Several pupils killed after classroom collapses at Precious Talent School in Nairobi

Several pupils killed after classroom collapses at Precious Talent School in Nairobi

We jamaa mbona huelewi hiyo iliyopolomoka si nyumba,ni kibanda ya mbao na Bati
Halafu,nairobi mbona majengo huanguka anguka tu mara kwa mara,kuna matatizo gani?
Sawa. Nadhani tumeelewana.
 

Ebu angalia hapo kwako kabla utaje ya Jirani
Unajua ninyi mnachekesha?
Changamoto hizi ni zile ambazo zinaweza kutatulika papohapo.
Ila sio km ninyi mnajenga shule kwa mbao na mabati.
Kheri ya mgonjwa mmeza dawa kuliko mgonjwa maututi wa ICU.
 
Poleni wafiwa wote, tunapomboleza kwa kupoteza watoto wasio na hatia. Hatua kali zichambuliwe dhidi ya waliosababisha maana haya. Na tuangalia Sheria za majengo ya shule zetu hii ni kwa East Africa yote. Mungu ibariki Africa
 
Poleni sana majirani,,ila suala majengo kuporomoka huko kwenu imekuwa too much,!
 
We kichaa unaelewa maaana ya wote??!!
Ebu punguza urongo.
Sema baadhi sio wote.
Maana wapo wanaopeleka watoto wao uingereza ama US wakasome from primary to University.

Wakenya hawatumi watoto wao Tanzania wasome.
 
Unaongelea mambo ya 90's, mpo so brainwashed abt tz, nyinyi majengo yenu yanaporomoka, madaraja, sasa shule, Mungu aepushie mbali majengo mengine ya social services, sababu from the way it looks, its obvious huwaga mnaibaga hadi materials za ujenzi.

Plizz. Naongea maneno ya sasa hivi.
Catholic University in Nairobi is almost 30% Tanzanians. They are so many in UoN and KU too.
90s watanzania hawakuwa na pesa ya kusomeshea watoto wao Kenya.
 
Plizz. Naongea maneno ya sasa hivi.
Catholic University in Nairobi is almost 30% Tanzanians. They are so many in UoN and KU too.
90s watanzania hawakuwa na pesa ya kusomeshea watoto wao Kenya.
Basi hao Watz wanaokuja kusoma higher education Kenya basi ni masikini ama vipato vya kati hawana hela.
Matajiri higher education huwenda kusomea India,China,Turkey,Misri,USA.
Fuatilia sana Watz wenye hela wanakimbilia huko tena sana sana Turkey wamejazana kuliko udhaniavyo.
 
Wanafunzi saba wamethibitika kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kuta za darasa kuwaangukia katika shule ya Precious Talent iliyopo barabara ya Ngong

Kwa mujibu wa Shirika la Uokoaji la Msalaba Mwekundu la Nchini humo, wanafunzi waliojeruhiwa wamekimbizwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta

Taarifa zinasema kuwa timu za uokoaji nyingine zinaelekea eneo tukio huku chanzo cha darasa hilo kuanguka hakijajulikana bado

*****
Several pupils have been confirmed dead and others injured after a classroom collapsed on them at Precious Talent School on Ngong Road in Nairobi.


According to Dagoreti Sub-county commander George Seda, seven pupils have so far been confirmed dead.

Over 30 injured pupils have been rushed to Kenyatta National Referral Hospital. Response teams are on the scene.

The cause of the incident remains unclear.
Nilidhan kuta ya concrete kumbe mbao,RIP watoto
 
Kila kitu nynyi ni 90s[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaongelea mambo ya 90's, mpo so brainwashed abt tz, nyinyi majengo yenu yanaporomoka, madaraja, sasa shule, Mungu aepushie mbali majengo mengine ya social services, sababu from the way it looks, its obvious huwaga mnaibaga hadi materials za ujenzi.
 
Wapo wengi sana huku, mikoa tofauti tofauti. Usijidanganye

Why would any Kenyan of right mind send their kids to study in LDC Tanzania.. 😂 😂 😂
Mtu atoke kufunzwa kwa kingereza aende kufunza kwa kiswahili.
 
Plizz. Naongea maneno ya sasa hivi.
Catholic University in Nairobi is almost 30% Tanzanians. They are so many in UoN and KU too.
90s watanzania hawakuwa na pesa ya kusomeshea watoto wao Kenya.
Mm I was talking about primary and secondary education

Catholic university kweli wapo wabongo wengi wanaokuja hapo, hao na wanaoendaga vyuo Ug ni wale wanakuwa wamekosa vyuo huku Tz kutokana na credits zao.
 
So Wewe ni jang'o?
Mambo ya kusikitisha sana.

If only Kenyans ditch shortcut trends and actually work in coordination with professionals (instead of quacks,to save some shillings). Also, institutions mandated to carry out quality assurances and what not are sleeping on their jobs.

RIP to the bright pupils whose futures have been dimmed by this tragic occurrence. En wach malich ahinya.
 
MY GOD!!!!IS THERE IS A GOVERNMENT THERE??
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
 
Kuanguka kwa majengo kutokana na kujengwa chini ya kiwango au uchakavu kumbe ni natural calamity,
Asee very funny.
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
 
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
Asa ndugu yangu kuhusu lori la mafuta inaeleweka ujinga wa watu kukimbilia gari la petroleum ambalo ni flammable.
Ila kuhusu hiyo shule haikujengwa kiubora mpk kuwaangukia wanafunzi.
Hiyo siyo natural calamity kabbisa.
Maana hakuna typhoon wind wala earthquake wala tsunami ilopita hapo.
Na ingekua natural calamity basi isingewakumba wanafunzi tu bali watu wengi wa Nairobi.
Tusisherehekee wala kuleta ushabiki ktk hili lakini ndugu yangu local government zenu zitizameni kiundani.Haiwezekani shule iliyo ktk capital city iwe na kiwango kibovu cha miundombinu hivyo.
Mshurutisheni msimamizi upesi.
 
Tony254,
Hapa waTanzania wanashangaa halmashauri au county government ya jiji kubwa kama Nairobi kuwa na shule yenye miundomsingi hatarishi.

Tanzania kitu kama hicho huwezi ona, maana kuna process ndefu kuhakikisha shule ktk jiji kubwa kuwa salama hususan majengo yake.
 
Back
Top Bottom