Serious man needed baadae awe mume

Duuh pole sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

tehe tehe tehe pole, huyo hakuwa wako
 
dada hujielewi wewe kwani ukimpata mtu kama huyo kutakuwa na furaha ya maisha....Acha kujifanya wewe ni mkamilifu sana kama vile umejiumba mwenyewe Mheshim Mwenyezi Mungu aliekupa nafasi ya kuishi duniani hapa...
 
Sana tu best. Kunaa baadhi wanataka kuonekana wameoa, kumbe hawana function yoyote ktk maisha ya ndoa. Mifano mnayo na Gwajima kawatajia kabisa. Ndio anachokitaka huyu mleta mada.

Weehh mfano sikuskia uo wa gwajima ni nani uyo..!?
 
Mimi nina sifa namba 1,3,6,7 and 8 Plus 2 childrenπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
dada hujielewi wewe kwani ukimpata mtu kama huyo kutakuwa na furaha ya maisha....Acha kujifanya wewe ni mkamilifu sana kama vile umejiumba mwenyewe Mheshim Mwenyezi Mungu aliekupa nafasi ya kuishi duniani hapa...
Kwani huwez kucomment kistaarabu mpaka matus??ukiona Uzi sio wa sifa zako pita kimyakimya ndugu yangu sio lazma ucomment utumbo
 
Shida iko hapo sasa! Badala ya kutatua tatizo unaliongeza. [emoji31] [emoji31] [emoji31] . "Shake well before use" ni muhimu sana. Dunia imeharibika hii
[emoji134] [emoji134] [emoji134] tatizo ni who u are shaking with ndo maana nimesema mpaka nijiridhishe kuna signs nyingi za kujua Kuwa huu uhusiano una future ndo hapo unapoweza kujaribu Kama yaliyomo yamo sio kukurupuka kisa umeambiwa , Shake well before use mwanamke kujitambua lazma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…