SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

Leta ushahidi.


Nasubiri ushahidi.
Kumbe ushahidi ni kitu muhimu sana kwako sio?. Hizi story unazotutapikia umeshaweka ushahidi?. Kama ambavyo unataka kutuaminisha kwamba unachosema bila ushahidi ni fact, basi na wewe amini ninachokuambia kuwa ni fact, hakuna sababu ya kuomba ushahidi.
 
Kumbe ushahidi ni kitu muhimu sana kwako sio?. Hizi story unazotutapikia umeshaweka ushahidi?. Kama ambavyo unataka kutuaminisha kwamba unachosema bila ushahidi ni fact, basi na wewe amini ninachokuambia kuwa ni fact, hakuna sababu ya kuomba ushahidi.

Nilikupa link ya website ya World Bank (kuna doumentation ya miradi yote na background yake) hutaki kusoma. Unataka screenshot! Utajifunza vitu vingi sana kwenye hiyo library if you wish to that is. Uliniambia mimi "ni muongo kwa kuwa uliipitia hiyo document na haina reference ya SGR". Nikakuuliza hivi: "hiyo document ina maelezo gani" Hujajibu hadi muda huu.

Kama nilivyomwambia mwenzako mmoja hapa; nawe ninakuambia sasa: Mtu yeyote ambae ni ccm apologist leo hii HAWEZI ku-face facts. Mmezoea UONGO na UZUSHI. Hakuna kiumbe ninachokifahamu dunia hii kisichotaka kuuishi ukweli kama nyie wana ccm (naandika ccm badala ya CCM kwa kuwa genge hili linalojiita ccm limekosa uhalali wa kuitwa jina hilo in caps). Mtu kutoka nje akisoma sifa zenu kwa mungu wenu atadhani nchi hii ni perfect, hakuna shida hata kidogo. But as the Zimbabweans have been saying: we live here and we know what difficulties we are going through.

Huwa hamjibu hoja, why? HAMNA FACTS ZA KU-BACK UP. And what do you resort into? MATUSI. I am always amused when someone resorts to foul language, because by doing that they admit that you have a point AND THEY HAVE NONE. Zero, zilch!

HAKUNA SIKU HATA MOJA niliyomsikia kiongozi wa serikali hii ya ccm anaekiri kuwa kuna makosa yalifanyika - labda kama anaongelea serikali za nyuma (as if wote ni wageni na/au chama kingine kilikuwa kinaongoza hizo serikali).Kama hamkosei why we all these problems?

You are free to believe what you wish.
 

Kuna msemo maarufu usemao kwamba," Namba hazidanganyi". Hesabu za mapato na matumizi yanaonyesha kwamba, SGR ya Kenya haina uwezo wa kuzalisha hata gharama za uendeshaji kwa mwaka ambayo kwa sasa ni Kshs 12B. Hii ni kutokana na ukweli kwamba imetengeneza 5.8B ndani ya kipindi cha zaidi mwaka mmoja kiasi ambacho ni chini ya 50% ya gharama za uendeshaji. Jambo la kuogopesha zaidi ni kwamba trains zaidi ya 12 kwa siku zimekua zikifanya kazi.

David Ndii, alishawahi kuekeza Mara nyingi sana kuhusu " viability & profitability " ya huu mradi na alishauri kwamba badala ya kujenga reli mpya, ni bora kukopa pesa kidogo ili kufufua reli ya zamani. Maneno yake yametimia:
1) SGR imesababisha Kenya kuwa na deni kubwa linalolipwa na kodi ya wananchi
2) SGR haiwezi kujiendesha, jambo linalolazimisha serikali kutoa pesa za wananchi ili kugharamia gharama za uendeshaji, mwaka Jana pekee serikali ilitoa 6.2B kufikia hasara.
3) Sasa hivi ndio serikali imeona umuhimu wa kufufua reli ya zamani ili kuunganisha na SGR, jambo ambalo litaongeza sana gharama za uendeshaji na usafirishaji kutokana na gharama za kushusha na kupandisha pale Naivasha.
Wewe ni gunia
Unataka faida zianze kuonekana direct?
Ndio maana mko poor hadi waleo...
Sgr yetu ni long term investment,
Faida zitaanza kuonekana 2023 hapo...or mybe much earlier.
Iyo time tutakuwa tunapitisha more than 50trains...
Now ni 12...
Tukianza ilikuwa 1.
Note the progress....
Si unaamka one morning ukipitisha matarajio ya 5yrs within a month!
 
