Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Yaani kusafirisha kutoka dar kwenda arusha ni gharama kuliko kutoka ethiopia kwenda arusha via Kenya.
Akili yangu haifanyi kazi sawasawa jamani
 
Hawa Serikali wasitufanye wote hatuujui umeme, unasingiziaje umbali na upotevu wa umeme au gharama, why gharama zetu siwe kubwa
 
Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Hoja ni kwamba, unakozalishwa ni Ethiopia ina maana humo njiani haupotei?

Kama tunahesabia umbali kutoka Kenya, basi pia hata huu wa rufiji tutahesabia umbali pale mkoa jirani uliounganishwa na grid ya taifa.

Kwa namna nyingie, humu bongo, kila mkoa huwa unapokea umeme grid ya taifa na mkoa mwingine unachukulia pale kama ambavyo wao watachukulia Kenya.

Wakija na hoja ya umbali kunakozalishwa umeme, Ethiopia ni mbali kuliko rufiji.
 
Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Kenya ....40% wanasambaza walionunua Ethiopia uko 200km from boarder yetu....cost zao kuleta boarder....beiaoiko cheap zaidii yetu......kufikisha huko ftom rufiji sio chini miaka 6...plus cost zoote fidia etc....bado kupeleka Mwanza Ngara...bado Mveya Rukwa ( wanatumia zambia).....hii sio siasa we need pesa na kipaumbelee ....kumbuka bado maji tu rahisi hatuwezi kufikisha......weeee sikia tuuu.......hapo hakuna siasaa
 
Hivi ufafanuzi maana yake huwa nini. Yani yawezekana waskilizaji hawakulewa lugha ilyotumika, walikuwa wamelewa, au mzungumzaji hakuwa sawa kiakili na kiafya wakati anaongea. Msaada tafadhali maana mimi huwa napata shida sana.

Huu msamiati wa ufafanuzo mbona miaka ya nyuma haukuwepo au ndo kukua kwa lugha.
 
huu ndo ufafanuzi? au kuna mwngine unakuja?...๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ™Œ๐Ÿšฎโ—
 
Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Kwamba wao huko wanavyousafirisha hauvuji kutoka ethiopia to kenya ila kutoka rufiji to tanga ndio unamwagika kama sio kuvuja...
Aisee ccm ni janga, Mungu tuepushe nalo.
 
Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km
Je, hakuna miradi ya umbali huo katika nchi zingine za Afrika? Vipi, imefeli au bado inaendelea?
 
Mkuu ni vyema tu kukaa kimya ulinde heshima yako.
 
Nipe umeme nikupe umeme. Nipe nikupe. Niuzie na ninunue.
 
Mbali ni Stiglers. Ethiopia ni karibu kabisa. Kwani hamjui kuwa kutoka Dodoma mpaka Arusha ni mbali kuliko Addis Ababa mpaka Arusha?
Tulia basi uelewe umeme mzalishaji ni ethiopia kenya ni transit sisi tunaupokea kutokea kenya kwenye gridi yao ya kenya tunalipa transit fee shirika la kenya na tunawalipa ethiopia kununua umeme wao ambapo mikoa ya kaskazini inapakana na kenya gharama inakuwa ndugu ya kusafirisha umeme kuliko ule tunasambaza sisi
 
Mkuu, umejaribu kufafanua kiunaga ubaga, lakini umejazia nyama sanaa!
 
Je, hakuna miradi ya umbali huo katika nchi zingine za Afrika? Vipi, imefeli au bado inaendelea?
Kumbuka tuna vipaumvele vingi mkuu miradi ipo fund hakuna......ingia website Tanesco angalia procurement za kila mwaka za expansion grid taifa utaona.....mkuu fund...na vipaumbele mambo mengi pesa....nehiii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