Setfree Apangua Hoja za Atheists

Setfree Apangua Hoja za Atheists

Tofauti kubwa kati ya faith (Imani) katika imani tayari una majibu unachofanya ni kujaribu (in hindsight which is normally 20/20) kuverify au kucheza na data ili zikubaliane na imani yako, tena hizi Imani ukipinga tu unaonekana unakufuru..., wakati Sayansi / au what am championing for ni kutafuta ukweli kulingana na data au kilichopo wakati huo yaani am Set Free na sipo chained na kitu chochote kile wala sijawa indoctrinated (kwahio hata wewe leo ukija ukasema kwamba kumbe kuna huyu jamaa ndio alifanya haya yote kwa kutumia magic wand hii hapa na nikaona beyond any reasonable doubt basi what you say shall be the truth, wala hakuna shida. Lakini watu wa Imani wanaweza hata wakasema hio ni illusion au unachodhani kwa wakati huo sicho (sababu hakiendani na Imani zao au vitabu vyao) au watatumia loophole kwamba huenda hicho kitabu kimechakachuliwa au msomaji hakuelewa...

In short its a rabbit hole which I normally have neither time nor willingness to pursue sababu hazina end goal / wala mwisho wa siku hazina hitimitisho la jibu (sababu unaambiwa jibu utalipata ukifa wakati hakuna mtu atakayekufa atarudi kutoa mrejesho / au as we know it to be factual kwamba ukifa is the end)

Yap..., and that is the beauty of it, continuous pursue of the truth / facts without being chained or indoctrinated of what is truth, hence using your precious commodity (time) trying to defend and explain what you believe is the truth instead of finding and challenging what is know...; That's why I champion this kind of thinking, knowing that we do not know thus continuously finding things, not by faith but by evidences thus changing the theories to facts.... and if new evidence come along we don't defend what we used to know but we welcome the new findings and give Kudos to the finder as a motivation to continue the pursuit of knowledge (that's why we have been evolving as a specie and been able to conquer / manage other species)

I had rather use my time thinking about infinity which at the end of the day I can prove my theory mathematically than pursue something which in the end I can never find any truth if am right or wrong (unless am doing it for self fulfillment / feel good factor); but to me I can get that fulfillment in other things in which If I start the journey, I will know when am lost or on the right track (tofauti na hapo in my opinion it will be a fools errand) by as I always say to each their own...;

I always try to deal with the points / Hoja at hand.., kilichowekwa mezani kwa wakati husika na sio nani kasema hivi au vile..., Being Chained in one set of belief hinders you to see the bigger picture or pursue other avenues.., I don't know about those so called Atheists; but am sure those people today if you came with evidence about what you are proposing they will happily agree with you (but that evidence should not come from another non verified source);

Science needs Proof; Faith... well faith is what you believe those are your own individual truths which it won't be fair to me to try to take you from your opium (especially if its side effects is not massively do the detriment of the society, although it's sometimes is)

If faith is the truth from Alfa to Omega.., so its has never swayed from the right pass, while science and other things are pursuit of knowledge sometimes by try and error..., Je uoni kwamba kwa sayansi kufanya makosa ni kawaida (means to an end) katika kutafuta ukweli..., LAKINI Ukweli ambao ni UKWELI na haujawahi kubadilika wala haupaswi kubadilika sababu unatoka kwa a Know it All being..., Kama hapo katikatika ulikosea njia, then maybe it was never the truth at all....; How can a Know it All make a Mistake ?!!!

But a seeker of truth will always makes some mistakes and corrects them, that is how we learn...

