Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

Watu wameshanunua sukari zao kwa jumla huko wameshapigwa bei, wanazisukuma rejareja hela irudi halafu waambiwe wauze bei ambayo hata walivyonunua jumla hawakuuziwa bei hiyo? Lazima wazifiche ni mwendo wa kuuziwa kwa kujificha kama bangi.
 
Yes, hk ndo walitakiwa kufanya kama kweli wako serious, sio kuja na matamko tamko ambayo hakuna utekelezaji,,, yaan wameacha mzizi wanapapatika na matawi
 
Ikiadimika serikali inatakiwa iwachukulie hatua wanaoficha sukari.
Hawa watu sio wakuwachekea hata kidogo. Ukiona hadi awamu hii inafikia hatua hii ujue uhuni umezidi.
Haisaidii kitu, serikali iruhusu sukari nyingi kutoka nje kufidia pengo.
 
Mbona tumeyazoea haya na serikali haikuwahi kushinda, bei ndiyo kwanza zikaendelea kupanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…