Wewe ni gunia
Unataka faida zianze kuonekana direct?
Ndio maana mko poor hadi waleo...
Sgr yetu ni long term investment,
Faida zitaanza kuonekana 2023 hapo...or mybe much earlier.
Iyo time tutakuwa tunapitisha more than 50trains...
Now ni 12...
Tukianza ilikuwa 1.
Note the progress....
Si unaamka one morning ukipitisha matarajio ya 5yrs within a month!
Braza usisahau kabisa Kenya hamna utajiri wakumsaidia hata jirani $500M you r just nowhere close to the rich country ...
Ukianza kusema Tz ni poor jua hata ninyi bado sana kufikia level Za utajiri...
Meza iyo pill
 
No wonder unamuabudu Magufuli. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika ulichoandika hapa.
You know what? You guys get irritated when you are faced with hard and undisputable facts, just like your god Magufuli. And what happens when you are faced with truth? Mnatukana, mnapiga watu risasi, mnawasweka rumande on trumped up charges etc etc.
But facts will always remain facts. And one of these is; mungu wenu is incompetent and has absolutely no clue on how to manage the country. Everything he touches - tangu akiwa waziri- has always failed miserably. Najua hampendi kuambiwa ukweli but that's the reality.
1. Alivunja mikataba ya ujenzi (Rombo - Tarakea na Ile ya Wazo), serkali ikalipa fidia
2. Aliendesha kampeni aliyoiita "magari ya serikali yaliyochukuliwa na watu binafsi" bila kufanya utafiti (na angekuwa na akili angejua kuwa hao watu walikopeshwa hayo magari na serikali hiyo hiyo). Serikali ikalipa fidia.
3. Kivuko cha Bagamoyo eti kupunguza msongamano, billions of shillings lost.
4. He has destroyed export channels of most traditional crops including coffee, cotton, tobacco and cashew nuts.
The list goes on and on.

Hata mkitukana, mkaimba mapambio ya kumsifu, the facts will remain facts. Ndio Rais pekee hadi Leo ambae serikali yake (pamoja na kudhulumu watu) anashindwa kulipa salary increments achilia mbali kuongeza mishahara.
Tuna Rais wa ajabu kupata kutokea.
Raisi yupi aliwah kua mzuri Tz? Ambae hana miyeyusho?unaweza kua sahihi kabisa lakini nipe mfano wa raisi ambae alifanya wonders nchi hii
 
Vipi kuhusu hii article, pia nimeandika David Ndii?, kama train 12 kwa siku zinazalisha 50% ya gharama za uendeshaji, maana yake zinahitajika 24 trains kwa siku ili kufikisha gharama za uendeshaji, sasa hiyo ni reli au barabara?
[emoji23] [emoji23]
 
No wonder unamuabudu Magufuli. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika ulichoandika hapa.
You know what? You guys get irritated when you are faced with hard and undisputable facts, just like your god Magufuli. And what happens when you are faced with truth? Mnatukana, mnapiga watu risasi, mnawasweka rumande on trumped up charges etc etc.
But facts will always remain facts. And one of these is; mungu wenu is incompetent and has absolutely no clue on how to manage the country. Everything he touches - tangu akiwa waziri- has always failed miserably. Najua hampendi kuambiwa ukweli but that's the reality.
1. Alivunja mikataba ya ujenzi (Rombo - Tarakea na Ile ya Wazo), serkali ikalipa fidia
2. Aliendesha kampeni aliyoiita "magari ya serikali yaliyochukuliwa na watu binafsi" bila kufanya utafiti (na angekuwa na akili angejua kuwa hao watu walikopeshwa hayo magari na serikali hiyo hiyo). Serikali ikalipa fidia.
3. Kivuko cha Bagamoyo eti kupunguza msongamano, billions of shillings lost.
4. He has destroyed export channels of most traditional crops including coffee, cotton, tobacco and cashew nuts.
The list goes on and on.

Hata mkitukana, mkaimba mapambio ya kumsifu, the facts will remain facts. Ndio Rais pekee hadi Leo ambae serikali yake (pamoja na kudhulumu watu) anashindwa kulipa salary increments achilia mbali kuongeza mishahara.
Tuna Rais wa ajabu kupata kutokea.

Please avail us with the evidence, #2
 
Wewe ni gunia
Unataka faida zianze kuonekana direct?
Ndio maana mko poor hadi waleo...
Sgr yetu ni long term investment,
Faida zitaanza kuonekana 2023 hapo...or mybe much earlier.
Iyo time tutakuwa tunapitisha more than 50trains...
Now ni 12...
Tukianza ilikuwa 1.
Note the progress....
Si unaamka one morning ukipitisha matarajio ya 5yrs within a month!
Hahahahaha, train sio gari kuweza kupitisha idadi yoyote, hata gari zikiwa nyingi zinasababisha jam, train yenu ni njia moja, hizi train 50 zitapita wapi?. Failed state ninyi.
 
Unless you are in your twenties, you should remember this. Anyway; you wanted evidence here it is.


I've gone through this article above, between and under the lines, no any loss or damage seen. The exercise was good and fruitful like the one which was done in early 2000's.
 
Nilikupa link ya website ya World Bank (kuna doumentation ya miradi yote na background yake) hutaki kusoma. Unataka screenshot! Utajifunza vitu vingi sana kwenye hiyo library if you wish to that is. Uliniambia mimi "ni muongo kwa kuwa uliipitia hiyo document na haina reference ya SGR". Nikakuuliza hivi: "hiyo document ina maelezo gani" Hujajibu hadi muda huu.