Bring irrefutable truth and your truth will become our truth..., no need to convince us just show us....
Sidhani kama dini inasema watu wa believe blindly, kuna elimu unasoma ili u reason na dunia jinsi ilivyo jinsi human mind ilivyo complex, mimea ilivyo, milima ikiwa ina support balancing ya mzunguko wa dunia, jinsi particles zilivyo, hivyo vyote haziwezi tokea on their own, lazima kuna power inahusika na hayo yote, kama vile wanasayansi wanavyoema kuwa tupo kwenye milky way galaxy kwa kuangalia jinsi nyota angani zilivyo
 
Achana na Lazaro hata Jesus mwenyewe hizo evidence alizofanya kwamba alifanya zaidi ya hearsay ni nani aliona...
Hebu fikiri tena kwa makini: Kama ufufuo wa Yesu ungekuwa hearsay, kwa nini wengi waliokuwa mashahidi wake wa karibu walikubali kuteswa na kuuawa kwa kushikilia ushuhuda wao? Sizungumzii mtu mmoja aliyedai kumuona Yesu aliyefufuka, bali makundi ya watu (1 Wakorintho 15:3-6). Ikiwa yote haya yalikuwa uzushi, kwa nini maelfu ya watu walihatarisha maisha yao kwa jambo ambalo walijua ni uongo?
 
Hata kama unachosema kingekuwa kweli kimetokea (sababu wewe evidence yako ni hadithi) ni kwamba basi kungekuwa kuna trick imefanyika au alikuwa ni muongo...
Hahaa, maiti ilikuwa inanuka, wewe unasema alikuwa muongo. Harufu ya mfu unaijua au unaisikia tu.
 
Sidhani kama dini inasema watu wa believe blindly, kuna elimu unasoma ili u reason na dunia jinsi ilivyo jinsi human mind ilivyo complex, mimea ilivyo, milima ikiwa ina support balancing ya mzunguko wa dunia, jinsi particles zilivyo, hivyo vyote haziwezi tokea on their own, lazima kuna power inahusika na hayo yote, kama vile wanasayansi wanavyoema kuwa tupo kwenye milky way galaxy kwa kuangalia jinsi nyota angani zilivyo
Dini ina muongozo ambao upo tayari (JIBU) kwahio unachofanya ni Ku confirm hayo yaliyomo; Sayansi Haina JIBU before hand bali majibu yanakuja baada ya kuleta proof na evidence ambazo at the time they will be termed factual; wewe leo ukisema haikuwa milky way bali uji wa ulezi au machungwa na kuleta mtiririko ambao una logic basi hilo ndio litakuwa what is known at any given time...
 
Hahaa, maiti ilikuwa inanuka, wewe unasema alikuwa muongo. Harufu ya mfu unaijua au unaisikia tu.
Kama kweli kilitokea unachosema kilitokea na sio wadau kupeana stori za gahawa za enzi hizo (unataka kusema walikuwa hawawezi ku fake harufu au ku swap maiti na huyo Lazaro ambayo alikuwa sehemu amejibanza / jificha ?
 
Hebu fikiri tena kwa makini: Kama ufufuo wa Yesu ungekuwa hearsay, kwa nini wengi waliokuwa mashahidi wake wa karibu walikubali kuteswa na kuuawa kwa kushikilia ushuhuda wao? Sizungumzii mtu mmoja aliyedai kumuona Yesu aliyefufuka, bali makundi ya watu (1 Wakorintho 15:3-6). Ikiwa yote haya yalikuwa uzushi, kwa nini maelfu ya watu walihatarisha maisha yao kwa jambo ambalo walijua ni uongo?
Kwahio leo hii sababu watu wapo tayari kuua watu na kuvaa mabomu na kuua hata wasio na hatia sababu ya Imani zao (basi hii imani lazima ni ya ukweli)?!!!!

Shule nzima ilimuona Eyesso Mchawi wa Wachawi (Mwanamazingaombwe) Akichinga mtu (Je kweli yule Bakari alichinjwa)?!!!
 
