Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

Viongozi wetu kuwaelewa ni kazi sawa kampuni imevunja sheria lakini kwanini wasivipime hivyo vifaranga then kodi ikatwe na viruhusiwe kama vipo salama
Kuonyesha sisi ni nchi ya ajabu tayari una ''likes'' 14 kwa hiki ulichoandika. Umejiuliza kama kila mtu akimua kuvunja sheria ya kuingiza mifugo na kuitaka serikali kupima anachoingiza pindi anapokamatwa tutaishia wapi? Utakuwa umeweka presedecy gani kwa kukubali watu wajaribu kuingiza vitu bila kufuata sheria na pale wanapokamatwa ndiyo serikali ichukuwe wajibu wa kupima? All in all. Hata jinsi hii taarifa kwa vyombo vya habari ilivyoandikwa, kwa wale wenye ''macho ya ziada'' watajua kuwa hii ni kafara ili ionekane kuwa mamlaka zinafanya kazi. Inaonekana huenda kukawa na makandokando mengi ya kuingiza mizigo hapa uwanjani, na inabidi mara chache watupake mafuta kwa magongo wa chupa namna hii.
 
Utakuta ni kitu kidogo sana ambacho wangeweza kurekebisha hapo hapo na ofisa mdogo tuu vifaranga vipite, ila kuna nyau mmoja kanyimwa kitu kidogo basi kaamua kuharibu kila kitu, tumeona issue kama hizi mara nyingi sana
 
Kuonyesha sisi ni nchi ya ajabu tayari una ''likes'' 14 kwa hiki ulichoandika. Umejiuliza kama kila mtu akimua kuvunja sheria ya kuingiza mifugo na kuitaka serikali kupima anachoingiza pindi anapokamatwa tutaishia wapi? Utakuwa umeweka presedecy gani kwa kukubali watu wajaribu kuingiza vitu bila kufuata sheria na pale wanapokamatwa ndiyo serikali ichukuwe wajibu wa kupima?
Hakuna kitu hapo, tumeona issues kama hizo mara nyingi sana, hiyo import permit si wawauzie hapo hapo uwanjani na sijui kama kuna ndege inaweza kusafirisha wanyama bila health certificate, i can bet 99% kuna mtu kanyimwa kitu kidogo, niliwahi kupita hapo Airport kuna mbwa aliwahi kunifuata mpaka kwenye parking akinidai rushwa huku akinitishia
 
Swali hivyo vifaranga vitachomwa moto???
Ametakiwa avirudishe haraka huko Ubelgiji (? kwa Tundu) alikovitoa. Gharama ya kuvirudisha ni kubwa na wabeligiji wanaweza kukataa kuvipokea kwani vimekuwa contaminated na watanzania. Hivyo akishindwa kuvirudisha haraka itabidi vichomwe moto.
Kwa ufupi nchi yetu imekosa dira na muelekeo.
Nchi inayo dira na mwelekeo thabiti hasa linapohusu usalama na uhai wa raia wake. Hivi vifaranga elfu 62 vinaweza kuangamiza uhai wa maelfu ya watanzania.
Serikali ya awamu ya sita inafungua nchi
Haifungulii nyoka, panya, virusi vya ebola, mafua makali ya ndege na takataka zingine kama hizo.
Viongozi wetu kuwaelewa ni kazi sawa kampuni imevunja sheria lakini kwanini wasivipime hivyo vifaranga then kodi ikatwe na viruhusiwe kama vipo salama
Kufanya serological antibody elisa tests, antigen and genetic DNA tests ya kila kifanga kwa vifanga vyote hivyo, gharama yake inazidi thamani ya hivyo vifaranga and it is a tideus job. Na inazidi kwa mbali gharama ya kuvirudisha. Wewe unadhani vinapimwa kwa kuangaliwa tu kwa macho?
 
Hakuna kitu hapo, tumeona issues kama hizo mara nyingi sana, hiyo import permit si wawauzie hapo hapo uwanjani na sijui kama kuna ndege inaweza kusafirisha wanyama bila health certificate, i can bet 99% kuna mtu kanyimwa kitu kidogo, niliwahi kupita hapo Airport kuna mbwa aliwahi kunifuata mpaka kwenye parking akinidai rushwa huku akinitishia
Nadhani ume mix madesa. Mimi nazungumzia kuwa haiwezekani sheria ikasema uwe na documents a,b,c, KABLA ya kuingiza vifaranga halafu mtu anapovunja sheria eti watu wana-suggest kuwa wangepima hao vifaranga kwa sababu alikosea. Mambo ya kuwa rushwa ipo, hilo linajulikana. Kama huyu alikuwa na documents zote halafu wakadai rushwa hilo ni kosa, ila taarifa yao inasema alikuwa hana.
 
