SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
Ila hawa watu. Mwanzo ya Morogoro ilikuwa hivyo hivyo watu wakalalamika wakaweka saa tatu. Sasa kweli napand express kuna sababu gani ya kuamka saa 10? Basi hata waweke ingine saa tatu,nne au saa sita mchana.
 
Ndio, si kwa class au,
Ila class ya chin ni 12,

Mfano Dom kuna tren ya 31k ila ipo ya 120K pia, kwa hio ni kupima uwezo wako tu
Hapana hio ya 13k kuna muda inakua 20 sasa na hawasemi mpaka uende physically
Ni ecenomy zote
 
Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.

Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂

Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..

atukuzwe Mungu kwa ajili ya hii reli kwa kweli. imetuheshimisha sana kama nchi na itarahisisha sana maisha.
 
Huu ni ubishi sasa treni zinakua mbili kuna express na kawaida na nauli zinakua mbili ila wanazo zipromote ni za aina moja
Sasa ushaambiwa tren mbili,
Kwan umelazimishwa kupanda ya bei kubwa ? Mbona unalalamika sanaa?
 
Mbeleni watu wanaoishi Ruvu ,Soga wafikiriwe hata kwa kuwepo kwa behewa lao maalum hata la kusimama na viti vichache..hii itasaidia watu kukaa nje ya Dar na kuwahi kazini..yote kwa yote KUDOs kwa serikali na TRC k
 
Mbeleni watu wanaoishi Ruvu ,Soga wafikiriwe hata kwa kuwepo kwa behewa lao maalum hata la kusimama na viti vichache..hii itasaidia watu kukaa nje ya Dar na kuwahi kazini..yote kwa yote KUDOs kwa serikali na TRC k

Taja KUDOs Magufuli acha unafiki
 
Wajitahidi huu mradi usife mapema angalau hata miaka 5 tu..

Na kama wataona mapema wanaendesha mradi huu kwa hasara
basi wapewe haraka WAWEKEZAJI.
 
Kwahiyo moro kushuka ni dakika tano tu. Watanzania walivyokuwa wavivu hivi
 
Back
Top Bottom