thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Mshahara wangu badaada ya makato ya heslb na vurugu zote take home ni 1.3 M ila matumizi yangu kwa mwezi ni kama 3M hivi😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umeongea ukweli. Wafanyakazi wengi ambao siyo waalimu ni mafisadi 100%. Waalimu wote kuanzia shule ya msingi mpaka chuo hawana vya kuiba.Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Hiyo attitude yako inashida...Kuna watu asali zinawabubujikia lakini bado wanaona kuwa ni short lived kwakua hawezi kuwa kama kisiwa na pia unawaumiza wengi wakiwa hawana hiyo asali wakati wewe inakumwagikia tena bila kulazimishaUkiona MTU analalamika ni kwakuwa Asali haijamfikia
Wizi ni mzuri Mzee wanguAcha wizi mkuu ,sio kila mtu anaiba bwashee.
Unataka serikali ikushukuru vipi? Wewe sio ndugu au mjomba wa serikali, unachotakiwa ni kutimiza majukumu yako kwa weledi na uaminifu ambapo mwisho wa mwezi unalipwa mshahara kwa kodi za Watanzania.Ngoja niwambie ukweli .Serikali haina shukrani itakutumia kama kondomu ukuisha muda inakudampo. Tena unaweza kufanya mazuri mia moja ila kosa moja tu itakuadabisha. Kwahiyo jamani wewe ukijifanya mzalendo itafika muda wako wa kustafu utatoka na uzalendo wako.
Muhimu ni kwamba ukipata upenyo wa kupiga we piga tumia amri ya kumi na sita ya shetani inayosema "Usihurumie kiumbe ambacho haukukiumba".
Makanisani viongozi wanapiga sembuse serikalini.
Wewe jifanye mzalendo utakufa masikini na uzalendo wako.
Wote tulimsikia, akihamasisha viongozi wale. Je wanakula kutoka wapi kama si wizi wa kodi zetu?Kwamba kuna mtu ni mwizi anahamasisha wizi?🤔🤔🤔
Kweli mkuuWizi ni mzuri Mzee wangu
lakini pale mchongo unapofeli ndio utaona Dunia imekutenga.
Sawa mzalendoUnataka serikali ikushukuru vipi? Wewe sio ndugu au mjomba wa serikali, unachotakiwa ni kutimiza majukumu yako kwa weledi na uaminifu ambapo mwisho wa mwezi u alipewa mshahara kwa kodi za Watanzania.
Kama wewe hutoiba ili wa wengine walale njaa basi wako ndio watalala njaa..😁😁😁Upambane kwenye wizi !!! Unapoiba ili watoto wako wale jua unaibia watoto wa wengine wanalala njaa, ni ubinafsi wa hali ya juu mno.
Wangu hawajawahi kulala njaa na sitaiba😁😁Kama wewe hutoiba ili wa wengine walale njaa basi wako ndio watalala njaa..
Kupanga ni kuchagua
Majambazi wanajitokeza😁😁😁😁Min me is writing
Umekuwa msemaji wao!Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Msiibe ni DHAMBI kama ya kubaka!Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Janga la wengiMshahara wangu badaada ya makato ya heslb na vurugu zote take home ni 1.3 M ila matumizi yangu kwa mwezi ni kama 3M hivi😂😂😂