Mimi ni mkenya lakini maandishi Yako haya yanakeraaaaaa
Kilo ya unga tz haijawahi kufika 1800 ila sasa mpaka 2000 unaweza kunipa sababu??? Chakula kuuzwa nje kweli unafavour wakulima ila unaliachaje taifa na njaaa kisa maslahi ya wakulima????
 
Hii kesi haina tofautu na ilee ya Vitenge vilivyoungua kwenye ghala tanga.. anyway ni Mbuzi wa bwana heri shamba la bwana heri yote heri! Kutufanya watoto na wajinga tu
 
Sasa huyu aliyeingiza hivyo vifaranga si wangemuacha tu ili apate hasara? Maana soko la vifaranga hakuna kwa mujibu wa yule mzungu wa Arusha

Kuna masuala mengi yanaangaliwa hapo ikiwemo kulinda soko la ndani, afya za watanzania, kuepusha magonjwa ya mifugo kutoka nje ya mipaka yetu.

Hata kwa wenzetu huwezi kupeleka viumbe hai kizembe.

Ni sisi tu hatunaga uelewa na mambo tukisikia jambo limefanywa na Serikali tunakuwa na mtazamo hasi kumbe ni kwa faida ya Nchi kwa ujumla wake.
 
afya za watanzania, kuepusha magonjwa ya mifugo kutoka nje ya mipaka yetu.
Labda useme kulinda soko la ndani mkuu. Lkn haya mengine yananguzika. Wanavipiga karantini kwa wiki kadhaa na kufanya bipomo vya usalama na magonjwa kisha mletaji anapigwa faini za kukiuka sheria halafu anaruhusiwa kuingiza .
 
Ametakiwa avirudishe haraka huko Ubelgiji (? kwa Tundu) alikovitoa. Gharama ya kuvirudisha ni kubwa na wabeligiji wanaweza kukataa kuvipokea kwani vimekuwa contaminated na watanzania. Hivyo akishindwa kuvirudisha haraka itabidi vichomwe moto.

Nchi inayo dira na mwelekeo thabiti hasa linapohusu usalama na uhai wa raia wake. Hivi vifaranga elfu 62 vinaweza kuangamiza uhai wa maelfu ya watanzania.

Haifungulii nyoka, panya, virusi vya ebola, mafua makali ya ndege na takataka zingine kama hizo.

Kufanya serological antibody elisa tests, antigen and genetic DNA tests ya kila kifanga kwa vifanga vyote hivyo, gharama yake inazidi thamani ya hivyo vifaranga and it is a tideus job. Na inazidi kwa mbali gharama ya kuvirudisha. Wewe unadhani vinapimwa kwa kuangaliwa tu kwa macho?
Mkuu tupe update wameshavitia moto ama bado wana sua sua maana tangu tarehe 22 naamini zaidi ya nusu vitakua vimeshakufa
 
Ametakiwa avirudishe haraka huko Ubelgiji (? kwa Tundu) alikovitoa. Gharama ya kuvirudisha ni kubwa na wabeligiji wanaweza kukataa kuvipokea kwani vimekuwa contaminated na watanzania. Hivyo akishindwa kuvirudisha haraka itabidi vichomwe moto.

Nchi inayo dira na mwelekeo thabiti hasa linapohusu usalama na uhai wa raia wake. Hivi vifaranga elfu 62 vinaweza kuangamiza uhai wa maelfu ya watanzania.

Haifungulii nyoka, panya, virusi vya ebola, mafua makali ya ndege na takataka zingine kama hizo.