Dini ina muongozo ambao upo tayari (JIBU) kwahio unachofanya ni Ku confirm hayo yaliyomo; Sayansi Haina JIBU before hand bali majibu yanakuja baada ya kuleta proof na evidence ambazo at the time they will be termed factual; wewe leo ukisema haikuwa milky way bali uji wa ulezi au machungwa na kuleta mtiririko ambao una logic basi hilo ndio litakuwa what is known at any given time...
Dini kuwa na muongozo uliyo tayari ni sababu liishakamilika kupitia vitabu tunachoambiwa ni kutafuta zile evidence kwenye vitabu kwa kufanya interpretion ya verse zilizopo
 
A contingent multitude repudiates the plausibility of a Supreme Being, yet the meticulous orchestration of cosmic mechanics inexorably intimates an omniscient Architect. Empirical inquiry elucidates the immutable axioms governing the natural order—whence originates such profound exactitude? The convoluted architecture of deoxyribonucleic acid, the unfathomable expanse of the firmament, and the profundity of human introspection bespeak an ontological reality transcending stochastic happenstance.

If existence is devoid of an intelligent Primum Movens, whither derives its intrinsic teleology? What rationale undergirds the universal human proclivity toward moral rectitude, aesthetic appreciation, and existential inquiry—facets inexplicable through mere Darwinian utility? The sacred writ articulates, “The benighted in his innermost cogitation avers, ‘There is no Deity.’” (Psalm 14:1). Yet, Divinity does not impose credulity by coercion; rather, He proffers an epistemological summons.

Jesus Christ constitutes the apotheosis of divine self-disclosure. Historical exegesis corroborates His corporeal manifestation, thaumaturgical exploits, and verifiable resurrection. If His attestations hold veracity, to eschew His ontological implications is the quintessence of folly.

Dare you venture the audacious entreaty, “Omniscient One, should You veritably subsist, unveil Thyself unto me?” A solitary, unfeigned supplication may well recalibrate the trajectory of your eternal ontos.

CC: Infropreneur; Kiranga; Satan
Kwa hiki kizungu hata atheist hawatakuja hapa.
 
Hebu fikiri tena kwa makini: Kama ufufuo wa Yesu ungekuwa hearsay, kwa nini wengi waliokuwa mashahidi wake wa karibu walikubali kuteswa na kuuawa kwa kushikilia ushuhuda wao? Sizungumzii mtu mmoja aliyedai kumuona Yesu aliyefufuka, bali makundi ya watu (1 Wakorintho 15:3-6). Ikiwa yote haya yalikuwa uzushi, kwa nini maelfu ya watu walihatarisha maisha yao kwa jambo ambalo walijua ni uongo?
Hivi kwanini majibu mengi ya kiimani huwa yanapatikana humo humo kwenye vitabu vya kiimani, ambavyo wabishi na watu wengi wasio na imani huwa hawaamini/ hawajiamini?
 
Mfano kuna mwanamazingaombwe alikuwa anakuja na kukata watu vichwa (common sense ilinipelekea kusema kwamba ile ni trick na sio kwamba alichinga watu na kuwafufua)
Kwa taarifa yako kuna mazingaombwe yanayofanywa kwa kutumia uchawi au nguvu za giza(demons). Kuna mtu mmoja alikuwa akifanya mazingaombwe mahali fulani kwa nguvu za giza. Mtumishi mmoja wa Mungu akaenda pale akaanza kukemea kimya kimya kwa Jina la Yesu mazingaombwe yasifanyike. Yule mwanamazingaombwe alifanya njia zote akashindwa kufanya mazingaombwe yake. Baadaye akasema kuna mtu hapa anazuia!! Hiyo inathibitisha ukweli wa yote yaliyoandikwa kwenye Biblia. I presume, umesoma habari za Farao na Wachawi wa Misri – Kutoka 7:10-12, wachawi wa Farao walifanya miujiza kama ile ya Musa, kubadilisha fimbo kuwa nyoka, lakini nguvu zao zilishindwa na nguvu za Mungu.
 
Hivi Hoja ni Nini ? Mbona kama unajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe kwa perception yako ? (Ungebase kwenye Imani yako na kujibu kulingana na Imani kungekuwa hakuna tatizo), Kwahio the Onus is on you kuleta Imani yako na vipengele vyake ili watu waweze kuonyesha contradiction au kwanini sio factual na itendelea kubaki kama Imani...

