Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

Serikali yazuia vifaranga 62,730 vilivyoingizwa nchini kutoka Ubelgiji

Ulikuwa umenijibu vizuri tu ila hapa sijui ulifikilia nini,kweli kabisa unadhani mimi na elimu yangu nilifikiri vitapimwa kwa macho ?
Pole mkuu, sikujua elimu yako. Unajua kwenye jukwaa hili wapo wengi wanaodhani vipimo vya kisayansi ni raisi kama vile vya waganga wa kienyeji.
 
Msivichome moto tukaendelea kupata laana nikisikia habari za vifaranga najua wapenda sifa wasiokua na hofu ya Mungu watatoa adhabu ya Moto...
 
Mbona hii ishu imekaliwa kimya...vp vimeshatolewa hapo AIRPORT??
 
Back
Top Bottom