dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 596
- 1,475
Sidhani kama dini inasema watu wa believe blindly, kuna elimu unasoma ili u reason na dunia jinsi ilivyo jinsi human mind ilivyo complex, mimea ilivyo, milima ikiwa ina support balancing ya mzunguko wa dunia, jinsi particles zilivyo, hivyo vyote haziwezi tokea on their own, lazima kuna power inahusika na hayo yote, kama vile wanasayansi wanavyoema kuwa tupo kwenye milky way galaxy kwa kuangalia jinsi nyota angani zilivyoTofauti kubwa kati ya faith (Imani) katika imani tayari una majibu unachofanya ni kujaribu (in hindsight which is normally 20/20) kuverify au kucheza na data ili zikubaliane na imani yako, tena hizi Imani ukipinga tu unaonekana unakufuru..., wakati Sayansi / au what am championing for ni kutafuta ukweli kulingana na data au kilichopo wakati huo yaani am Set Free na sipo chained na kitu chochote kile wala sijawa indoctrinated (kwahio hata wewe leo ukija ukasema kwamba kumbe kuna huyu jamaa ndio alifanya haya yote kwa kutumia magic wand hii hapa na nikaona beyond any reasonable doubt basi what you say shall be the truth, wala hakuna shida. Lakini watu wa Imani wanaweza hata wakasema hio ni illusion au unachodhani kwa wakati huo sicho (sababu hakiendani na Imani zao au vitabu vyao) au watatumia loophole kwamba huenda hicho kitabu kimechakachuliwa au msomaji hakuelewa...
In short its a rabbit hole which I normally have neither time nor willingness to pursue sababu hazina end goal / wala mwisho wa siku hazina hitimitisho la jibu (sababu unaambiwa jibu utalipata ukifa wakati hakuna mtu atakayekufa atarudi kutoa mrejesho / au as we know it to be factual kwamba ukifa is the end)
Yap..., and that is the beauty of it, continuous pursue of the truth / facts without being chained or indoctrinated of what is truth, hence using your precious commodity (time) trying to defend and explain what you believe is the truth instead of finding and challenging what is know...; That's why I champion this kind of thinking, knowing that we do not know thus continuously finding things, not by faith but by evidences thus changing the theories to facts.... and if new evidence come along we don't defend what we used to know but we welcome the new findings and give Kudos to the finder as a motivation to continue the pursuit of knowledge (that's why we have been evolving as a specie and been able to conquer / manage other species)
I had rather use my time thinking about infinity which at the end of the day I can prove my theory mathematically than pursue something which in the end I can never find any truth if am right or wrong (unless am doing it for self fulfillment / feel good factor); but to me I can get that fulfillment in other things in which If I start the journey, I will know when am lost or on the right track (tofauti na hapo in my opinion it will be a fools errand) by as I always say to each their own...;
I always try to deal with the points / Hoja at hand.., kilichowekwa mezani kwa wakati husika na sio nani kasema hivi au vile..., Being Chained in one set of belief hinders you to see the bigger picture or pursue other avenues.., I don't know about those so called Atheists; but am sure those people today if you came with evidence about what you are proposing they will happily agree with you (but that evidence should not come from another non verified source);
Science needs Proof; Faith... well faith is what you believe those are your own individual truths which it won't be fair to me to try to take you from your opium (especially if its side effects is not massively do the detriment of the society, although it's sometimes is)
If faith is the truth from Alfa to Omega.., so its has never swayed from the right pass, while science and other things are pursuit of knowledge sometimes by try and error..., Je uoni kwamba kwa sayansi kufanya makosa ni kawaida (means to an end) katika kutafuta ukweli..., LAKINI Ukweli ambao ni UKWELI na haujawahi kubadilika wala haupaswi kubadilika sababu unatoka kwa a Know it All being..., Kama hapo katikatika ulikosea njia, then maybe it was never the truth at all....; How can a Know it All make a Mistake ?!!!
But a seeker of truth will always makes some mistakes and corrects them, that is how we learn...
Bring irrefutable truth and your truth will become our truth..., no need to convince us just show us....