Sexless: Ukiona mchumba wako anaumwa sana wakati wa hedhi basi ujue-katumika sana, katumia sana Vidonge vya kuzuia mimba ama amechoropoa sana

Sexless: Ukiona mchumba wako anaumwa sana wakati wa hedhi basi ujue-katumika sana, katumia sana Vidonge vya kuzuia mimba ama amechoropoa sana

Kuna kuumwa ukubwani hii sasa ndo vyanzo vinaweza kuwa alivyovitaja mleta mada...ila kuna wale watoto tuu from first menstr.. anaumwa kweli kweli..nyie wanaume jitafakarini na nyie ni kina baba mtakua na mabinti sijui ndo mtawaaambia hivi mnavyosema??
 
Mm Kama daktari narudia kusisitiza huu huu ni uwongo. Jibu maswali ya kwenye uzi. Ushawahi kumuona bibiako/mamako analalamikia hedhi? Why now?
Unataka kusema haya magonjwa yameanza mwaka gani? Kwamba zamani hawakuwa wachafu ama vipi, au bacteria wa zamani hawakuwa wakali kama wa sasa hivi?
 
Kibayolojia kuna sababu zifuatazo zinazosababisha maumivu wakati wa hedhi:
  • 1. Endometriosis.
  • 2. Uterine fibroids.
  • 3. Adenomyosis.
  • 4. Pelvic inflammatory disease.
  • 5. Cervical stenosis.
(Kajisomee mwenyewe hukunilipia ada)

Katika sababu zote hizo ni moja tu (no.5) ndiyo huwezi kumlaumu mwanamke kwa kutokujitunza.

Zilizobakia zote zinasababishwa ama na maambukizi wakati wa kujamiiana au kutumia madawa ya kuzuia mimba mara kwa mara..

Na nyingine husababishwa na utoaji mimba.

Kwahiyo ukiona huyo unayemuita bebi anagugumia mpk kulzwa wakati wa hedhi ujue umepigwa. Katumika mpk kachakaa. Homoni za kike pamoja na mifumo ya via vya uzazi imeparaganyika.

Wewe ktk makuzi yako ushawahi hata kusikia kuwa mamako yuko kwenye hedhi? Au kalazwa kwasbb ya hedhi? Sasa kwann hawa viumbe wa leo? Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???

Na kwa wanawake wa hivi mtoto utamtafuta kwa tochi.

Kataa uhuni wa mapenzi, achana na midada iliyotumika.

Chukua ushauri huu toka kwa kungwi na daktari mbobezi Sexless
Aisee! Kumbeee!! Nilikuwa sifahamu hili.
 
Kibayolojia kuna sababu zifuatazo zinazosababisha maumivu wakati wa hedhi:
  • 1. Endometriosis.
  • 2. Uterine fibroids.
  • 3. Adenomyosis.
  • 4. Pelvic inflammatory disease.
  • 5. Cervical stenosis.
(Kajisomee mwenyewe hukunilipia ada)

Katika sababu zote hizo ni moja tu (no.5) ndiyo huwezi kumlaumu mwanamke kwa kutokujitunza.

Zilizobakia zote zinasababishwa ama na maambukizi wakati wa kujamiiana au kutumia madawa ya kuzuia mimba mara kwa mara..

Na nyingine husababishwa na utoaji mimba.

Kwahiyo ukiona huyo unayemuita bebi anagugumia mpk kulzwa wakati wa hedhi ujue umepigwa. Katumika mpk kachakaa. Homoni za kike pamoja na mifumo ya via vya uzazi imeparaganyika.

Wewe ktk makuzi yako ushawahi hata kusikia kuwa mamako yuko kwenye hedhi? Au kalazwa kwasbb ya hedhi? Sasa kwann hawa viumbe wa leo? Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???

Na kwa wanawake wa hivi mtoto utamtafuta kwa tochi.

Kataa uhuni wa mapenzi, achana na midada iliyotumika.