Hizi labelling nyingine sijui Atheists n.k. ni kudilute hoja na kwenda further and further from the lecture at hand..., Wewe unachokiamini (ni Imani yako wala hakuna wa kukupinga) ila Imani sio Factual na ili tuibadilishe iwe factual you need to come with concrete evidences..., zaidi ya hapo watafiti na watu ambao ndio wamekuwa Giants katika Human Civilization wataendelea kutafuta (Seeker of Truth and Knowledge); Na binafsi bora niendelee kuwa na the latter kuliko indoctrinated hypocrites who base their lives and arguments on self fulfilling prophecies...; Sababu tungebakia na hao watu we would have been stuck on the times when their believes became mainstream (be it Spanish Inquisition or Holly Wars) take your pick...
Nilishawahi kusema humu, kila mtu abaki na Imani yake, haya Mambo ya kusema Kama kweli MUNGU yupo aje kujidhihirisha, ni kutafuta matausi tu.
 
Dini kuwa na muongozo uliyo tayari ni sababu liishakamilika kupitia vitabu tunachoambiwa ni kutafuta zile evidence kwenye vitabu kwa kufanya interpretion ya verse zilizopo
Hilo ndio tatizo langu kitu ambacho unadhani kimekamilika huwezi kutoka kwenye ulichodhani hapo mwanzo utakuwa unatetea tu kilichopo (inakuwa ni cult na following na sio pursuit of knowledge)

Tofauti na Sayansi huku ni fluidity watu wanabadilika hawapo chained.., I might say they are Free Mentally without chains...

Ukizingatia hicho kitabu chako wewe kwa mwingine ni Novel (sio kwamba ni universally accepted) it's mere existence is arguably invalid...
 
Nilishawahi kusema humu, kila mtu abaki na Imani yake, haya Mambo ya kusema Kama kweli MUNGU yupo aje kujidhihirisha, ni kutafuta matausi tu.
That is what I said from the get go... to each their own.., ila unapotaka kufanya imani / faith kwamba ni facts au ni sayansi, sisi wadau wa pursuit of knowledge lazima tujaribu kuweka mambo sawa kidogo (yaani kusukuma Imani where it belongs)
 
Hivi kwanini majibu mengi ya kiimani huwa yanapatikana humo humo kwenye vitabu vya kiimani, ambavyo wabishi na watu wengi wasio na imani huwa hawaamini/ hawajiamini?
Swali zuri sana. Katika nyanja yoyote ya elimu, majibu hupatikana kwenye vyanzo vinavyohusiana nayo. Ukimuuliza mwanasayansi kuhusu fizikia, atarejea vitabu vya sayansi; ukimuuliza mwanasheria swali, atakutajia katiba na sheria. Vivyo hivyo, masuala ya kiimani yanajibiwa kwa vyanzo vya kiimani. Ndiyo sababu mimi majibu yangu mengi nafanya reference kwenye Biblia.
 
Hilo ndio tatizo langu kitu ambacho unadhani kimekamilika huwezi kutoka kwenye ulichodhani hapo mwanzo utakuwa unatetea tu kilichopo (inakuwa ni cult na following na sio pursuit of knowledge)

Tofauti na Sayansi huku ni fluidity watu wanabadilika hawapo chained.., I might say they are Free Mentally without chains...

