SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

Huduma nzuri kama hii badala ya kuendelea kuboreshwa utashangaa baada ya miaka 2 inaanza kufa taratibu yale yale tu kama mwendokasi, kuna majitu huko wakiwemo wafanyakazi wanatafuta namna ya kuipiga sgr, ngozi nyeusi sijui imelaaniwa dah!
Miaka 2 mingi sana sema uchaguzi ukiisha, utaambiwa SGR inaenda service Korea
 
ivi kama unasafari ya dumila unashuka kituobgani uwai unapoenda au reli ipo mbali sa na eneo ilo
 
Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
Saa kumi na mbili ratiba hapo juu,kama unataka lala lodge kaliakoo, hapo unasogea na bolt station ya SGR asubuhi, pia utafidia hiyo cost incentive kwa kuwahi kufika na kuepuka kula pale msamvu
 
Dar-Mwz saa 8½ litatoboa kabla halijaanza kugonga mifugo au na uzio tayari?
 
Ila hawa watu. Mwanzo ya Morogoro ilikuwa hivyo hivyo watu wakalalamika wakaweka saa tatu. Sasa kweli napand express kuna sababu gani ya kuamka saa 10? Basi hata waweke ingine saa tatu,nne au saa sita mchana.
Nadhani kwenye ratiba ndio tunachangomoto sana sijui huwa tuna fail wapi, saa 11 train inaondoka sasa inategemea unaishi wapi unatakiwa ufike saa moja kabla maana uwepo saa 10 Alfajir station sasa uamke labda saa 9 au saa 8 inategemea unaishi wapi, hapo utaingia gharama zingine usafiri wa usiku kwenda kituo na tunajuwa bei itakuwa juu sababu huna option nyingi za kukufikisha kituo.

Kuna haja ya hizi ratiba zilenge kufanya wepesi kwa wateja na kupunguza stress za mtu kuwaza niamke saa ngapi, usafiri alfajir nitapata kweli? je nikipata shida barabarani nitapata usafiri mbadala... Naomba TRC waje na ratiba ilyoenda shule na yenye ushawishi.
 
Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
Watakua wamewalenga wafanyq biashara, wazee wa go & return
 
Saa kumi na mbili ratiba hapo juu,kama unataka lala lodge kaliakoo, hapo unasogea na bolt station ya SGR asubuhi, pia utafidia hiyo cost incentive kwa kuwahi kufika na kuepuka kula pale msamvu
😀😀 Ni ngumu kumlizisha kila mtu. By the way mradi ndo unaanza, Ratiba zitakua zinafanyiwa mabadiriko kulingana na mwitikio
 
Nadhani kwenye ratiba ndio tunachangomoto sana sijui huwa tuna fail wapi, saa 11 train inaondoka sasa inategemea unaishi wapi unatakiwa ufike saa moja kabla maana uwepo saa 10 Alfajir station sasa uamke labda saa 9 au saa 8 inategemea unaishi wapi, hapo utaingia gharama zingine usafiri wa usiku kwenda kituo na tunajuwa bei itakuwa juu sababu huna option nyingi za kukufikisha kituo.

Kuna haja ya hizi ratiba zilenge kufanya wepesi kwa wateja na kupunguza stress za mtu kuwaza niamke saa ngapi, usafiri alfajir nitapata kweli? je nikipata shida barabarani nitapata usafiri mbadala... Naomba TRC waje na ratiba ilyoenda shule na yenye ushawishi.
Mbona mabasi yapo kuanzia saa 9 alfajiri mpaka 11. Kuna watu watapanda treni wafike dom mapemaa ili wawahi sehemu nyengine kwa haraka.
 
Mbona mabasi yapo kuanzia saa 9 alfajiri mpaka 11. Kuna watu watapanda treni wafike dom mapemaa ili wawahi sehemu nyengine kwa haraka.
Ma bus yapo muda wowote alfajiri saa 2, 3 4,5,6 mpaka saa 8 na usiku yapo option ziko zote hapa naongelea SGR na sijasema wafute alfajir ila waweke option zaidi ya moja hata mbili tu sawa.
 
Kati ya ndege na train ipi ina risk ndogo zaidi?
Ndege unafunga mkanda wakati wa kuruka na kutua, ukiwa angani safari inaendelea sio lazima kufunga, ndiomaana kuna hadi siti za kulala
 
Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.

Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂

Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..

Safi. Pongezi kwa kila aliyohusika kulifanikisha hili
 
Back
Top Bottom