SGR Construction in Tanzania - UPDATES

SGR Construction in Tanzania - UPDATES

SGR TZ
g.jpg
f.jpg
a.jpg
b.jpg
e.jpg
c.jpg
ni
 
Never seen such ujuakali in my whole life! Nairobi is China town now! They came n conquered.
Wewe wacha. Advertisements are ways of making cash by the county government. Anyone can put up any advert long as you pay. We've got Chinese working and living in NBO. What's wrong with such an ad?

Grow up
 
Kenya, kenya, kenya....what u did in ur SGR is one step ahead and two steps back...
 
Hili povu mh!!! Limezidi kiwango. Wakenya punguzeni wivu wa kijinga.
Hakuna povu hapo mbona hutaki kuskia ukweli? Hata mimi naona hawa watu wako juakali sana,mbona ndio wamemaliza pila moja tangu miezi almost tatu sasa(walianza kabla jamii forum ifungwe kwa muda) na wakati huo huo ndio mchina aliaza kazi NNP lakini ukiangalia hizi picha ni tofauti kama usiku na mchana.....mchina hashindi akiambia watu anafanya kazi usiku na mchana bt matokeo unaiona
tapatalk_1532843074147.jpeg
wacheni usanii ati mnafanya kazi usiku na mchana pR tupu
tapatalk_1532843124541.jpeg
tapatalk_1532843118264.jpeg
tapatalk_1532843096787.jpeg
tapatalk_1532843079729.jpeg
tapatalk_1532842999643.jpeg
tapatalk_1532842999643.jpeg
tapatalk_1532843074147.jpeg
tapatalk_1532843096787.jpeg
tapatalk_1532843124541.jpeg
 
Last edited:
Hakuna povu hapo mbona hutaki kuskia ukweli? Hata mimi naona hawa watu wako juakali sana,mbona ndio wamemaliza pila moja tangu miezi almost tatu sasa(walianza kabla jamii forum ifungwe kwa muda) na wakati huo huo ndio mchina aliaza kazi NNP lakini ukiangalia hizi picha ni tofauti kama usiku na mchana.....mchina hashindi akiambia watu anafanya kazi usiku na mchana bt matokeo unaionaView attachment 821653wacheni usanii ati mnafanya kazi usiku na mchana pR tupuView attachment 821645View attachment 821646View attachment 821647View attachment 821648View attachment 821649View attachment 821652View attachment 821653View attachment 821647View attachment 821645
Mchina anatumia beam 2 sisi tuna tumia beam 4. What a big difference. Pia sisi bado kwa juu tunamwaga zege itapo pita train
 
Lakini kiukweli sgr ya bongo ujenzi unaenda taratibu sana ata kama ni kwa viwango. Lakini kasi yao ni ndogo sana.
 
Mchina anatumia beam 2 sisi tuna tumia beam 4. What a big difference. Pia sisi bado kwa juu tunamwaga zege itapo pita train
Izo pillar zenu ni weak kwa muonekano....ndio maana mnajenga na less cash,kila kitu ni poorly done.
 
Wewe wacha. Advertisements are ways of making cash by the county government. Anyone can put up any advert long as you pay. We've got Chinese working and living in NBO. What's wrong with such an ad?

Grow up
unalielewa?
 
Mkuu baba kilam lakini ata masanja mwenyewe amekili wapo nyuma kwa asilimia 5. Licha ya changamoto ya mvua lakini walibidi wawe angalau asilimia mbele sio nyuma. Yaani mkuu ata nguzo kusimika bado hawajamaliza zote. Ila yote kwa yote waongeze tu kasi maana kazi zao ni nzuri. Na huyo Waziri mpya wa wizara mbona yupo kimya sio kama mzenji alivyokua anachakalika hadi usiku
 
Mkuu baba kilam lakini ata masanja mwenyewe amekili wapo nyuma kwa asilimia 5. Licha ya changamoto ya mvua lakini walibidi wawe angalau asilimia mbele sio nyuma. Yaani mkuu ata nguzo kusimika bado hawajamaliza zote. Ila yote kwa yote waongeze tu kasi maana kazi zao ni nzuri. Na huyo Waziri mpya wa wizara mbona yupo kimya sio kama mzenji alivyokua anachakalika hadi usiku
Asilimia 4 na si 5 na walitoa sababu mvua kubwa zikizopita na wamesema they will put efforts to be in track. FYI they are already at 20%
 
Back
Top Bottom