SGR Dodoma -Dar yaanza rasmi leo 25 July 2024 usiku huu

SGR Dodoma -Dar yaanza rasmi leo 25 July 2024 usiku huu

KIKWETE ATAKUJA KUKWAMBIA ALIANZISHA YEYE. ALIMUACHIA MAAGIZO MAGUFULI
 
Tukutane baada ya 5yrs, Shabiby, ABC, Kimbinyiko nk ndio utawajua watz na makucha yao.

Hatuombei mabaya, ila nchi yetu inajulikana. Hatujawahi kuwa watunzaji wa mali zetu.
 
Kujenga ni Process, haswa kwenye miradi inayohitaji pesa nyingi hivyo.

Hata huyo Magu wako hajatekeleza. Mradi kauacha ukiwa less than 60%. Yeye alikuta kila kitu kimeshawekwa, yeye akaindorse funds.

Waliofuata wangeamua kuona hauna maana wangeachana nao tu.
Ht 60% hiyo kajitajidi sn kwenye nchi hii ya viongozi wanaozingua
 
Hatimaye SGR imeanza kazi rasmi kwa safari za Dodoma -Dar.

Watu wa viunga vya Dodoma wamechangamkia fursa cha kuvutia zaidi ni jengo la station kuu Dodoma, jengo lake limejenjwa mithili ya ternlmials za aieport na lenye nakshi za taa nzuri za kuvutia.

Watu wa Dodoma nao wamechangamkia fursa kwa kukata tiketi kwa ajili ya kutunia usafiri huu ambapo usiku huu wamepanga foleni kwa ajili ya kupata huduma ya usafiri.

Sio vibaya tukampa shukrani mbeba maono na mwanzilishi wa huduma hii muhimu..Mwenda zake Magufuli.

Rai yangu kwa viongozi wengine wajifunze katika hili nao wawe na moyo wa uthubutu.

Rais Samia unalo la kujifunza hapa.
View attachment 3051256View attachment 3051257View attachment 3051258View attachment 3051259

Pia soma:Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa kagua SGR, Treni kuanza kufanya kazi Juni 14 (Dar-Moro), Julai 25 (Dar-Dom)
Viva Samia, uliikuta reli haijafika hata kilometa 40, sasa mpaka mabehewa yapo, yanatembea
 
Huyo mtoto hana adabu. Hana aya hata kidogo. Kisa kafutuka anajiona kakua.

Malabuk.
Nimeongea ukweli! Unamchukia Magu unaongea kuonyesha hana kitu kikubwa alichokifanya hapo

Kua na aibu hata kidogo! Ni vile upo huko vijijini sisi huku wa mjini tunamshkuru kwa miundombinu aliyotuachia!
 
Nje ya mada kidogo


Hivi anaepaswa kufanya marekebisho miundombinu ya mradi wa Mwendokasi ni nani?
 
Nimeongea ukweli! Unamchukia Magu unaongea kuonyesha hana kitu kikubwa alichokifanya hapo

Kua na aibu hata kidogo! Ni vile upo huko vijijini sisi huku wa mjini tunamshkuru kwa miundombinu aliyotuachia!
Simchukii yule mzee. Matumizi mabaya ya chuki. Nimchukie Marehemu?

Alifanya kwa kiwango chake. Kwa uthubutu mkubwa.

Tukigawa kwa asilimia basi tutampa
Ben 10%
Msoga 2%
Magu 55%
Suluhu 33%.

Amefanya sehemu kubwa. Ila haimaanishi ndiye pekee aliyeshinikiza.

Hope umeelewa ewe mwana usiye na adabu.
 
SGR imekamilika hadi Dodoma, tuishukuru sana Serikali ya CCM, tena sana sana, chini ya Mama yetu, Rais wetu mpendwa, Samia Suluhu Hassan, haya ni maendeleo makubwa sana…!!! Chadema mkitaka kuandamana mnaruhusiwa kuapanda ndege za ATCL na treni ya umeme muandamane mikaoni. CCM ni chama cha kufanya kazi na kuleta maendeleo makubwa ya kuonekana na Chadema kazi yao kuandamana na kupanda ndege na treni, sasa wananchi siku hizi wana elimu wanajua mbivu na mbichi, mchele na chuya..!!
 
