Sex after menstruation period, unaweza kupata mimba?

Mkuu duu,akimaliza mwezini akae hata siku 2 basi.
Halafu unaogopa nini?mbona wenzako tunapiga hata danger days
 
Nimelipenda jibu hili. Binafsi nikimaliza zangu nakaa siku 2 bila kufanya kitu. Kwanza kuna kaharufu flank kanabaki ambacho binafs nakisikia Haya nikisex na mtu bivi kutakuwa na raha gani Hapo etiii. Aaghaaa. Muwe na kinyaa buana time zingine

"Ukisex na mtu"
 
Wakuu habari ya jioni! Niende kwenye swali moja kwa moja.. "Je inawezakana mwanamke akapata ujauzito kama atafanya mapenzi mara tu baada ya period kuisha? Mfano period imeisha usiku wa kuamkia Jumapili 16/4 na yeye akafanya mapenzi tarehe 17/4

Guidance hii hapa dogo:

HEDHI ni siku tano (1-5), siku ya sita mpaka ya kumi (6-10) ni SALAMA, siku ya kumi na moja mpaka kumi na nane (11-18) ni HATARI na siku kumi na tisa hadi ishirini na nane (19-28) ni SALAMA.

Za kufundishwa na wewe ongeza zako.
 
Nimelipenda jibu hili. Binafsi nikimaliza zangu nakaa siku 2 bila kufanya kitu. Kwanza kuna kaharufu flank kanabaki ambacho binafs nakisikia Haya nikisex na mtu bivi kutakuwa na raha gani Hapo etiii. Aaghaaa. Muwe na kinyaa buana time zingine
Ya tatu halali
 
Hakuna mimba hapo.
Iko hivi mwanamke anapoingia bleed hiyo huitwa siku yake ya 1 then baada ya siku 3 hadi 5 bleed inakata, hapo una siku kama 5 za kupiga mzigo bila mimba na kuanzia siku 11 hadi ya 17 hapa huwa ovary yake ndani siku yeyote ina release ovum (yai) kwenye tumbo la unazi (uterus womb) kwa kusubili urutubishaji kutoka kwenye mbegu za kiume na baada ya Masaa 48 hadi 72 kama hakuna mbegu yeyote ile ya kiume yai huwa linaanza kusagika pamoja na ukuta wa tumbo la uzazi kuanzia hiyo siku ya 17 hadi 28 au 30 na baada ya hapo hutolewa nje kama blood tissues( bleeding) kwa jina maarufu kaingia siku zake.
Note. Kuanza siku yai linaposagika yaani 17 hadi siku atakapoingia bleed huwa tuna suuza lungu kavu kavu kwa kuwa ndani ya siku hizo hapati mimba kwa kuwa yai lake linakuwa limeharibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…