Serikali yaunda Kamati kuchunguza chanzo cha moto Soko Kuu Kariakoo. Waziri Mkuu asema hatua zitachukuliwa moja kwa moja ikijulikana kuna mkono wa mtu

Tupe ripoti ya wataalamu wa tume iliyoundwa na waziri mkuu kwenye janga la moto wa lorry huko Morogoro. Huyo waziri Mkuu ni tapeli aliyerasimishwa.
Black siliishamuharibu akiri huyo mtu kitambo.
 
Kamati ni mjumuiko wa vyombo mbalimbali,vinavyopaswa kufuatilia kujua nini kimetokea,,
Unaweza kuita vyovyote unavyotaka,kamati,chama,jumuia,kikundi,etc
Kazi ya Polisi kitengo cha fire ni nini sasa? kuna wataalamu wa mambo ya moto zaidi ya hao nchi hii?
 
Kuna mahali huyo RC alisema moto umeanza saa 3:30 usiku, hapa naona post inasema saa 1 na clip imetupiwa 3:10 usiku





Nani mkweli
 
Hii Nchi Iko Na Mzaha Sana Sana. Hakukua Na Haja Ya Serikali Kuunda Tume Ilitakiwa Iwape Nafasi Fire Kufanya Kazi Ya Uchunguzai sana sana Tuu Kwenye Kamati Ya Fire Ya Kufanya Uchunguzi wangeongezwa Wengine Ila Sio eti waziri Mkuu anaunde Kamatii Daaaaah tz Sie Bado sana.
 
kuna jambo, kuna kitu.
uchungizi wa kina ufanyike.
hili ndio tatizo la kukaaa kimyaa muda mrefu watu wanaiba fedha za umaa matokeo yake inawezekana kabisa wakapanga hujuma.
tunaomba serikali yetu pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitumie weledi na maarifa yote ktk uchunguzi, wasikubali kudanganyika, wachunguze kwa kina.
na endapo kuna njama na hujuma basi wahusika wote wachukuliwe hatua kali.
tunaomba uchunguzi usichukue muda mrefu.
viongozi wote wachunguzwe, walinzi, na wengine ambao wanaweza kusaidia kubaini ukweli wa moto huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Now ni rc thobias andengenya
 
kuna jambo, kuna kitu.
uchungizi wa kina ufanyike.
hili ndio tatizo la kukaaa kimyaa muda mrefu watu wanaiba fedha za umaa matokeo yake inawezekana kabisa wakapanga hujuma.
tunaomba serikali yetu pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vitumie weledi na maarifa yote ktk uchunguzi, wasikubali kudanganyika, wachunguze kwa kina.
na endapo kuna njama na hujuma basi wahusika wote wachukuliwe hatua kali.
tunaomba uchunguzi usichukue muda mrefu.
viongozi wote wachunguzwe, walinzi, na wengine ambao wanaweza kusaidia kubaini ukweli wa moto huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali hakikisheni katika hili mnasimamia Ukweli wa kilichotokea, asionewe wala kupendelewa mtu. Tambueni matukio ya mara kwa mara kama haya yanaweza kufifisha kasi ya Uwekezaji na pengine kufukuza kabisa wawekezaji maana kiuhalisia nchi itaonekana haipo salama na haiwezi ku handle baadhi ya mambo kwa uzito unaostahili.


Pole zangu nyingi kwa Wafanyabiashara....
 
Uchunguzi ufanywe kwanini hakuna miundombinu ya maji kwa ajili ya uzimaji likitokea la kutokea?
Sehemu kama kariakoo ni lazima kuwe na point nyingi za maji kwa ajili ya zimamoto

Bajeti wanajua kutenga ila zifanye nini hawajui
Huhitaji rocket science kujua haya
Kweli eti maji wanasema ni changamoto na inabidi magari yaendee tena really?

Huu ni uzembe wa zimamoto kutokuwa na maji karibu haina haja ya kupoteza hela kwa ajili ya uchunguzi bali waweke upatikanaji wa maji kwa wingi hapo maana madhara yanatokea na masoko mengi tz yanaungua yote kwa ukosefu wa maji karibu

 
Karume pale kuliwahi ungua sana,leo Kariakoo!kuna nyaraka gani hasa!ambazo zinapaswa kuungua pale!!ili serikali ijipange upya???!!
 
Msitupotezee muda na wala Kamati hiyo haina haja ya Kutumia Siku nyingi. Kamateni upesi sana Watu wote waliokuwa wakiunda Bodi ya Soko hilo la Kariakoo iliyovunjwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwani kwa Taarifa za ndani kutoka kwa waafanyabiashara wakubwa hapo ambazo GENTAMYCINE nimezipata wamesema waliokuwa wakiunda Bodi ya Soko hilo Kubwa la Kariakoo ndiyo wamesababisha Kilichotokea kama sehemu yao ya Kulipiza Kisasi, Kukomoa na Kuuchafua Utawala qa Rais Samia na Kumjengea Chuki na Wafanyabiashara na Wamachinga Jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.
 
kuna janga lingine naona linaandaliwa litokee hili waunde kamati,,

Janga lenyewe ni hili la wamachinga kupanga vitu barabarani alafu gari lije kuacha njia liwapamie wafe
 
Kuna siku itaungua ikulu tupo hapa hapa. Kusha waunde kamati. Wenzetu ulaya wanavyombo vya usalama vya uchunguzi sisi kila tukio ni kamati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…