Chukua ushauri huu toka kwa kungwi na daktari mbobezi Sexless
Uterine fibroid inasababishwa na nini?? Si kweli kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In
Daktari..ulifundishwa pia habari za primary dysmenorrhoea ?
Ndiyo! Ni maumivu ya hedhi yasababishwayo na kichocheo kiitwacho prostaglandin.

Lkn maumivu siyo makali kiviiile mpk mtu alazwe hospitali.

Mkuu nimeuliza maswali kwenye uzi wangu hapo kwamba :- kwann wazazi wetu suala la maumivu makali ya hedhi hatukuwahi kulisikia kwao?

Na hata sasa suala hili limeenea Sana mijini kwa wapenda ngono. Vijijini lipo kwa kiasi kidogo mno.

Tusishiriki dhambi ya kuwatetea wazinzi hawa.
 
In

Ndiyo! Ni maumivu ya hedhi yasababishwayo na kichocheo kiitwacho prostaglandin.

Lkn maumivu siyo makali kiviiile mpk mtu alazwe hospitali.

Mkuu nimeuliza maswali kwenye uzi wangu hapo kwamba :- kwann wazazi wetu suala la maumivu makali ya hedhi hatukuwahi kulisikia kwao?

Na hata sasa suala hili limeenea Sana mijini kwa wapenda ngono. Vijijini lipo kwa kiasi kidogo mno.

Tusishiriki dhambi ya kuwatetea wazinzi hawa.
Daktari ukiacha adenomysis , endometriosis hizo zingine zinasababisha maumivu ya hedhi ?

Na ukiacha PID hivyo vingine vinasababishwa na uzinzi ??
 
Daktari ukiacha adenomysis , endometriosis hizo zingine zinasababisha maumivu ya hedhi ?

Na ukiacha PID hivyo vingine vinasababishwa na uzinzi ??
Mkuu mbona kama unataka nikupe bure elimu nikiyoigharamia mpk huko nje? Nicheki inbox nikupe namba ulipie
 
Ili asiwe ametumika.
Anatakiwa afanywe mara ngapi katika maisha yake?
 
Kibayolojia kuna sababu zifuatazo zinazosababisha maumivu wakati wa hedhi:
  • 1. Endometriosis.
  • 2. Uterine fibroids.
  • 3. Adenomyosis.
  • 4. Pelvic inflammatory disease.
  • 5. Cervical stenosis.
(Kajisomee mwenyewe hukunilipia ada)

Katika sababu zote hizo ni moja tu (no.5) ndiyo huwezi kumlaumu mwanamke kwa kutokujitunza.

Zilizobakia zote zinasababishwa ama na maambukizi wakati wa kujamiiana au kutumia madawa ya kuzuia mimba mara kwa mara..

Na nyingine husababishwa na utoaji mimba.

Kwahiyo ukiona huyo unayemuita bebi anagugumia mpk kulzwa wakati wa hedhi ujue umepigwa. Katumika mpk kachakaa. Homoni za kike pamoja na mifumo ya via vya uzazi imeparaganyika.

Wewe ktk makuzi yako ushawahi hata kusikia kuwa mamako yuko kwenye hedhi? Au kalazwa kwasbb ya hedhi? Sasa kwann hawa viumbe wa leo? Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???

Na kwa wanawake wa hivi mtoto utamtafuta kwa tochi.

Kataa uhuni wa mapenzi, achana na midada iliyotumika.

Chukua ushauri huu toka kwa kungwi na daktari mbobezi Sexless

Enzi nasoma kujibia mihitani nikutana na dhana kama hizo za kwako ila baada ya kutafuta uhalisia, nikagundua kuwa hizo sababu zinabeba kama 45% ya uhalisia
Hivyo wala usijidanganye, zipo sababu nyingi tofauti na hizo ambazo nyingine bado zinafanyiwa utafiti.
Wewe bado ni beginner, ukibobea utajua; naomba usipotoshe watu, Pole!
 
Back
Top Bottom