Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Magufuli na yeye si alikuwa Sehemu ya Serikalli Au kulikuwa na Magufuli na kulikuwa na Serikali?...Sukuma gang mna VIMBWANGA!Taja KUDOs Magufuli acha unafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli na yeye si alikuwa Sehemu ya Serikalli Au kulikuwa na Magufuli na kulikuwa na Serikali?...Sukuma gang mna VIMBWANGA!Taja KUDOs Magufuli acha unafiki
kwa sababu ya uswahili na umagoma wetuKwanini?
Miaka 2 mingi sana sema uchaguzi ukiisha, utaambiwa SGR inaenda service KoreaHuduma nzuri kama hii badala ya kuendelea kuboreshwa utashangaa baada ya miaka 2 inaanza kufa taratibu yale yale tu kama mwendokasi, kuna majitu huko wakiwemo wafanyakazi wanatafuta namna ya kuipiga sgr, ngozi nyeusi sijui imelaaniwa dah!
Sababu ipi mkuu,mbona mnatabirinBaada ya mwaka au miaka miwili huo muda utazidisha mara 3
Saa kumi na mbili ratiba hapo juu,kama unataka lala lodge kaliakoo, hapo unasogea na bolt station ya SGR asubuhi, pia utafidia hiyo cost incentive kwa kuwahi kufika na kuepuka kula pale msamvuHili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
Kwanza hiyo biashara Huwa haidumu.Biashara ya mabasi naona ikifa kifo cha mende
Nadhani kwenye ratiba ndio tunachangomoto sana sijui huwa tuna fail wapi, saa 11 train inaondoka sasa inategemea unaishi wapi unatakiwa ufike saa moja kabla maana uwepo saa 10 Alfajir station sasa uamke labda saa 9 au saa 8 inategemea unaishi wapi, hapo utaingia gharama zingine usafiri wa usiku kwenda kituo na tunajuwa bei itakuwa juu sababu huna option nyingi za kukufikisha kituo.Ila hawa watu. Mwanzo ya Morogoro ilikuwa hivyo hivyo watu wakalalamika wakaweka saa tatu. Sasa kweli napand express kuna sababu gani ya kuamka saa 10? Basi hata waweke ingine saa tatu,nne au saa sita mchana.
Watakua wamewalenga wafanyq biashara, wazee wa go & returnHili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
😀😀 Ni ngumu kumlizisha kila mtu. By the way mradi ndo unaanza, Ratiba zitakua zinafanyiwa mabadiriko kulingana na mwitikioSaa kumi na mbili ratiba hapo juu,kama unataka lala lodge kaliakoo, hapo unasogea na bolt station ya SGR asubuhi, pia utafidia hiyo cost incentive kwa kuwahi kufika na kuepuka kula pale msamvu
Mbona mabasi yapo kuanzia saa 9 alfajiri mpaka 11. Kuna watu watapanda treni wafike dom mapemaa ili wawahi sehemu nyengine kwa haraka.Nadhani kwenye ratiba ndio tunachangomoto sana sijui huwa tuna fail wapi, saa 11 train inaondoka sasa inategemea unaishi wapi unatakiwa ufike saa moja kabla maana uwepo saa 10 Alfajir station sasa uamke labda saa 9 au saa 8 inategemea unaishi wapi, hapo utaingia gharama zingine usafiri wa usiku kwenda kituo na tunajuwa bei itakuwa juu sababu huna option nyingi za kukufikisha kituo.
Kuna haja ya hizi ratiba zilenge kufanya wepesi kwa wateja na kupunguza stress za mtu kuwaza niamke saa ngapi, usafiri alfajir nitapata kweli? je nikipata shida barabarani nitapata usafiri mbadala... Naomba TRC waje na ratiba ilyoenda shule na yenye ushawishi.
Ma bus yapo muda wowote alfajiri saa 2, 3 4,5,6 mpaka saa 8 na usiku yapo option ziko zote hapa naongelea SGR na sijasema wafute alfajir ila waweke option zaidi ya moja hata mbili tu sawa.Mbona mabasi yapo kuanzia saa 9 alfajiri mpaka 11. Kuna watu watapanda treni wafike dom mapemaa ili wawahi sehemu nyengine kwa haraka.
Ndege unafunga mkanda wakati wa kuruka na kutua, ukiwa angani safari inaendelea sio lazima kufunga, ndiomaana kuna hadi siti za kulalaKati ya ndege na train ipi ina risk ndogo zaidi?
Safi. Pongezi kwa kila aliyohusika kulifanikisha hiliShirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.
Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂
Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..
Tena ni kushuka na kupandaKwahiyo moro kushuka ni dakika tano tu. Watanzania walivyokuwa wavivu hivi
Kama kawaida wachawi huwa hamkosekani.Baada ya mwaka au miaka miwili huo muda utazidisha mara 3