spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Wewe umeona ni sawa kuweka ratiba alafu bei mpaka ufungue linkUmepewa link ukate ticket. Nenda huko kaangalie bei. Ila Dodoma bado hawajaweka.
Ordinary 31,000/-Wewe umeona ni sawa kuweka ratiba alafu bei mpaka ufungue link
Na unafaham kama kutakua na utofaut wa bei za express na ordinary?
Ila hawa watu. Mwanzo ya Morogoro ilikuwa hivyo hivyo watu wakalalamika wakaweka saa tatu. Sasa kweli napand express kuna sababu gani ya kuamka saa 10? Basi hata waweke ingine saa tatu,nne au saa sita mchana.Hili suala la kuanza safari saa 11:30 alfajiri hadi leo nashindwa kulielewa, maana hata kama ni suala la kuwahi mkutano nitakuwa nasinzia ovyo mkutanoni si pay attention, kila kitu nakubali kwa sababu ya uchovu na kukosa usingizi, kwa kuwa niliamka saa 8 asubuhi kuwahi treni
numbers never lieBaada ya mwaka au miaka miwili huo muda utazidisha mara 3
Ndio, si kwa class au,Seems hujapanda hizo train
Unajua kuna fare ya 20k Dar moro?
Hapana hio ya 13k kuna muda inakua 20 sasa na hawasemi mpaka uende physicallyNdio, si kwa class au,
Ila class ya chin ni 12,
Mfano Dom kuna tren ya 31k ila ipo ya 120K pia, kwa hio ni kupima uwezo wako tu
Ukikata online muda wote ipo 13, lin ulikuta 20 ?Hapana hio ya 13k kuna muda inakua 20 sasa na hawasemi mpaka uende physically
Ni ecenomy zote
Ordinary 31,000/-
Express 100,000/- na 120,000/-
Huu ni ubishi sasa treni zinakua mbili kuna express na kawaida na nauli zinakua mbili ila wanazo zipromote ni za aina mojaUkikata online muda wote ipo 13, lin ulikuta 20 ?
atukuzwe Mungu kwa ajili ya hii reli kwa kweli. imetuheshimisha sana kama nchi na itarahisisha sana maisha.Shirika la reli nchini, Tanzania Railways Corp limefanya kweli kwa kutoa ratiba ya safari za treni Dar-Dom zitakazoanza Julai 25 na sasa kwa treni ya mwendokasi utaweza kusafiri kwa masaa 3.25 kutoka Stesheni, Dar es Salaam mpaka Dom. Usafiri wa mabasi ya mikoani kawaida hutumia masaa nane.
Nawaona wafanyabiashara wanavyoenda kupunguza gharama za hoteli na Lodge, saa nne anaingia zake Kariakoo na kusubiri treni ya 11 jioni arudi Dom. Nawaona pia wale ndugu zetu waliohamishwa na Magu wakirudi kutembelea familia Ijumaa jioni🙂
Ukipiga hesabu za muda wa check in na umbali wa Airport ya Dar kutoka centre ya mji, kimahesabu ya rasilimali muda na fedha inaweza kuwa ahueni kwenda kukwea treni kuliko pipa..
wewe ndio wale wachawi wa maendeleo.Baada ya mwaka au miaka miwili huo muda utazidisha mara 3
Sasa ushaambiwa tren mbili,Huu ni ubishi sasa treni zinakua mbili kuna express na kawaida na nauli zinakua mbili ila wanazo zipromote ni za aina moja
Sana lo. Maendeleo hayana chama
Mbeleni watu wanaoishi Ruvu ,Soga wafikiriwe hata kwa kuwepo kwa behewa lao maalum hata la kusimama na viti vichache..hii itasaidia watu kukaa nje ya Dar na kuwahi kazini..yote kwa yote KUDOs kwa serikali na TRC k