Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
We kweli zwazwa hata natural calamities huzijui,we kweli shule ulienda kusoma ujingaSasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
English academy zipo kibao,it depends bro wengine Ni wakenya lakin wanaishi Tz, ttzo akili yako mgando huwezi kuelewa vitu kama hiviWhy would any Kenyan of right mind send their kids to study in LDC Tanzania.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtu atoke kufunzwa kwa kingereza aende kufunza kwa kiswahili.
That's Tzedians like Giza Ulale ,Re Dimmer na Msukuma Akili Mbaya hizo ndio tabia zao. These folks are true sadists and psychopaths.
Naweza kukufundisha kiingereza wewe na ukoo wako woteWe kweli zwazwa hata natural calamities huzijui,we kweli shule ulienda kusoma ujinga
Sawa mzee wa natural calamity😂😂😂😂😂Naweza kukufundisha kiingereza wewe na ukoo wako wote
Bora walio kufa kuliko wanaoishi maisha ya kibera bora kuishi kaburini kulikp slum Watoto waliokufa tunawatakia pumziko jema ila pole ni Kwa walio nusurika Kwa majerahaWewe unacheka na watoto saba wamefariki? Una utu kweli?
Hapa yani umeonyesha roho yako ni mbaya..nimeanza kushuku ya kwamba nynyi ni wale mkizaa albino mnawauza for ritualsBora walio kufa kuliko wanaoishi maisha ya kibera bora kuishi kaburini kulikp slum Watoto waliokufa tunawatakia pumziko jema ila pole ni Kwa walio nusurika Kwa majeraha
Acha utahira mjinga nini, kila kitu kwako ni upimbi tu silly.Baada ya nyumba za uyoga kuporomoka sasa mashule mahospitali yaja! failed state ina vituko!
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsameheDuh!!chenga tupu kabisa walai
Hapa yani umeonyesha roho yako ni mbaya..nimeanza kushuku ya kwamba nynyi ni wale mkizaa albino mnawauza for rituals
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsamehe
Wakuwacheka ni wale waliotoa permit ya ujenzi wa jengo bovu na pia wakaguzi! usilete ujinga na upumbavu katika hili!
Don't be surprised, that's how Tanganyikans reason. Ukiona mtu anasherekea kifo, jua ana tatizo, tena a kubwa sana. Huenda kesho hiyo kifo itabisha mlangoni mwake. Mungu amsamehe
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani
Mambo ya kusikitisha sana.
If only Kenyans ditch shortcut trends and actually work in coordination with professionals (instead of quacks,to save some shillings). Also, institutions mandated to carry out quality assurances and what not are sleeping on their jobs.
RIP to the bright pupils whose futures have been dimmed by this tragic occurrence. En wach malich ahinya.
Soma post yangu hapa juu halafu uwache upumbavu na ujinga nyani wa Tz ona kundu lako kwanza hapo juu.Wakuwacheka ni wale waliotoa permit ya ujenzi wa jengo bovu na pia wakaguzi! usilete ujinga na upumbavu katika hili!
Wanafunzi saba wamethibitika kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kuta za darasa kuwaangukia katika shule ya Precious Talent iliyopo barabara ya Ngong
Kwa mujibu wa Shirika la Uokoaji la Msalaba Mwekundu la Nchini humo, wanafunzi waliojeruhiwa wamekimbizwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta
Taarifa zinasema kuwa timu za uokoaji nyingine zinaelekea eneo tukio huku chanzo cha darasa hilo kuanguka hakijajulikana bado
*****
Several pupils have been confirmed dead and others injured after a classroom collapsed on them at Precious Talent School on Ngong Road in Nairobi.
According to Dagoreti Sub-county commander George Seda, seven pupils have so far been confirmed dead.
Over 30 injured pupils have been rushed to Kenyatta National Referral Hospital. Response teams are on the scene.
The cause of the incident remains unclear.
Sasa na natural calamity mambo na serikali inangiliaje? Ni aibu sana kuleta mchezo kwenye mambo kama haya kwa sababu inaonyesha ukosefu wa utu na ubinadamu. Watoto wamepoteza maisha ila wewe kwa njia fulani unasherekea. Wakati lori la mafuta ilipouwa watu huko bongo hivi majuzi tu, uliuliza serikali yenu iko wapi? Kuna mambo mengine hayafai siasa ziingizwe ndani