John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
Mkuu wee chumvi unaweka na gloves au [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
mimi naamini kila kabila lina mila zao...
wafate wazee!
maana mjini unakuta mtu kalima majani ya maboga ,wakija majirani kuomba anawaambia chuma tu...
kumbe mtu yuko kwa siku zake
kesho majani yote yanakua mekundu hayafai, mtu na period anapika naanaweka chumvi[emoji23] chakula