Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh yaani moro Dom nauli elf 10??🤣 Basi nomaaHaya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Km zipiAthari ziko nyingi sana, zingine zitaoonekana baadae ila sio sasa.
Someni hapa:
Tathimini: Ujio wa treni ya kisasa na athari zake kwa biashara ya usafiri wa anga na barabara
Ukweli ni kwamba wakati dunua inaachana na treni za kizamani,hata sisi kama Taifa katika huu ulimwengu hatuwezi kubaki nyuma ni lazima na sisi tuende sambamba na wenzetu ingawa sisi tunaweza kuwa na mapungufu katika kutekeleza miradi mikubwa kama hii. Mfano,katika nchi nyingine mikataba kama...www.jamiiforums.com
Utaelewa keshoHello sijaelewa
Samia tena 2025 ndio kilichobakia. YAANI sasa mtasahau shida zenu zote. 😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Ataehujumu Sgr kadogosa amesema ni msaliti na muhujumu uchumi wa Tanzania adhabu yake ni Kali sanaserikali na watanzania kwa ujumla wawe macho nao, wasije kuhujumu.
10K kwa lini, mbona nimetoka hapo sasa hivi ni 13KHaya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
na iwe hivyo!!Na akigundulika mtu hataachwa salama hadi kizazi chake cha nne...!!!
Kwa usumbufu ulioanza kujitokeza soon wateja watarudiMr. Abood stay stable!, kwa nauli ya 13,000/- you are unbeatable, kibiashara watakimbilia SGR, but very soon watarudi kwenye ABBOD COUCH,
BELIEVES ME!, Endapo yanatoka 20 stay cool soon idadi itapanda na kufikia 40 buses!
-crocodiletooth mchambuzi yakinifu!
Unfriendly environments matters!, studies zinaonyesha treni hii itatumiwa zaidi na wasafiri wa Dodoma.Kwa usumbufu ulioanza kujitokeza soon wateja watarudi
- Ukataji e-ticket SGR una usumbufu na kutoaminika
- Usafiri kutoka sehemu mbalimbali za jiji kwenda na kutoka station ni mgumu
- Bundi na ngedere hawatafutiwi ufumbuzi
- Abiria wanazuiwa kusafiri na mizigo na hakuna innitiatives za kuwa na cargo wargon
- Access roads to and from railway stations ni mbovu
Hahaha na treni linakwamia morogoro kila wakati dah, mchawi sana dhibitiwe huyu!Abood jana kaanza kuhujumu SGR, mabasi hayataenda popote
Mmeshajenga Jenga Barabara ya kitetoAweke Arusha Kiteto
Mwarabu ni mshirikina hatariHahaha na treni linakwamia morogoro kila wakati dah, mchawi sana dhibitiwe huyu!
Halafu ukishalewa Ulojo unamtukana Magufuli!!Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Ni mbaya kishenziMmeshajenga Jenga Barabara ya kiteto