Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Black siliishamuharibu akiri huyo mtu kitambo.Tupe ripoti ya wataalamu wa tume iliyoundwa na waziri mkuu kwenye janga la moto wa lorry huko Morogoro. Huyo waziri Mkuu ni tapeli aliyerasimishwa.