SGR Construction in Tanzania - UPDATES

Ile reli yao ya Mombasa Nairobi sasa hivi Mchina anapasua madaraja.
 
Kaka upo nyuma Sana ya wakati, rekebisha saa yako uweze kufikia walipo wengine
 

I see narrow gauge on left! This is completed SGR.
 
wakenya mna roho mbaya sana msingependa kuiona TANZANIA ilkiwa na hata ndege moja, SASA MNAUMIA SANA
Na wataumia sana!! pesa tunazo tutanunua cash! hatutaki madeni kwa kuanzia miaka hii mitano ndege 7 standard gauge ya umeme tena na yenye ubora si ya hao warugaruga ndege za mkopo mita gauge yao ya mkopo,watambue tu watapata taaabu sana.
 
wakenya mna roho mbaya sana msingependa kuiona TANZANIA ilkiwa na hata ndege moja, SASA MNAUMIA SANA
Mnyonge ama masikini ndiye huwa amejaa wivu...kwa sasa angalia hii section ya Kenyan News, alafu uniambie ni nani wengi kama sio wa huko kwenu kila siku kufungua nyuzi hapa za Tanzania. Pili hebu niambie kama utawapata Wakenya kwa Jukwaa la siasa wakipiga domo na kujisifu vile wako juu. Tatu hebu enda pale Kennyatalk uangalie kama utawapata Jukwaa maalum la Jamii forums wakiingilia habari za Watanzani. Sisi wakenya tuna heshima sana lakini wakati unapotukanyaga vidole lazima we react. Mkuu wewe hatujajibizana siku nyingine na naomba hoja zetu ziwe za watu wazima wenye akili timamu, najua kuna WaTzee walio na heshima sana lakini wengi ndani ya Kenya Forums ni waliojawa na wivu wa kike.
 

Wewe ndio una wivu wa kike, nakumbuka ulisema kuwa dreamliner yetu haitakuja. Kiko wapi sasa? Kajinyonge sasa na wivu wako wa kijinga.
 
SGR Tanzania


SGR KENYA
Mngechukua locomotives kama SD70ACe au SD90MAC kwa ajili ya FREIGHT ningewaelewa then hayo Ndiyo mgetumia katika PASSENGER. Locomotives za mchina kwa upande wa Diesel locomotives hamna kitu Diesel locomotives zenye high tractive effort and better fuel economy niza EMD au GE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…