SGR inapakia abiria wa Dar kushukia pugu na kuna malalamiko ya kukosa tiketi!

Mkagua tiketi awe mmoja kivipi? Kwamba hawana hela ya kuajili? Acheni kujilemaza akili. Umeleta mada yenye mashiko. Japo kosa lako ni kutotaka hao wa njiani wapande. Pengine kwenye ujenzi wa banda la abilia,ndo kuna changamoto. Kwa nini wasibuni au wanunue teknologia ya ku alert siti. Hii simple tu mbona. Waweke behewa la polisi. Akikamatwa mtu kavuka kituo,awekwe humo,arudishwe Dar,basi. Mpaka utakapopatikana utaratibu mwingine. Maana hata wo Dodoma anaweza akakata ya Morogoro
 
Nauli zipangwe kwa route, Dar to Moro Na Dar to Dom.
 
Nafkiri hii ndo solution
 
Mkuu hili ndo suluhisho, wasipo fanyia kazi hili ndani ya mwezi mmoja, basi baada ya mwaka tutatafuta muwekezaji
 
Hawa majamaa wakamlipe Abood Kimbinyiko Klm Express etc wapate semina ni jinsi gani wana dhibiti tiketi za abiria wa njiani
 
Hawa majamaa wakamlipe Abood Kimbinyiko Klm Express etc wapate semina ni jinsi gani wana dhibiti tiketi za abiria wa njiani
Nje ya nchi huwa wanaenda kupiga picha tu? Huwa hawana cha kujifunza waendapo? Hawajaadapt mfumo?

Au ndio incompetent (kwa sauti ya Profesa Assad)
 
Hujaelewa mkuu pia umechanganya sana mada.
Kama umefuatilia mlolongo wa wa mjadala nilisema kuwa vituo vya njiani ni muhimu kwasababu havitumiki tu kushukia wapo wanaopandia Pugu ambao ni wakazi wa Gongo la mboto,huwezi ukamwambia aende Posta ilhali Pugu ipo karibu.
Ila waweke wakaguzi wa tiketi katika kila behewa awepo mkaguzi mmoja ILI KUONDOA DISCOMFORT.
Yani kila behewa moja mkaguzi mmoja,sio kama kwenye treni za Mgr behewa moja wakaguzi 6-7 inaleta kiusumbufu fulani na kuleta discomfort.
Ila kama ukiweka mkaguzi mmoja katika kila behewa moja sio tabu.
Laa sivyo kituo cha karibu zaidi Pugu wakati wa kutoka Dar kiwe cha kupandia na wakati wa kurudi kiwe cha kushukia.
 
Kukazia hoja yako, wangetoa ticket zenye rangi. Kila kituo na rangi yake. Pengine ingesaidia.
 
Wizi wa wananchi alafu serikali inalaumiwa kumbe kila mtu mwizi
Sio kiongozi wala raia wote wezi
Ndio maana nasema kikubwa amani
Maisha kila mtu apambanie
 
Issue ndogo inafunguliwa thread zaidi ya kumi. Hio ni kazi ya TRC kukagua tiketi. Sio issue ya kitaifa.
 
Hao hao watendaji wa Sgr ndio wahujumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…