Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

Kuchom.wale vifaranga ilikuwa sahihi hakuna cha kosa pale, hata hawa walipaswa kutiwa kiberiti sema muagizaji ni mzembe mno mno mno
 
Kuchom.wale vifaranga ilikuwa sahihi hakuna cha kosa pale, hata hawa walipaswa kutiwa kiberiti sema muagizaji ni mzembe mno mno mno
Ndiyo maana tunasema Rais Samia kazungukwa na minafiki, ile issue ya vifaranga vya kenya ilikuwa sahihi ila wao wakamdanganya
 
Ngoja tushuhudie vifaranga viivyotoka kwa beberu vikitiwa moto...
 
Mimi ni mkenya lakini maandishi Yako haya yanakeraaaaaa
 
Ni.mzembe sana huwezi ingiza mzigo huo mkubwa hivyo Bila vibali aisee
Kwani yeye ni mgeni katika biashara hii?

Hata kama angekuwa mgeni, mfanya biashara yeyote hawezi kuchukua 'risk' kiasi alichochukua huyu. Kuna sababu zisizoelezwa.
Huyu ni mzoefu wa uhalifu, ndiyo maana hakuwa na wasiwasi na analofanya.
 
Inaonekana huyo mtu kaingiza hivo vifaranga Kwa ajili ya kampuni yake ...Kwa jambo sensitive kama Hilo kweli hakuwa na vibali? Au wanamfanyia figisu?
Why vifaranga vitoke mbali namna hiyo Kwa gharama kubwa ...vina uspecial gani? Je mbegu ya hao kuku ni hatari au?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wapewe masaa 12 kuviondosha na kuvirudisha walikovitoa la sivyo vipigwe moto. Nchi yetu siyo shamba la bibi. Tuna sheria, lazima zifuatwe. Tusikubali kujigeuza kuwa a lawless country.
Take a deep breath and reflect on what your leaders are doing.

This is just one example of the confused state of affairs in this government.
This country now is a de facto "banana republic".
 
Imagine kifaranga kinapanda ndege wakati kuna member mwenzangu humu jambo kubwa alilofanya kuhusu ndege ni airplane mode
 
Tarehe 22/12/2022 saa nne usiku Wakaguzi wa Mifugo na Mazao yake walio katika kituo cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA
Walijua macho yote yameelekezwa kwenye kubonyeza kitufe
 
Huyu ndiye Waziri

…. Asanteni kwa kunisikiliza
Imetolewa na
Profesa Hezron E. Nonga
Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo
WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI
24 DESEMBA 2022
 
Vichomwe moto. Wangejua wazungu wanavyochukia bidhaa zetu wala wasingepoteza muda zaidi ya kuwasha kibiriti.
 
Sheria ifuate mkondo wake viteketezwe kwa moto ....vinginevyo vitakufa ndani ya saa 24...siasa zimeingilia sheria.peleka kifaranga marekani uone kama hakitachomwa.kuna uhujumu mkubwa wa uchumi wetu...hapa nchini viwanda vinakosa soko na kuchoma bidhaa zake maana yake viwanda vitakufa na watu kukosa ajira na kodi.kwanini watu waruhusiwe kuagiza vifaranga nje ya nchi kiholela?kama ni vifaranga special basi walete mbegu au mayai yatotolweshwe kwa kutumia viwanda vya ndani.
 
Viongozi wetu kuwaelewa ni kazi sawa kampuni imevunja sheria lakini kwanini wasivipime hivyo vifaranga then kodi ikatwe na viruhusiwe kama vipo salama
Na wengine wakiwa wanaingiza kwa mtindo huo kutakuwa na haja gani ya kuwepo sheria?

Na kama wana vimelea huoni tayari ni hatari kwa mazingira waliyohifadhiwa?
 
Mkuu naomba unisaidie. Yule mama alivichoma vifaranga vyake kwa sabb gani haswa?
Ni kufikisha ujumbe kwa serikali kwa sababu ya mambo kama haya. Inaonekana umekuwa mchezo unaondelea na yule mama anajua mengi.
Ni wazi tumeshaingiza ndege wengu hadi sasa bila kufuata taratibu. Ukiangalia kwa sasa kuna mlipuko sana wa magonjwa ya mafua na vifua.
 
You are very right
Kuwekeza hii nchi inataka ujitoe fahamu.
Si nchi sahihi kwa mwekezaji makini.
Pana uovyoovyo mwingi.
 
Basi ukiona hivyo ujue kuna mmoja anabanwa kufuata taratibu zote ikiwemo kodi na mwingine anafanya atakavyo. Hapo kuna mkono wa wakubwa fulani. Hutosikua tena hiyo habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…