Shabiki maarufu wa Simba Nabii Meja atangaza kuhamia Yanga rasmi

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Kwa mnaotazama na kusikiliza EA radio na EATV muda huu, Huyu aliyekuwa shabiki kindakindaki wa simba ametangaza rasmi kuhamia Yanga.

Karibu sana kwenye kambi ya ushindi, Karibu kwenye kambi ya makombe! Karibu kwa MABINGWA! Kila mtu huzaliwa mwananchi ni ujeuri tu na kukengeuka huwapeleka kwingine😄

Ni suala la muda Mo dewji naye ataunga mkono juhudi.

 
Hahaha sema kwa yanga ya Sasa hutumii nguvu sana kuipenda we team inacheza kwenye intensity Ile Ile mechi karibuni nne
 
Kweenye kuamini, kupenda,kuamua,kutenda kila binadamu ana maamuzi yake binafsi kwaaajili ya nafsi yake kikubwa yasimkere mwenzake. tunamtakia kila la kheri ktk timu yake mpya.
 
Huko watabaki mbumbumbu tu in the name of Rage
 
Matatizo ya afya ya akili!!
 
Ndio nani huyo? Kwa mara ya kwanza nimeshindwa kumfahamy mtu maarufu anaeripotiwa jf?
Anajiita Nabii Meja, huwa anashiriki kwenye kipindi cha michezo East Africa Radio, kinachoanza saa 6 kamili mpaka saa 7 kamili mchana. Huyo jamaa huwa ni mtata na ana misimamo sana, ninapata ukakasi kama amehama kwa dhati kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…