BM33
Member
- Apr 19, 2020
- 61
- 60
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.
Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
Hii ndiyo serikali ya wanyonge, inayowajali wanyonge na kufanya kazi kwa ajili ya wanyonge kama wewe sio mnyonge kamwe huwezi kuelewa namna gani serikali yetu sikivu inavyotujali wanyonge.
Mkuu kwani viwanda vikizalisha bei zinatofautiana mkoa hadi mloa?Kuna mambo yamezingatiwa katika upangaji bei. Ikiwemo umbali na eneo sukari inapozalishwa,maana gharama za usafiri zinatofautiana toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.
Wewe nae ni kujibiwa?Mkuu kwani viwanda vikizalisha bei zinatofautiana mkoa hadi mloa?
Unajiona wa maana sana sio!Wewe nae ni kujibiwa?
Unauliza swali hata mtoto hawezi kuuliza.Unajiona wa maana sana sio!
3000/= per KgHuku niliko (kusini), bei iko vilevile au imeongezeka. ilikuwa 3,600/= kabla ya agizo lakini sasa ni 3,800-4,000/=. huko uliko hali ikoje?
Nani yuko karibu huko afikishe ujumbe kuhusu kiburi hiki cha hawa watu?!! mi niko mbali huku sitowahi kwa wakati!
ilikuwa hivyo kabla au imeshuka?
Mwanzo: 2600ilikuwa hivyo kabla au imeshuka?