SGR inapakia abiria wa Dar kushukia pugu na kuna malalamiko ya kukosa tiketi!

SGR inapakia abiria wa Dar kushukia pugu na kuna malalamiko ya kukosa tiketi!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hii imekaaje kwamba SGR inapakia abiria wa kutoka Dar kushukia Pugu halafu kuna watu wanaolalamika kukosa nauli za Dar kwenda Morogoro na Dodoma! Dar Kwenda Pugu si kuna ile treni ya Mwakyembe na Daladala? TRC inaelewa kweli inachokifanya?

Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria wa ruti za Dar-Morogoro na Dodoma kwanza, waondoe ruti ya Dar-Pugu na wanaoenda vitu vya karibu kama Soga na Ruvu wakate tiketi masaa mawili kabla treni kuondoka, vinginevyo hizi taarifa za kwamba SGR inajaza sana itakuwa ni mbwembwe tu zisizo na mashiko.

20240816_075334.jpg
 
Hii imekaaje kwamba SGR inapakia abiria wa kutoka Dar kushukia Pugu halafu kuna watu wanaolalamika kukosa nauli za Dar kwenda Morogoro na Dodoma! Kwenda Pugu si kuna ile treni ya Mwakyembe? TRC inaelewa kweli inachokifanya?

Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria wa Dar kwenda Morogoro na Dodoma kwanza, waondoe kituo cha Pugu na wanaoenda vitu vya karibu kama Soga na Ruvu wakate tiketi masaa mawili kabla treni kuondoka, vinginevyo hizi taarifa za kwamba SGR inajaza sana itakuwa ni mbwembwe tu zisizo na mashiko.

View attachment 3071393
Kuweka vituo vya Pugu,Msoga na Ngerengere sio kosa mkuu.
Ila kama ni hivyo itatakiwa uwepo ukaguzi wa tiketi kama ilivyo kwenye metre gauge.
Maana kwenye metre gauge huwa kila baada ya muda kituo kikifika tiketi inakaguliwa na kama tiketi huna ama umevuka kituo unachajiwa pesa.
Haina namna itabidi iwe hivyo.
Kwasababu wapo wanaopandia Pugu ambao ni wakaazi wa Gongo la mboto,ukisema ukitoe itakua mtihani.
Japo suala la kukagua tiketi kila mara nalo kidogo laweza likaleta discomfort fulani ila lifanyike kiustaarabu tu,kila behewa moja mkaguzi mmoja anatosha,na zikaguliwe kila baada ya kuvuka kituo kimoja.
 
Kuweka vituo vya Pugu,Msoga na Ngerengere sio kosa mkuu.
Ila kama ni hivyo itatakiwa uwepo ukaguzi wa tiketi kama ilivyo kwenye metre gauge.
Maana kwenye metre gauge huwa kila baada ya muda kituo kikifika tiketi inakaguliwa na kama tiketi huna ama umevuka kituo unachajiwa pesa.
Haina namna itabidi iwe hivyo.
Kwasababu wapo wanaopandia Pugu ambao ni wakaazi wa Gongo la mboto,ukisema ukitoe itakua mtihani.
Japo suala la kukagua tiketi kila mara nalo kidogo laweza likaleta discomfort fulani ila lifanyike kiustaarabu tu,kila behewa moja mkaguzi mmoja anatosha,na zikaguliwe kila baada ya kuvuka kituo kimoja.
Huo usumbufu sasa wa kukaguana kaguana🙆🙆🙆
Wa njiani wawe na behewa lao, wakaguliwe huko.
 
Huo usumbufu sasa wa kukaguana kaguana🙆🙆🙆
Wa njiani wawe na bebewa lao, wakaguliwe huko.
Mh sasa hiyo nayo kusema wa njiani na behewa lao mtawapa kazi watoa huduma.
Kama mkaguzi akiwa mmoja mbona sio usumbufu dada!?
Ikifanyika hivi walau hata wiki moja au mwezi italeta hofu watu hawatakua wakifanya huo ubadhilifu tena wakihofia kukaguliwa.
 
Mh sasa hiyo nayo kusema wa njiani na behewa lao mtawapa kazi watoa huduma.
Kama mkaguzi akiwa mmoja mbona sio usumbufu dada!?
Ikifanyika hivi walau hata wiki moja au mwezi italeta hofu watu hawatakua wakifanya huo ubadhilifu tena wakihofia kukaguliwa.
Ni rahisi katika ukaguzi abiria wa kituo kimoja wakiwa katika mabewaha yao maalumu
 
Mh sasa hiyo nayo kusema wa njiani na behewa lao mtawapa kazi watoa huduma.
Kama mkaguzi akiwa mmoja mbona sio usumbufu dada!?
Ikifanyika hivi walau hata wiki moja au mwezi italeta hofu watu hawatakua wakifanya huo ubadhilifu tena wakihofia kukaguliwa.
Sasa watoa huduma si ndilo jukumu lao waliloajiriwa kwalo!! Kwahiyo ni bora kumsumbua abiria kila baada ya kituo, "naomba tiketi yako"!!!
 
