Serikali yatangaza bei ya kikomo ya Sukari; ipo kati ya Tsh. 2,600 na Tsh. 3,200 kwa kilo kutegemea na Mkoa


Mbona hawakutaja Chato watanunua kwa shilingi ngapi?
 
Nikikutukana nawe utanirudishia wakati sijasema baya,mwisho nijiumize roho.Bora ninyamaze!!
Hii ndiyo serikali ya wanyonge, inayowajali wanyonge na kufanya kazi kwa ajili ya wanyonge kama wewe sio mnyonge kamwe huwezi kuelewa namna gani serikali yetu sikivu inavyotujali wanyonge.

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Kuna mambo yamezingatiwa katika upangaji bei. Ikiwemo umbali na eneo sukari inapozalishwa,maana gharama za usafiri zinatofautiana toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.
Mkuu kwani viwanda vikizalisha bei zinatofautiana mkoa hadi mloa?
 
Huku niliko (kusini), bei iko vilevile au imeongezeka. ilikuwa 3,600/= kabla ya agizo lakini sasa ni 3,800-4,000/=. huko uliko hali ikoje?

Nani yuko karibu huko afikishe ujumbe kuhusu kiburi hiki cha hawa watu?!! mi niko mbali huku sitowahi kwa wakati!
 
Huku kilo ni 3400/=

Agizo lilielekeza kilo iuzwe kwa 2700/=

Tuendelee kuchukua tahadhari Corona ni hatari sana
 
Hivi ni kwa nini Wafanyabiashara wa sukari wanaichezea Serikali?. Wamepewa bei elekezi lakini hawataki kufuata.
 
nawashauri hiyo bodi ya sukari watoe namba za simu kwa wananchi ili wakiuziwa bei tofauti wapige simu.... 😎 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…