John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
Mkuu wee chumvi unaweka na gloves au [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
mimi naamini kila kabila lina mila zao...
wafate wazee!
maana mjini unakuta mtu kalima majani ya maboga ,wakija majirani kuomba anawaambia chuma tu...
kumbe mtu yuko kwa siku zake
kesho majani yote yanakua mekundu hayafai, mtu na period anapika naanaweka chumvi[emoji23] chakula
Huwa nakukubali sana usiniangushe kwa hiliMhh mkuu jamani.
Ipo jukwaa gani nika-gain somethingNimeweka thread ya fertilization kama una interest kaisome.
Ushamjibu mdogo wako?Mhh mkuu jamani.
Jukwaa la Jf Doctors?Nimeweka thread ya fertilization kama una interest kaisome.
Henia!!!Mwanammke huenda Hedhi siku7
Haijalishi imeisha siku ya kwanza hio hio au ya 3..
lazima akae 7days....
7days hizo kuna baadhi ya mambo haruhusiwi wana dini mnajua wote... mambo asilia wanajua pia, na nyinyi wanaume hamtakiwi kuwaingilia ndani ya siku7 hizo!
hivi nyinyi wanaume msoenda jandoni mna nini? kila siku mnapishana kutibu henia[emoji22][emoji22]
Of course elimu hii ni muhimu sana na inawezekana kuzuia mimba hata bila kutumia kinga iwapo tu wanaume wengi wataifahamu bahati mbaya wengi walivyojibia mtihani ndo ikawa kwaheri mwalimu, wanawake ni viumbe dhaifu wawapo sita kwa sita sometime anakuambia tumia silaha za maangamizi yupo kwenye siku za kushika mimba unakuta kidume kinakomaa kusimamia show nyama kwa nyama lakini kama wanaume wengi wakijua hili kuna baadhi ya siku katika mwezi kunakuwa hakuna nyama kwa nyama.Kweli mkuu inabidi tuanze kupiga kitabu upya
Duh hadi 18? Au 16?Guidance hii hapa dogo:
HEDHI ni siku tano (1-5), siku ya sita mpaka ya kumi (6-10) ni SALAMA, siku ya kumi na moja mpaka kumi na nane (11-18) ni HATARI na siku kumi na tisa hadi ishirini na nane (19-28) ni SALAMA.
Za kufundishwa na wewe ongeza zako.
sipikagiMkuu wee chumvi unaweka na gloves au [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwaiyo mumeo utamlisha afkeki au [emoji23] [emoji23] [emoji23]sipikagi
nampelekaga kwa mpango wa kando[emoji23][emoji23][emoji23] sitaki keleleKwaiyo mumeo utamlisha afkeki au [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kila la kheri mkuu[emoji3] [emoji3]nampelekaga kwa mpango wa kando[emoji23][emoji23][emoji23] sitaki kelele
Duh hadi 18? Au 16?
barabaraaKila la kheri mkuu[emoji3] [emoji3]