Kuweka vituo vya Pugu,Msoga na Ngerengere sio kosa mkuu.
Ila kama ni hivyo itatakiwa uwepo ukaguzi wa tiketi kama ilivyo kwenye metre gauge.
Maana kwenye metre gauge huwa kila baada ya muda kituo kikifika tiketi inakaguliwa na kama tiketi huna ama umevuka kituo unachajiwa pesa.
Haina namna itabidi iwe hivyo.
Kwasababu wapo wanaopandia Pugu ambao ni wakaazi wa Gongo la mboto,ukisema ukitoe itakua mtihani.
Japo suala la kukagua tiketi kila mara nalo kidogo laweza likaleta discomfort fulani ila lifanyike kiustaarabu tu,kila behewa moja mkaguzi mmoja anatosha,na zikaguliwe kila baada ya kuvuka kituo kimoja.
Nulivyomuelewa ntoa mada,kituo cha ougu kwa treni toka dar abiria waeuhusiwe kupanda tu sio kushuka,unapandahe SGR ushukie pugu,??
 
Zile tiketi waweke katika mfumo wa kuscan unapoingia kama pale stesheni unapojiandaa kuoanda treni, na unaposhuka unascan tena, ikiwa tiketi yako inaonesha mwisho ni ngerengere na umeshukia moro, basi inakugomea kutoka mule ndani inabidi ulipe nauli ya ziada. Ikiwa tiketi yako ni ya pugu na umeshukia dar, basi ushindwe kutoka mpaka ulipie kiasi cha safari uliyozidisha
 
Nulivyomuelewa ntoa mada,kituo cha ougu kwa treni toka dar abiria waeuhusiwe kupanda tu sio kushuka,unapandahe SGR ushukie pugu,??
Sahihi kwa Dar kituo cha Pugu iwe ni kupanda tu na kushuka kwa abiria wanaotoka Dodoma na Morogoro, sio kupakia Abiria kutoka Dar kwenda Pugu, pugu kwenda soga, soga ruvu n.k Kifupi hizo ruti fupi za daladala na treni ya Mwakyembe wangeziondoa, ruti zianzie hiyo ya kati ya 9,000 na ndefu tu.
 
Kuweka vituo vya Pugu,Msoga na Ngerengere sio kosa mkuu.
Ila kama ni hivyo itatakiwa uwepo ukaguzi wa tiketi kama ilivyo kwenye metre gauge.
Maana kwenye metre gauge huwa kila baada ya muda kituo kikifika tiketi inakaguliwa na kama tiketi huna ama umevuka kituo unachajiwa pesa.
Haina namna itabidi iwe hivyo.
Kwasababu wapo wanaopandia Pugu ambao ni wakaazi wa Gongo la mboto,ukisema ukitoe itakua mtihani.
Japo suala la kukagua tiketi kila mara nalo kidogo laweza likaleta discomfort fulani ila lifanyike kiustaarabu tu,kila behewa moja mkaguzi mmoja anatosha,na zikaguliwe kila baada ya kuvuka kituo kimoja.
Waondoe tu hizo ruti fupi za daladala kwa sasa, wajikite kwenye ruti za kati na ndefu ili kuondoa vurugu zisizo za lazima.
 
Hii imekaaje kwamba SGR inapakia abiria wa kutoka Dar kushukia Pugu halafu kuna watu wanaolalamika kukosa nauli za Dar kwenda Morogoro na Dodoma! Kwenda Pugu si kuna ile treni ya Mwakyembe? TRC inaelewa kweli inachokifanya?

Mimi nafikiri SGR kwa sasa ingewapa kipaumbele abiria wa Dar kwenda Morogoro na Dodoma kwanza, waondoe kituo cha Pugu na wanaoenda vitu vya karibu kama Soga na Ruvu wakate tiketi masaa mawili kabla treni kuondoka, vinginevyo hizi taarifa za kwamba SGR inajaza sana itakuwa ni mbwembwe tu zisizo na mashiko.

View attachment 3071393
Tiss
Wako wapi
Kuanzia bundi au ngedere kukwamisha safari mpaka masuala haya yanayoendelea naamini zote hizi ni hujuma sasa kwanini watu wasishughulikiwe kwa userious ili iwe mfano
Kuna mtu mwenye uchungu na mabilioni yaliyotumika kwenye huo miradi kweli
au ndiyo aletwe mwekezaji tuwape watu faida tu kizembe
Kuna wakati natamani ningekuwa rais
 
Tiss
Wako wapi
Kuanzia bundi au ngedere kukwamisha safari mpaka masuala haya yanayoendelea naamini zote hizi ni hujuma sasa kwanini watu wasishughulikiwe kwa userious ili iwe mfano
Kuna mtu mwenye uchungu na mabilioni yaliyotumika kwenye huo miradi kweli
au ndiyo aletwe mwekezaji tuwape watu faida tu kizembe
Kuna wakati natamani ningekuwa rais
Sio kila kitu ni hujuma, mambo mengine kama haya ni wizi na utapeli tu ambao unatakiwa kushughulikiwa na TRC pamoja na polisi.
 
Kama hao wafanyakazi wa TRC hawakufikiria mambo rahisi kama haya mapema sijui hata wanalipwa kwa kazi gani!
Ndio watengeneze mifumo sasa ijulikane nani anashuka kituo fulani ikiwezekana wawe wanatangaziwa kabisa abiria fulani fulani kituo chako fulani shuka ukileta janja janja tukikudaka faini ni Hela nyingi au unaenda ndani
 
Back
Top Bottom