Ukizingatia hicho kitabu chako wewe kwa mwingine ni Novel (sio kwamba ni universally accepted) it's mere existence is arguably invalid...
Kwa hyo wewe una imani gani, how did life begin on earth
 
Kwa taarifa yako kuna mazingaombwe yanayofanywa kwa kutumia uchawi au nguvu za giza(demons). Kuna mtu mmoja alikuwa akifanya mazingaombwe mahali fulani kwa nguvu za giza. Mtumishi mmoja wa Mungu akaenda pale akaanza kukemea kimya kimya kwa Jina la Yesu mazingaombwe yasifanyike. Yule mwanamazingaombwe alifanya njia zote akashindwa kufanya mazingaombwe yake. Baadaye akasema kuna mtu hapa anazuia!! Hiyo inathibitisha ukweli wa yote yaliyoandikwa kwenye Biblia. I presume, umesoma habari za Farao na Wachawi wa Misri – Kutoka 7:10-12, wachawi wa Farao walifanya miujiza kama ile ya Musa, kubadilisha fimbo kuwa nyoka, lakini nguvu zao zilishindwa na nguvu za Mungu.
Mazingaombwe yote its just tricks, tofauti yangu na wewe ni kwamba wewe unasema duh jamaa ana nguvu za giza mimi nakwenda deep na kuuliza je amefanyaje ? Au nikupe the trick behind the trick of ya Indian Rope Trick...

Na hili ndio tatizo kubwa watoto wanazaliwa wakiwa na inquisitive mind hizi baadhi ya imani zinawafunga badala ya kuuliza na kuhoji zinawapa majibu rahisi ya nguvu za giza au miracles...
 
Kwa taarifa yako kuna mazingaombwe yanayofanywa kwa kutumia uchawi au nguvu za giza(demons). Kuna mtu mmoja alikuwa akifanya mazingaombwe mahali fulani kwa nguvu za giza. Mtumishi mmoja wa Mungu akaenda pale akaanza kukemea kimya kimya kwa Jina la Yesu mazingaombwe yasifanyike. Yule mwanamazingaombwe alifanya njia zote akashindwa kufanya mazingaombwe yake. Baadaye akasema kuna mtu hapa anazuia!! Hiyo inathibitisha ukweli wa yote yaliyoandikwa kwenye Biblia. I presume, umesoma habari za Farao na Wachawi wa Misri – Kutoka 7:10-12, wachawi wa Farao walifanya miujiza kama ile ya Musa, kubadilisha fimbo kuwa nyoka, lakini nguvu zao zilishindwa na nguvu za Mungu.
Ni tric
Wameishakuja hapa. Hujawaona?
Sawa sestella rwegoshora, tuendelee na malumbano ya hoja, binafsi Mimi siyo atheist tupo pamoja kupambana na Hawa atheist.
 
Kwa taarifa yako kuna mazingaombwe yanayofanywa kwa kutumia uchawi au nguvu za giza(demons). Kuna mtu mmoja alikuwa akifanya mazingaombwe mahali fulani kwa nguvu za giza. Mtumishi mmoja wa Mungu akaenda pale akaanza kukemea kimya kimya kwa Jina la Yesu mazingaombwe yasifanyike. Yule mwanamazingaombwe alifanya njia zote akashindwa kufanya mazingaombwe yake. Baadaye akasema kuna mtu hapa anazuia!! Hiyo inathibitisha ukweli wa yote yaliyoandikwa kwenye Biblia. I presume, umesoma habari za Farao na Wachawi wa Misri – Kutoka 7:10-12, wachawi wa Farao walifanya miujiza kama ile ya Musa, kubadilisha fimbo kuwa nyoka, lakini nguvu zao zilishindwa na nguvu za Mungu.
Ni tric
Swali zuri sana. Katika nyanja yoyote ya elimu, majibu hupatikana kwenye vyanzo vinavyohusiana nayo. Ukimuuliza mwanasayansi kuhusu fizikia, atarejea vitabu vya sayansi; ukimuuliza mwanasheria swali, atakutajia katiba na sheria. Vivyo hivyo, masuala ya kiimani yanajibiwa kwa vyanzo vya kiimani. Ndiyo sababu mimi majibu yangu mengi nafanya reference kwenye Biblia.
Hapa atheist ambao ni wanasayansi mtagombana, watakwambia ukamuite MUNGU ndo wataamini.
 
Back
Top Bottom