Several pupils killed after classroom collapses at Precious Talent School in Nairobi

Several pupils killed after classroom collapses at Precious Talent School in Nairobi

Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
We kweli zwazwa hata natural calamities huzijui,we kweli shule ulienda kusoma ujinga
 
Why would any Kenyan of right mind send their kids to study in LDC Tanzania.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtu atoke kufunzwa kwa kingereza aende kufunza kwa kiswahili.
English academy zipo kibao,it depends bro wengine Ni wakenya lakin wanaishi Tz, ttzo akili yako mgando huwezi kuelewa vitu kama hivi
 
That's Tzedians like Giza Ulale ,Re Dimmer na Msukuma Akili Mbaya hizo ndio tabia zao. These folks are true sadists and psychopaths.

When will Nairobi buildings stop to kill innocent people like this?
About 50% of buildings in Kenya are not fit for human habitation.
 
Wewe unacheka na watoto saba wamefariki? Una utu kweli?
Bora walio kufa kuliko wanaoishi maisha ya kibera bora kuishi kaburini kulikp slum Watoto waliokufa tunawatakia pumziko jema ila pole ni Kwa walio nusurika Kwa majeraha
 
Duh!!chenga tupu kabisa walai
Bora walio kufa kuliko wanaoishi maisha ya kibera bora kuishi kaburini kulikp slum Watoto waliokufa tunawatakia pumziko jema ila pole ni Kwa walio nusurika Kwa majeraha
Hapa yani umeonyesha roho yako ni mbaya..nimeanza kushuku ya kwamba nynyi ni wale mkizaa albino mnawauza for rituals
 
Duh!!chenga tupu kabisa walai
Hapa yani umeonyesha roho yako ni mbaya..nimeanza kushuku ya kwamba nynyi ni wale mkizaa albino mnawauza for rituals
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsamehe
 
Jamaa kanishangaza sana walai ..thats why wengi wao ni wachawi
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsamehe
 
Wakuwacheka ni wale waliotoa permit ya ujenzi wa jengo bovu na pia wakaguzi! usilete ujinga na upumbavu katika hili!

Unachosema kina ukweli mchungu, wewe uliona wapi ghorofa linajengwa KWA mbao tupu bila ya nguzo za zege au machuma?? Ni upuuzi tupu!
Watoto wanakufa eti halafu tunasema ni natural calamities au "hii ni kazi ya Mungu haina makosa"!!
Ni kazi ya Mungu au Watu Fulani wapumbavu????

Kuporomoka kwa ghorofa lililojengwa kwa mbao ni natural calamities??????????
Hii ni natural calamities au INTENTIONALLY MAN-MADE DISASTERS????
 
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsamehe

Hakuna MTU yeyote ambaye anayeweza kusheherekea kifo cha binadamu mwingine asiye NA hatia, isipokuwa tunatakiwa tuungane wote ktk kupita vita dhidi ya uzembe ulipitiliza WA kujenga ghorofa za mbao ambazo zinasababisha maafa KWA makusudi KWA Watu wengine
 
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani

Is this a natural calamity or INTENTIONALLY MAN-MADE DISASTER??
 
Mambo ya kusikitisha sana.

If only Kenyans ditch shortcut trends and actually work in coordination with professionals (instead of quacks,to save some shillings). Also, institutions mandated to carry out quality assurances and what not are sleeping on their jobs.

RIP to the bright pupils whose futures have been dimmed by this tragic occurrence. En wach malich ahinya.
0TymJoi.png


Nyani wa Tanzania huwa haoni kundule .
 
Wakuwacheka ni wale waliotoa permit ya ujenzi wa jengo bovu na pia wakaguzi! usilete ujinga na upumbavu katika hili!
Soma post yangu hapa juu halafu uwache upumbavu na ujinga nyani wa Tz ona kundu lako kwanza hapo juu.
 
Wanafunzi saba wamethibitika kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kuta za darasa kuwaangukia katika shule ya Precious Talent iliyopo barabara ya Ngong

Kwa mujibu wa Shirika la Uokoaji la Msalaba Mwekundu la Nchini humo, wanafunzi waliojeruhiwa wamekimbizwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta

Taarifa zinasema kuwa timu za uokoaji nyingine zinaelekea eneo tukio huku chanzo cha darasa hilo kuanguka hakijajulikana bado

*****
Several pupils have been confirmed dead and others injured after a classroom collapsed on them at Precious Talent School on Ngong Road in Nairobi.


According to Dagoreti Sub-county commander George Seda, seven pupils have so far been confirmed dead.

Over 30 injured pupils have been rushed to Kenyatta National Referral Hospital. Response teams are on the scene.

The cause of the incident remains unclear.

What we can say? But we wish them well anyhow.
 
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani

Thats not a natural calamity. A building collapsed because rules were not followed during construction!!

It's not like an earthquake struck Nairobi.
 
Matokeo ya corruption na ubahili sekta ya ujenzi Kenya - slab badala ya nondo imetumika chicken wire mesh!
 
Back
Top Bottom