SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

Sijawahi ona huo mkataba mimi ila naamini Rais wetu ni mtu mzalendo Sana,

So let's hope the best
 
Kwa Sasa Malori yanabeba mizigo mingi,

Factor, Ni Reli ya Meter gauge haina tofauti sana na Gari,

So they choose either of
 
Mimi sina mkuu kama unao lete tuujadili hapa,

Mimi nimeonesha analysis yangu hali itakuwaje hapo baadae nimeishia hapo,
Basi uwe makini sana

Kama hata wewe huo mkataba hujauona basi uwe makini sana hii nchi ni yetu mkileta uhuni tunawaloga tu mjifie huko
 
Utapiga je Pesa wakati mchina anakusanya mapato yote,pole pole alikuwa sawa tena sana.
Faida ya kusafirisha mizigo ndani na nje ya Tanzania ni kubwa kuliko ile kupakua mizigo,

Wachina watapata nasisi tutapata pia,

Bandari hii mpya itakuwa yapili baada ya ile ya Durban SA,
 
Akili kisoda sana hii
 
Faida ya kusafirisha mizigo ndani na nje ya Tanzania ni kubwa kuliko ile kupakua mizigo,

Wachina watapata nasisi tutapata pia,

Bandari hii mpya itakuwa yapili baada ya ile ya Durban SA,
Entebbe ipo chini ya nani Sasa hivi unajua?
Licha ya tishio la ugaidi Uganda unajua kwann mpaka Sasa Museven yupo TZ?
Ukijua hilo utajua kwann bandari ya Bagamoyo ni upuuzi KWA sasa
 
Entebbe ipo chini ya nani Sasa hivi unajua?
Licha ya tishio la ugaidi Uganda unajua kwann mpaka Sasa Museven yupo TZ?
Ukijua hilo utajua kwann bandari ya Bagamoyo ni upuuzi KWA sas

Hebu fafanua vizuri Mkuu
 
Unajua mpango mikakati wa Reli?
Hivi huo uchumi mnasomeaga wapi nyinyi?
Kweli reli ikikamiliki ndo malori yatapaki?


Umewahi ona Dunia Gani hiyo,Acha mawazo ya kikoloni weweee
Sasa Yataendelea kubeba nini?
 
Kwani hizo contena zitabebwa na hiyo Reli mpaka mlangoni KWA tajiri?

Je ni mikoa yote Reli imepita?
Mimi nilimaanisha Local & Transit, Haya Malori ya vichochoroni yanaishaje mkuu?
 
Kaja kuomba hela huyo akakwamue uwanja wa ndege huo,na ndo sababu ya kuja wangu wangu TZ.
KWA tishio la ugaidi lilotokea,Museven asingeweza kuja haraka namna hii akaiacha nchi Zaid ya siku3
Daaah, Ila namwini sana Mama, Anawatu wazalendo sana, So relax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…