randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 621
Uko vizuri mkuuUsitumie maneno makali dhidi yake, anahitaji msaada kwa sasa. Lakini lazima tuangalie eneo ambalo angalau twaweza kumpa credit, anapangilia vizuri hadithi zake hata kama hazina mantiki, aya zimepangiliwa vizuri, na pia uandishi kwa ujumla ni mzuri ukiachilia content ambazo mara zote ni shida. Kama kuna mdau humu anamfahamu tuungane tutafute jinsi ya kumsaidia ili awe asset kwa jamii na familia. Lakini tukiishia kumtukana atakuwa "Liability"
tusamehe mkuu tatizo anachekesha mnoUsitumie maneno makali dhidi yake, anahitaji msaada kwa sasa. Lakini lazima tuangalie eneo ambalo angalau twaweza kumpa credit, anapangilia vizuri hadithi zake hata kama hazina mantiki, aya zimepangiliwa vizuri, na pia uandishi kwa ujumla ni mzuri ukiachilia content ambazo mara zote ni shida. Kama kuna mdau humu anamfahamu tuungane tutafute jinsi ya kumsaidia ili awe asset kwa jamii na familia. Lakini tukiishia kumtukana atakuwa "Liability"
Usitumie maneno makali dhidi yake, anahitaji msaada kwa sasa. Lakini lazima tuangalie eneo ambalo angalau twaweza kumpa credit, anapangilia vizuri hadithi zake hata kama hazina mantiki, aya zimepangiliwa vizuri, na pia uandishi kwa ujumla ni mzuri ukiachilia content ambazo mara zote ni shida. Kama kuna mdau humu anamfahamu tuungane tutafute jinsi ya kumsaidia ili awe asset kwa jamii na familia. Lakini tukiishia kumtukana atakuwa "Liability"
Chizi karogwa tena.
Siamini kama huyu kisandu ana matatizo!!.. mtu mwenye matatizo hawezi kupangilia matukio kwa usahihi namna hii.. nafikiri huyu jamaa ana akili nyingi sana ila ameamua tu kutuchezea akili