Simchukii yule mzee. Matumizi mabaya ya chuki. Nimchukie Marehemu?

Alifanya kwa kiwango chake. Kwa uthubutu mkubwa.

Tukigawa kwa asilimia basi tutampa
Ben 10%
Msoga 2%
Magu 55%
Suluhu 33%.

Amefanya sehemu kubwa. Ila haimaanishi ndiye pekee aliyeshinikiza.

Hope umeelewa ewe mwana usiye na adabu.
Hapa sasa ndiyo umeongea vitu vya kueleweka kama marks nakupa 40/100
Mzee wa hovyoo!
 
Nauli bei gani Dom- Dar?Madaraja yakoje? Behewa la ng'ombe lipo,nataka nihamie ma Ndalisalama huko....Kwi pwani- .Nikifika mnipeleke Lumumba nikapaone...Mie ngosha...CCM wamekula sana ng'ombe wa Babu...yangu..Nione walivyojijenga hapo..Halafu nitajua la kufanya..
 
SGR imekamilika hadi Dodoma, tuishukuru sana Serikali ya CCM, tena sana sana, chini ya Mama yetu, Rais wetu mpendwa, Samia Suluhu Hassan, haya ni maendeleo makubwa sana…!!! Chadema mkitaka kuandamana mnaruhusiwa kuapanda ndege za ATCL na treni ya umeme muandamane mikaoni. CCM ni chama cha kufanya kazi na kuleta maendeleo makubwa ya kuonekana na Chadema kazi yao kuandamana na kupanda ndege na treni, sasa wananchi siku hizi wana elimu wanajua mbivu na mbichi, mchele na chuya..!!
Wananchi wenye Elimu...!?Ipi ..ya CCM...!? HIYO INAKUFAA WEWE NA WAZAZI WAKO TU..CHADEMA na SGR wameingiaje hapo??
 
SGR imekamilika hadi Dodoma, tuishukuru sana Serikali ya CCM, tena sana sana, chini ya Mama yetu, Rais wetu mpendwa, Samia Suluhu Hassan, haya ni maendeleo makubwa sana…!!! Chadema mkitaka kuandamana mnaruhusiwa kuapanda ndege za ATCL na treni ya umeme muandamane mikaoni. CCM ni chama cha kufanya kazi na kuleta maendeleo makubwa ya kuonekana na Chadema kazi yao kuandamana na kupanda ndege na treni, sasa wananchi siku hizi wana elimu wanajua mbivu na mbichi, mchele na chuya..!!
7bu ya kuwashukuru ni ipi?
Waliomba kura ijapo hawakupewa ili wafanye nini?
 
baada ya miaka 5 huo mradi unajifia, BRT ile pale, daladala za Mbezi zimerudi
 
Mbeba maono ni Ben Mkapa.

Mchochea maono ni JK wa Msoga.

Mtekeleza maono ni Mwendazake Magufuli

Mtimiliza maono ni yeye Suluhu

Kila mmoja kwa nafasi yake ametenda kwa kiwango fulani.

Tupia picha!
Safi kabisa
 
Simchukii yule mzee. Matumizi mabaya ya chuki. Nimchukie Marehemu?

Alifanya kwa kiwango chake. Kwa uthubutu mkubwa.

Tukigawa kwa asilimia basi tutampa
Ben 10%
Msoga 2%
Magu 55%
Suluhu 33%.

Amefanya sehemu kubwa. Ila haimaanishi ndiye pekee aliyeshinikiza.

Hope umeelewa ewe mwana usiye na adabu.
Yaani mtu kuota tu nako anataka apongezwe??
 
Back
Top Bottom