Kama nilivyomwambia mwenzako mmoja hapa; nawe ninakuambia sasa: Mtu yeyote ambae ni ccm apologist leo hii HAWEZI ku-face facts. Mmezoea UONGO na UZUSHI. Hakuna kiumbe ninachokifahamu dunia hii kisichotaka kuuishi ukweli kama nyie wana ccm (naandika ccm badala ya CCM kwa kuwa genge hili linalojiita ccm limekosa uhalali wa kuitwa jina hilo in caps). Mtu kutoka nje akisoma sifa zenu kwa mungu wenu atadhani nchi hii ni perfect, hakuna shida hata kidogo. But as the Zimbabweans have been saying: we live here and we know what difficulties we are going through.

Huwa hamjibu hoja, why? HAMNA FACTS ZA KU-BACK UP. And what do you resort into? MATUSI. I am always amused when someone resorts to foul language, because by doing that they admit that you have a point AND THEY HAVE NONE. Zero, zilch!

HAKUNA SIKU HATA MOJA niliyomsikia kiongozi wa serikali hii ya ccm anaekiri kuwa kuna makosa yalifanyika - labda kama anaongelea serikali za nyuma (as if wote ni wageni na/au chama kingine kilikuwa kinaongoza hizo serikali).Kama hamkosei why we all these problems?

You are free to believe what you wish.
Ndio sababu nikasema, wewe uwezo wako wa akili ni mdogo sana. Mimi ninakuomba uweke ushahidi ili niuutumie katika mjadala wetu hapa, wewe unatoa reference ili nikasome ndio humo ndani nichambue.

Sasa sikiliza, nenda katafute kadi ya kliniki aliyotumia mkeo akiwa mja mzito angalia EDD, kisha angalia tarehe aliyojifungua, na uangalie rhesus factor ya mtoto wako, ndio utaamini haya ninayokuambia kwamba mtoto sio wako.
 
I've gone through this article above, between and under the lines, no any loss or damage seen. The exercise was good and fruitful like the one which was done in early 2000's.

🤣Are you really that dumb?
 
Unaiaibisha hiyo Avatar unayoitumia.

Maisha ya wazimbabwe ni tofauti na ya Tanzania, wao walikuwa na wazalishaji wakubwa wachache wakati sisi wazalishaji ni wengi wadogo wadogo, hivyo ni rahisi kuuchezea uchumi wa Zimbabwe kuliko wetu.

Kwa akili yako ndogo unaamini kila kitu wanachosema WB?

Ile reli tutaimalizia wenyewe ndiyomana 95% ya wajenzi ni sisi.
Mnasahau mno, Magu alisema tunaanza na fedha yetu, watatukuta njiani kwa sababu walikataa kutoa mkopo, watakatupa mashariti ya ajabu. Na wameshaanza kuwasiliana na wachina kuhusiana na mkopo
 
Mnasahau mno, Magu alisema tunaanza na fedha yetu, watatukuta njiani kwa sababu walikataa kutoa mkopo, watakatupa mashariti ya ajabu. Na wameshaanza kuwasiliana na wachina kuhusiana na mkopo
Yapi Merkez wanajenga phase 1 & 2 wanaweza pewa phase 3 mpaka Isaka. Baada ya hapo tunaweza jenga wenyewe.
 
Thank you very much. Which means now Magufuli anachokifanya ni kuua 97% of employment na 75% of investment. What then will happen to the economy of the country?
Mm nmeeelewa sana point zako na idea zako ..ingawa unaonesha una bias..bado kwenye swala kwamba anaua private sector..niambie anavyoiua.?
1.Katoa Kodi nying za Kilimo
2.Kahakikisha wachimbaji wadogo wana maslahi
3.SgR unahis anajenga ..unahis itamsaidia nan kama sio private sector
4.Hii miradi ya Barabara ..kupanua bandari na airports zote hizo ni for private sector zi thrive
5.Private sector haziwezi ku thrive bila supportive infrastructure

Nmeelewa na ni vizur ku question kama SGR ya Tz italipa...na hili swala ni la kuchukulia serious..inabid kwa miaka hii ..Goverment..ihakikishe inasupport investors wa kutosha ku invest kwa kujenga viwanda ..Morogoro na Dodoma maeneo karbia na Reli ..kwa hapa hili swala ni muhimu kabsa
 
This is our actual problem in Tanzania; creating fiction and publicising it as truth. Tangu Fastjet waondoke bei ya ticket imepanda mno. On average kipindi Fastjet wapo KIA - Dar ilikuwa inagharimu chini ya laki 2 one way ukikata tiketi ndani ya wiki (Ilikuwa 115,000) ukifanya booking mapema zaidi. Leo hii utakuwa na bahati kupata tiketi ya laki 2. Unaiita hiyo advantage?
Ongea na facts .mkuu...ndio serikali haippatii kila kitu ila usiwe na bias
Screenshot_20190603-025006.jpg
 
Back
Top Bottom