Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
hivi kwanini fare wameifanya siri?
kwanini hamna safety belts?
Fare zjlitangazwa mwanzo nadhani ni LATRA wale...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kwanini fare wameifanya siri?
kwanini hamna safety belts?
Ujinga wa Mtanzania.Kwanini?
Kuna track moja tu ya reli,treni hazipishani mpaka kwenye vituo maalum. Wakisema waongeze frequency ya treni basi itakua hapatoshi kila dakika kadhaa tusimame isubiriwe nyengine ipite.Ma bus yapo muda wowote alfajiri saa 2, 3 4,5,6 mpaka saa 8 na usiku yapo option ziko zote hapa naongelea SGR na sijasema wafute alfajir ila waweke option zaidi ya moja hata mbili tu sawa.
Treni zinapishana station. Umbali mrefu tu ni masuala ya logistics treni zinafika kwenye hizo station muda sawa hivyo hakuna kupoteza muda. Sio sababu ya kutokuwa na treni nyingi.Kuna track moja tu ya reli,treni hazipishani mpaka kwenye vituo maalum. Wakisema waongeze frequency ya treni basi itakua hapatoshi kila dakika kadhaa tusimame isubiriwe nyengine ipite.
Sasa zikija train za mizigo? Hapana ndugu yangu kama hilo ndio linakutia shaka basi wasingefanya train Dom to Dar na Dar to Dom zote zinaondoka asubuhi kwa kupishana nusu saa hivi mbona hakuna shida, kuna system inawekwa kuhakikisha train zinatembea muda wote. Juzi serikali imesema hata ikija private sector mtu anataka kutumia SGR wataruhusu sasa zitapishana kivipi? mfumo upo kuwezesha yote haya nikuwa tu hatutaki kufikiri sana.Kuna track moja tu ya reli,treni hazipishani mpaka kwenye vituo maalum. Wakisema waongeze frequency ya treni basi itakua hapatoshi kila dakika kadhaa tusimame isubiriwe nyengine ipite.
Au sio 🤣🤣🤣Acha uongo, bei wametangaza hadi wamechoka
ulitaka uende saa ngapi?Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni