Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 808
- 2,155
Nahakuna mpango wowote unamjua kiteto Iko center ikipata lami itakuwa sana kiuchumiNi mbaya kishenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahakuna mpango wowote unamjua kiteto Iko center ikipata lami itakuwa sana kiuchumiNi mbaya kishenzi
Yap kwanza ndiyo soko kuu la mahindi na itakuwa shortcut ya Arusha MorogoroNahakuna mpango wowote unamjua kiteto Iko center ikipata lami itakuwa sana kiuchumi
Unfriendly environments matters!, studies zinaonyesha treni hii itatumiwa zaidi na wasafiri wa Dodoma.
Nauli imeshuka tangu lini mkuu?Haya ndio matokeo ya SGR, imeleta machaguo zaidi kwa abiria. Sasa hata nauli Abood imeshuka kutoka 13,000 mpaka 10,000.
SSH5tena
Kalkulate fare to morogoro for SGR VS Buses! Utapata jawabu kamili.Weka angalau Moja ya hio study
Lakini nao watahitaji sana kusafiri na mizigo yaoUnfriendly environments matters!, studies zinaonyesha treni hii itatumiwa zaidi na wasafiri wa Dodoma.
Amedanganya nauli ni 13K nimesafiri leo kwa bei hiyoNauli imeshuka tangu lini mkuu?
Lazima huu mrandi uhujumiweserikali na watanzania kwa ujumla wawe macho nao, wasije kuhujumu.
Ni kweli mkuu, kule mambo hayakawii kuharbika , mara bund mara nyan ,mara nyokaMr. Abood stay stable!, kwa nauli ya 13,000/- you are unbeatable, kibiashara watakimbilia SGR, but very soon watarudi kwenye ABBOD COUCH,
BELIEVES ME!, Endapo yanatoka 20 stay cool soon idadi itapanda na kufikia 40 buses!
-crocodiletooth mchambuzi yakinifu!
Kwa sgr au basi mkuu?Amedanganya nauli ni 13K nimesafiri leo kwa bei hiyo
Hiyo Mtwara- Bukoba siyo mchezo aisee.Hii ndio hali halisi, wananchi wana machaguo mengi sasa, hata nauli imeshuka kutoka 13,000 mpakq 10,000.
Sasa wafungue njia mpya, kuna sehemu zina lami nzuri lakini mabasi hovyo, Mbeya Mwanza, Mwanza Bukoba, Arusha Tarime, Tanga Mwanza, Tarime Dar. Turiani Mwanza.Mtwara Bukoba, Lindi Mwanza.
Ukiweka sufuria za mchina lazima zitoboke, hapo anakaa msweden mwenyewe
Zote hizo njia dume
SSH2025/2030
Ni 13K Abood, ila kuna wanawake fulani wamepandia Mlandizi kuja Dar nadhani ni walimu wale wamepgwa 5K kila mmoja, wamebisha wakaomba 3K jamaa akawaambia shukeni, wakanyweaKwa sgr au basi mkuu?
Pia kumbuka abood ni rahisi kushusha bei mpaka 9000/-