na mwisho).
Mfumo utascan namba yako ya mtihani(kama ni form 4 au 6) halafu utadisplay jina lako kamili, jina la shule pamoja na namba ya mtihani. Hadi hapo utahakiki kama vipo sawa na kuendelea mbele
Soma komenti yangu vizuri uliyoiquote, nimeeleza hicho kituSasa mkuu nikuulize ukianza kujaza taarifa wanahitaji majina matatu na Mimi kwenye vyeti natumia mawili, sasa halo nachomokaje? Niandike matatu au mawili?
Wakuu nisaidieni Napa......Sasa mkuu nikuulize ukianza kujaza taarifa wanahitaji majina matatu na Mimi kwenye vyeti natumia mawili, sasa halo nachomokaje? Niandike matatu au mawili?
Hapo ni hatua ya mwanzo ukiwa unafungua account imeingia na nikafanya hivyo ikakubali..nazungumzia ukianza kujaza taarifa binafsi wengine wanasema unajaza Kama yalivyo kwenye NIDA wengine unajaza Kama yalivyo kwenye chetiSoma komenti yangu vizuri uliyoiquote, nimeeleza hicho kitu
Umeweka majina mangapiKwangu leo inaonesha hvView attachment 1781867
Jaza kama yalivyo kwenye chetiHapo ni hatua ya mwanzo ukiwa unafungua account imeingia na nikafanya hivyo ikakubali..nazungumzia ukianza kujaza taarifa binafsi wengine wanasema unajaza Kama yalivyo kwenye NIDA wengine unajaza Kama yalivyo kwenye cheti
Nimeweka 3Umeweka majina mangapi
Ndio yaliyopo kwenye cheti chako? 😳Nimeweka 3
Weka yaliyoko kwenye cheti,mi mwanzo nlikua na matatu kwa mfumo ule wa mwanzo kipindi cha marehemu jiwe,ila jana ikabidi nifuate vile mfumo unavyotaka kwa kujaza majina yaliyoko kwenye cheti,so nikaweka mawiliNimeweka 3
IkakubaliWeka yaliyoko kwenye cheti,mi mwanzo nlikua na matatu kwa mfumo ule wa mwanzo kipindi cha marehemu jiwe,ila jana ikabidi nifuate vile mfumo unavyotaka kwa kujaza majina yaliyoko kwenye cheti,so nikaweka mawili