Kufanya serological antibody elisa tests, antigen and genetic DNA tests ya kila kifanga kwa vifanga vyote hivyo, gharama yake inazidi thamani ya hivyo vifaranga and it is a tideus job. Na inazidi kwa mbali gharama ya kuvirudisha. Wewe unadhani vinapimwa kwa kuangaliwa tu kwa macho?
Mkuu huwezi kumtetea huyu dude serikali hata kidogo
 
Urasimu umerudi... Kwani Si tunanunua mchele kilo 3000 sababu mchele mwingi umeuzaaa nje?? Mahindi kama yote yameenda kenyaaa... Leo wananchi wanapambana na kupanda na bei za mazao ila kuna viongozi wakubwa aana maghala ya vyakulaaa wanatuuzia bei juuu.. Urasimuu urasimuuuu...
Hapa ndio utajua nani shetani nani hakuwa shetani?
 
Lisu kaamua kuanza kuuza kuku?? Safi sana.
 
Unawekezaje kwenye nchi isiyokuwa na haki na kutofuatwa sheria?

Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hiyo kampuni imekurupuka na kutumia 200m sh kwa ajili ya vifaranga na kuwaleta bila vibali

Yaani hawajui sheria za nchi hapana bali wameahidiwa nyie leteni tu tutawatoa kama wanazingua kwenye vibali

Tunajua mengi yanapita bila vibali wala nini hata Magu alisema sana haya
Ni mwehu tu anawekeza huko
 
Sasa huyu aliyeingiza hivyo vifaranga si wangemuacha tu ili apate hasara? Maana soko la vifaranga hakuna kwa mujibu wa yule mzungu wa Arusha
Siku ukianza kupenga kamasi na kuku zako zikifa, hapo utaanza kulaumu serikari kuwa ahaikuchukua hatua stahiki.
 
vifaranga vilipandaje ndege bila docs muhimu? Kweli vilipanda ndege Ubeligiji bila kukamilisha docs? Au ni Ubeligiji ya Bongo?
 
Kumbe uagizaji wa vifaranga toka nje ulishapigwa marufuku, huku ni kudharau sheria na mamlaka ya serikali.
Thread 'Serikali ya Tanzania imesema, haitaruhusu kuingiza vifaranga vya kuku nchini na haitatoa tena vibali vya kuingiza vifaranga hivyo kuaniza Julai 30, 20' Serikali ya Tanzania imesema, haitaruhusu kuingiza vifaranga vya kuku nchini na haitatoa tena vibali vya kuingiza vifaranga hivyo kuaniza Julai 30, 20
Mkuu 'UmkhontoweSizwe', hebu ninakuomba usome 'post #3', hapo juu iliyowekwa na mkuu Saidoo25; halafu uyapime maneno yako haya na yaliyoelezwa kwenye gazeti hilo la 'The Citizen.'

Ni wazi kwamba serikali yenyewe haijui ifanye nini, pamoja na uwepo wa kanuni hizo wanazozitunga wao wenyewe.

Mkuu kabisa wa serikali yake "anafungua nchi", lakini hajui maana ya ufunguzi huo ni nini!

Matokeo yake ndiyo haya.

Hao wa chini yake, akina Professa Nonga, hata wafanye nini, juhudi zao ni bure wakati anayefungua nchi hajui anafanya nini.
Mwisho wa siku utasikia huyo bwana hana kazi, kama yule Erick Hamis wa Bandari.
 
Ametakiwa avirudishe haraka huko Ubelgiji (? kwa Tundu) alikovitoa. Gharama ya kuvirudisha ni kubwa na wabeligiji wanaweza kukataa kuvipokea kwani vimekuwa contaminated na watanzania. Hivyo akishindwa kuvirudisha haraka itabidi vichomwe moto.

Nchi inayo dira na mwelekeo thabiti hasa linapohusu usalama na uhai wa raia wake. Hivi vifaranga elfu 62 vinaweza kuangamiza uhai wa maelfu ya watanzania.

Haifungulii nyoka, panya, virusi vya ebola, mafua makali ya ndege na takataka zingine kama hizo.

Kufanya serological antibody elisa tests, antigen and genetic DNA tests ya kila kifanga kwa vifanga vyote hivyo, gharama yake inazidi thamani ya hivyo vifaranga and it is a tideus job. Na inazidi kwa mbali gharama ya kuvirudisha. Wewe unadhani vinapimwa kwa kuangaliwa tu kwa macho?
Ulikuwa umenijibu vizuri tu ila hapa sijui ulifikilia nini,kweli kabisa unadhani mimi na elimu yangu nilifikiri vitapimwa kwa macho ?
Wewe unadhani vinapimwa kwa kuangaliwa tu kwa macho?
 
Back
Top Bottom