Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Tangu lini nyani akaona kundule?![]()
Nyani wa Tanzania huwa haoni kundule .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini nyani akaona kundule?![]()
Nyani wa Tanzania huwa haoni kundule .
Don't act like these things don't happen down thereThats not a natural calamity. A building collapsed because rules were not followed during construction!!
It's not like an earthquake struck Nairobi.
Sasa kaa ukijua hata wapinzani wenu maarufu wamesomea sheria UD
Hata hii pia ni corruptionMatokeo ya corruption na ubahili sekta ya ujenzi Kenya - slab badala ya nondo imetumika chicken wire mesh!
Bwaaaaaaah sasa kufa na kuishi kibera bora nini ? Ukweli usemwe na kuhusu wachawi ni hakina nani !! Sasa acha nikutajie wachawi ili uwajueJamaa kanishangaza sana walai ..thats why wengi wao ni wachawi
We jamaa fara kweli, mm nina washkaji wakenya nawajua na marafiki zao wanasoma na kuishi Tz. Baki na ignorance yako.You wish.
Labda wale walitorokea usalama wao wakati wa serikali ya Moi.
Bwaaaaaaah sasa kufa na kuishi kibera bora nini ? Ukweli usemwe na kuhusu wachawi ni hakina nani !! Sasa acha nikutajie wachawi ili uwajue
1 waliojenga shule mbovu
2 walioluusu wanafunzi kusoma kwenye shule mbovu
3 wazazi waliopeleka wanafunzi kwenye hayo machinjio
4 serikali ya Kenya Kwa kuluusu wanafunzi kusoma kwenye hayo machinjio mnayoyaita school
HAO NDIYO WACHAWI bila kusahau kibwagizo " bora kuishi kaburini kuliko kuishi kibera slum"
Bwaaaaaaah sasa kufa na kuishi kibera bora nini ? Ukweli usemwe na kuhusu wachawi ni hakina nani !! Sasa acha nikutajie wachawi ili uwajue
1 waliojenga shule mbovu
2 walioluusu wanafunzi kusoma kwenye shule mbovu
3 wazazi waliopeleka wanafunzi kwenye hayo machinjio
4 serikali ya Kenya Kwa kuluusu wanafunzi kusoma kwenye hayo machinjio mnayoyaita school
HAO NDIYO WACHAWI bila kusahau kibwagizo " bora kuishi kaburini kuliko kuishi kibera slum"
Ebu tazama hii kabla ya kunyoosha kidole kwa mwenzio! Mnafiki mkubwa wewe!
Yaani kila kitu nyie huwa ni mashindano [emoji51][emoji51][emoji51]
Mathayo 7: 5 "Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako"
Luka 6:41
Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
Mtwara siyo dar pia ni mkoa duni sana ila siyo kama Kenya mjaa tupu sisi tunashangaa shule hiyo iliyopo mji kuwa hivyo
Ebu tazama hii kabla ya kunyoosha kidole kwa mwenzio! Mnafiki mkubwa wewe!