SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.

Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂

Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..

Itaharibika tu
 
Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.

Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂

Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..

Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
 
Huduma nzuri kama hii badala ya kuendelea kuboreshwa utashangaa baada ya miaka 2 inaanza kufa taratibu yale yale tu kama mwendokasi, kuna majitu huko wakiwemo wafanyakazi wanatafuta namna ya kuipiga sgr, ngozi nyeusi sijui imelaaniwa dah!
 
Kati ya ndege na train ipi ina risk ndogo zaidi?
Ndege belt sio kwasababu ya ajali. Ndio maana ikifika juu unaruhusiwa kufungua mkanda. Unafikiri ukiwa juu haiwezi kupata ajali? Climbing na landing ni high risk ndio maana mkanda lazima kwenye kupaa na kushuka. Treni haipai inatembea kwenye njia yake.
 
Back
Top Bottom