After menstruation follows a totally barren period! Hakuna kabisa uwezekano wakupata mimba Mara baada ya menstruation! Ila siku za kumwezesha kupata mimba inategemea na urefu wa mzunguko wake! Kwa mzunguko wa kawaida wa siku 28, ovulation inatokea around the 14th day! Kumbuka mzunguko unaanza siku ya kwanza ya kuingia hedhi. Tangu mwanzo wa hedhi mpaka ovulation ni Siku 14 (kwa kawaida). Hedhi kwa kawaida ni siku 4-6. Kwa hiyo baada ya hedhi zinabakia siku 8 kufikia ovulation (fertile period). Toa siku 2 au 3 kwa uhakika, zinabaki siku 5. Tumetoa siku mbili au tatu kwa sababu sperms zina uwezo wa kustahimili kwa masaa zaidi ya 48 kwenye tumbo LA uzazi na mirija ya uzazi. Kwa hiyo inawezekana mwanamke aliyeingiliwa siku mbili zilizopita na Leo akipata ovulation akatunga mimba!
Kwa hiyo siku zilizo salama kwa uhakika kabisa ni siku 4 baada ya hedhi! Ya tano INA usalama nusu!
Elimu hii wasome wana ndoa tu! Watoto wa SHULE elimu hii ioneni kama kituo cha polisi!