Mkuu hiyo inawezekana cos mimi ilinitokea kama leo amina period imekata kesho yake nikala mzigo na kitumbo kikabust imekaaje hii ishu.....kwanza inabd ujue period inasababishwa na nini...ukijua hvyo huwezi uliza kamwe...
Period inatokea pale Yai likiwa limeshaharibika baada ya kukaa kwenye uterus bila kurutubishwa
sasa Hiyo Mimba inaenda kurutubishwa kwenye Yai gan??
barabaraa
After menstruation follows a totally barren period! Hakuna kabisa uwezekano wakupata mimba Mara baada ya menstruation! Ila siku za kumwezesha kupata mimba inategemea na urefu wa mzunguko wake! Kwa mzunguko wa kawaida wa siku 28, ovulation inatokea around the 14th day! Kumbuka mzunguko unaanza siku ya kwanza ya kuingia hedhi. Tangu mwanzo wa hedhi mpaka ovulation ni Siku 14 (kwa kawaida). Hedhi kwa kawaida ni siku 4-6. Kwa hiyo baada ya hedhi zinabakia siku 8 kufikia ovulation (fertile period). Toa siku 2 au 3 kwa uhakika, zinabaki siku 5. Tumetoa siku mbili au tatu kwa sababu sperms zina uwezo wa kustahimili kwa masaa zaidi ya 48 kwenye tumbo LA uzazi na mirija ya uzazi. Kwa hiyo inawezekana mwanamke aliyeingiliwa siku mbili zilizopita na Leo akipata ovulation akatunga mimba!
Kwa hiyo siku zilizo salama kwa uhakika kabisa ni siku 4 baada ya hedhi! Ya tano INA usalama nusu!
Elimu hii wasome wana ndoa tu! Watoto wa SHULE elimu hii ioneni kama kituo cha polisi!
Hapana haiwezekani..Wakuu habari ya jioni,
Niende kwenye swali moja kwa moja, "Je inawezakana mwanamke akapata ujauzito kama atafanya mapenzi mara tu baada ya period kuisha? Mfano period imeisha usiku wa kuamkia Jumapili 16/4 na yeye akafanya mapenzi tarehe 17/4.
Hiyo sio Normal siwezi nikasema moja kwa moja umeibiwa lakini hali ya hvyo ni ngumu sana mkuu.... maana mwanamke akiwa period ina maana ovum(yai) linakuwa limeshaharibika haliwezi kufanya fertilizationMkuu hiyo inawezekana cos mimi ilinitokea kama leo amina period imekata kesho yake nikala mzigo na kitumbo kikabust imekaaje hii ishu.....
Mwanammke huenda Hedhi siku7
Haijalishi imeisha siku ya kwanza hio hio au ya 3..
lazima akae 7days....
7days hizo kuna baadhi ya mambo haruhusiwi wana dini mnajua wote... mambo asilia wanajua pia, na nyinyi wanaume hamtakiwi kuwaingilia ndani ya siku7 hizo!
hivi nyinyi wanaume msoenda jandoni mna nini? [emoji22][emoji22]
kuwabaka[emoji23][emoji23][emoji23]kuwaingilia ndio neno gani mkuu?tunatumia neno kuingilia pale bashite alipoenda kuingia clouds. just kidding