Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Kwa heri....unajua gharama kusafirisha 33KV to km 600? Acheni fani zacwatu sio siasa hiii....kwa heriii
Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia KenyaOhoo! Wafafanue zaidi hoja ya umbali
Angalia wasije kukupa kesi ya Uhujumu uchumi na ufisadi Mkuu
Mkuu uko sawaAngalia wasije kukupa kesi ya Uhujumu uchumi na ufisadi Mkuu
Hii nchi wenye akili hawana uwezo na wasio na akili ndo wana uwezoMkuu uko sawa
Watakupa kesi ya UchocheziYaani kusafirisha kutoka dar kwenda arusha ni gharama kuliko kutoka ethiopia kwenda arusha via Kenya.
Akili yangu haifanyi kazi sawasawa jamani
Hoja ni kwamba, unakozalishwa ni Ethiopia ina maana humo njiani haupotei?Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Kenya ....40% wanasambaza walionunua Ethiopia uko 200km from boarder yetu....cost zao kuleta boarder....beiaoiko cheap zaidii yetu......kufikisha huko ftom rufiji sio chini miaka 6...plus cost zoote fidia etc....bado kupeleka Mwanza Ngara...bado Mveya Rukwa ( wanatumia zambia).....hii sio siasa we need pesa na kipaumbelee ....kumbuka bado maji tu rahisi hatuwezi kufikisha......weeee sikia tuuu.......hapo hakuna siasaaSasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Kwamba wao huko wanavyousafirisha hauvuji kutoka ethiopia to kenya ila kutoka rufiji to tanga ndio unamwagika kama sio kuvuja...Sasa hivi wanasema wanautolea Kenya badala ya kupitia Kenya
Je, hakuna miradi ya umbali huo katika nchi zingine za Afrika? Vipi, imefeli au bado inaendelea?Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km
Ndio huu sheikh.. tunaomba maoni yakohuu ndo ufafanuzi? au kuna mwngine unakuja?...๐ณ๐ณ๐๐ฎโ
Mkuu ni vyema tu kukaa kimya ulinde heshima yako.Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!
Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km
Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu
Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa mikoa ya rufiji!
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!
Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!
Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!
Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!
Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?
Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!
Tulia basi uelewe umeme mzalishaji ni ethiopia kenya ni transit sisi tunaupokea kutokea kenya kwenye gridi yao ya kenya tunalipa transit fee shirika la kenya na tunawalipa ethiopia kununua umeme wao ambapo mikoa ya kaskazini inapakana na kenya gharama inakuwa ndugu ya kusafirisha umeme kuliko ule tunasambaza sisiMbali ni Stiglers. Ethiopia ni karibu kabisa. Kwani hamjui kuwa kutoka Dodoma mpaka Arusha ni mbali kuliko Addis Ababa mpaka Arusha?
Mkuu, umejaribu kufafanua kiunaga ubaga, lakini umejazia nyama sanaa!Ni kweli nchi ina umeme wa kutosha lakini haina maana kwasababu umeme upo wa kutosha basi unaweza kuupeleka popote pasipo kufanya tathmini!
Iko hivi umeme kutoka vyanzo vikuu vya umeme wa uhakika Rufiji na mikoa mingine ukitaka kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini unakuwa unazungumzia mradi wa wastani wa 800km ~900Km
Gharama za kusafirisha umeme kwa umbali huo ni kubwa mno ukilinganisha na kuuchukulia hapo kenya .
Wanaposema umeme wa Ethiopia haina maana uko huko Ethiopia! Ni uko hapo jilani kenya wastani wa km 250km~300km tu
Hivyo ukichukulia gharama za kuusafirisha umeme kwa wastani 50mil kwa kila span moja ( nguzo moja hadi nyingine) hapa tutazungumzia wastani wa span elf 8000 hadi 9000 endapo utaamua kuutoa mikoa ya rufiji!
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
Mbali na gharama hizo mradi mkubwa kama huo unahitaji kulipa watu fidia na kuchepusha miundombinu itayoingiliana hapo katikati ya mradi!
Miradi ya mabomba ya mafuta yaliyopita ardhini yatalazimisha kubadilisha span badala ya kupitisha umeme juu ya bomba ushushwe chini (underground) ili kuepusha muingiliano wa frequency za umeme na zile za bomba la mafuta! Yote hayo yanapaisha gharama za mradi!
Muda wa kuujenga mradi mkubwa kama huo unaweza kuchukua miaka siyo chini ya mitano!
Upotevu wa umeme hapo katikati (power losses) kwa umbali huo ni Mkubwa ukilinganisha na faida utayovuna ukiuufikisha mikoa husika ya kaskazini!
Yote tisa hata kama umeme upo lakini kama jilani ana bei rahisi kuliko za nchi yetu kwanini kujichosha ilihali kwa jilani anao umeme karibu na ni bei nafuu zaidi?
Ambao hawajaelewa naomba kutoa mfano huu!
Kumbuka tuna vipaumvele vingi mkuu miradi ipo fund hakuna......ingia website Tanesco angalia procurement za kila mwaka za expansion grid taifa utaona.....mkuu fund...na vipaumbele mambo mengi pesa....nehiii....Je, hakuna miradi ya umbali huo katika nchi zingine za Afrika? Vipi, imefeli au bado inaendelea?