raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Swali litakalo fuata ni nitapata wapi sasa kwa bei yoyote ileJibu litakua sukari Sina imeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali litakalo fuata ni nitapata wapi sasa kwa bei yoyote ileJibu litakua sukari Sina imeisha
Umesahau jukumu lako la kupongeza mkuu, utakosa kipatoToo late,walikuwa wapi siku zote
Mfumo umekubaliSwali litakalo fuata ni nitapata wapi sasa kwa bei yoyote ile
Hakuna sukari ya zuchu, kuna asali ya zuchu!.wangeacha tupangiane bei wenyewe mbona sukari ya zuchu watu wananunua tu bila kujali bei jamaa mnatuonea sna wafanyabiashara
Kama kawaida ya waTZ ni kucomplain tu! they never show gratitude!
most of complaining are in form ofrhetorical questionsHaja complain, kauliza tu walikuwa wapi muda wote ndio waje Leo.
Hata Mimi siyataki. Kwanza kabichi hayo!Acheni kunywa chai kwani lazima? kwanza inaleta matatizo kiafya nyie ndio mnafanya ipande bei
Mteja anajikuta anajiingiza mwenyewe kwenye mfumoMfumo umekubali
Mnawalaumu bure wafanya biashara wao wamenunua kwa bei ya 4000 unataka wao wakuuzie 2700? Yaani auzie hasara? Sukari kuadimika ni wafanya biashara hawanunui sukari sababu wanahofu watapata hasara.. kama hapa unavyoona tamko limetoka bei elekezi wakati na yeye alinunua kwa bei juu.. unataka auze kwa bei elekezi wakati anamzigo mkubwa alinunua kwa bei kubwa?..Ikiadimika serikali inatakiwa iwachukulie hatua wanaoficha sukari.
Hawa watu sio wakuwachekea hata kidogo. Ukiona hadi awamu hii inafikia hatua hii ujue uhuni umezidi.