Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hii imekaaje kwamba SGR inapakia abiria wa kutoka Dar kushukia Pugu halafu kuna watu wanaolalamika kukosa nauli za Dar kwenda Morogoro na Dodoma! Dar Kwenda Pugu si kuna ile treni ya Mwakyembe na Daladala? TRC inaelewa kweli inachokifanya?
Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria wa ruti za Dar-Morogoro na Dodoma kwanza, waondoe ruti ya Dar-Pugu na wanaoenda vitu vya karibu kama Soga na Ruvu wakate tiketi masaa mawili kabla treni kuondoka, vinginevyo hizi taarifa za kwamba SGR inajaza sana itakuwa ni mbwembwe tu zisizo na mashiko.
Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria wa ruti za Dar-Morogoro na Dodoma kwanza, waondoe ruti ya Dar-Pugu na wanaoenda vitu vya karibu kama Soga na Ruvu wakate tiketi masaa mawili kabla treni kuondoka, vinginevyo hizi taarifa za kwamba SGR inajaza sana itakuwa ni mbwembwe tu zisizo na mashiko.