SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.


Ninung'unikie unavyovishabikia? You can keep them as am not that stupid. For your information, my wish is for your god to have his second term (akitolewa anaweza akaja mpumbavu mwingine tena na watu watasema ngoja tumpe nafasi Kwa kuwa Watanzania ni docile). Ila akibaki kila
Mtanzania (hata awe mburula kiasi gani) atafunguka kutoka kwenye ujinga alionao based on the actual circumstances. Leo hii petty theft imeongezeka, polisi wanapewa rushwa wafumbie macho uhalifu (nikitaka kuiba Leo hii nitamsingizia mtu ninaetaka kumuibia UCHADEMA na polisi watamsulubu ili nifanikiwe baadae tugawane). A bigger scale crime is on the way, na kila mtu (including wewe muimba mapambio na mkata viuno) ataathirika one way or the other. Shangilieni Leo na mkate Sana viuno Ila mtajua tunachowaambia muda si mrefu ujao.
 
Maybe now some people will believe what i have been trying to tell them!
Mismanagement of that project cannot be pinned down to WB. Same thing is happening to BRT. Same thing will happen to the SGR only the losses will be massive.
You have a point.
 
SGR inafeli halafu na KQ nayo inafeli
Mombasa port nayo inafeli .
Njaa kila kona ya nchi .
Slums kibao kama hell .
Halafu wanaleta ngendembwe hapa eti"Tanzanians show us your estates " shabaash!!! Estates shit .
A failed state
Kunyaland
It is better to remain silent and be thought a fool than to open one's mouth and remove all doubt.
 
Nyinyi wanjanja unjanja wenu umewafikisha wapi? Hata Rais dhaifu kama kikwete hamukuweza kumuondoa..Kaeni kimya mtawalwe na wajinga sababu werevu wenu ni bure
 
Acha kelele nyingi, nenda kapime DNA ya mtoto wako kwanza, umepigwa bao wewe, kwa akili mbovu kiasi hicho, hakuna mwanamke atakubali kuzaa na wewe.
 
SGR inafeli halafu na KQ nayo inafeli

Mombasa port nayo inafeli .

Njaa kila kona ya nchi .

Slums kibao kama hell .

Halafu wanaleta ngendembwe hapa eti"Tanzanians show us your estates " shabaash!!! Estates shit .

A failed state

Kunyaland

Na Sisi tujiulize pia.
Biashara zinafungwa, exports zinasinyaa. Private sector inabanwa ili serikali ifanye biashara

ATCL hata audited accounts zake tangu 2014 hatujawahi kuziona (na CAG anasema haruhusiwi kuzikagua) Kwa hiyo hatujui na hatuwezi kujua actual performance zake

SGR haijamalizika na hatuna uhakika kuwa itakamilika (serikali haina pesa hadi inashindwa kuwapa increments wafanyakazi wake na kushindwa kuwalipa wastaafu)

Korosho tumeshindwa kuuza. Tumeua soko la korosho na mbaazi. BRT aka Mwendokasi tumeshindwa kuuendesha (tulianza na electronic tickets na baadae electronic seasonal na periodic cards ila leo hii zote hazifanyi kazi)

Question: who should really be worried between us and them "nyang'aus"?

My fellow Tanzanians, wake up from your slumber. Nchi inaangamia.
 
Wewe umeshindwa hata kumzalisha mkeo, watu wamekusaidia, mbona hushangai hilo?
 
yani mkikuyu akili timamu leo unajitetea na hao wazungu...eti hta america wanaimba mapambio...si ni wale mnaosema wazungu niya yao ni kuiangusha tanzania kisa nynyi ni mfumo wenu ni wa ujamaa kenya ni capitalist...hvi leo imekuwa vile mnaimba mapambio kisa america nao wanaimba..bwahahaaa..

zero brain kabisa
 
SGR inafeli halafu na KQ nayo inafeli

Mombasa port nayo inafeli .

Njaa kila kona ya nchi .

Slums kibao kama hell .

Halafu wanaleta ngendembwe hapa eti"Tanzanians show us your estates " shabaash!!! Estates shit .

A failed state

Kunyaland
kumbe ile thread ya estates imekuumiza ..nenda kw ile ya barabara pia...huhuuu...mombasa port ni kubwa hta kuliko hzo port za magu...bwahahaaa...njaa tz mko kw denial...
 
Wewe umeshindwa hata kumzalisha mkeo, watu wamekusaidia, mbona hushangai hilo?

Naomba ulete proof ya hiki ulichokiandika hapa. Na usipoleta ushahidi BASI UKIRI KUWA KILA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKIRI KUWA MAGUFULI, WEWE NA WOTE WENYE AKILI KAMA ZAKO HAWAJUI WAYASEMAYO.
Am waiting
 
kumbe ile thread ya estates imekuumiza ..nenda kw ile ya barabara pia...huhuuu...mombasa port ni kubwa hta kuliko hzo port za magu...bwahahaaa...njaa tz mko kw denial...

Relax. Much as I would like my country to be tops the sad fact is we have a moron for a president
 
Naomba ulete proof ya hiki ulichokiandika hapa. Na usipoleta ushahidi BASI UKIRI KUWA KILA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAPASWA KUKIRI KUWA MAGUFULI, WEWE NA WOTE WENYE AKILI KAMA ZAKO HAWAJUI WAYASEMAYO.
Am waiting
braza....huyo kashindwa...anataka kujeuza mada...mwisho ataanza matusi na kukuvua uraia...nakwambia ukiendelea kuwachoma utaitwa mkenya hapa
 
Ndo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!
Hayo ni mawazo ya kijinga tu....mbona nchi za magharibi zinasonga mbele wakati viongozi wao wanaondoka muda ukifika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…