msouzi wa kingoni
Senior Member
- May 6, 2017
- 150
- 226
Kawaida sana nawaombaji watakuwa wengi zaidi ya 150k Kwa maana hakuna limitation ya miaka kama zile za Tamisemi Kwahiyo Cha msingi uwe under forty five ageKubabaabake kwa hiyo hata wakiwa laki moja wote wataweza kuwafanyia interview au kuna option