King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Safi sana Nabii Meja ,bado Mjata Mjata na Mzee Mwenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo uchukue ya Azam!Nipe ya yanga kwanza, nikiendelea kutafakari🤣
Nataka ya yanga bwana 😀Njoo uchukue ya Azam!
Basi bibie nimeshindwa mie, hata kama ikitokea nimekwenda sehemu nikakuta hakuna nguo na niko uchi, nitavaa hata majani kama jezi za Bush stars lakini sio jezi za Yanga!!Nataka ya yanga bwana 😀
Huu ni uchawi mkuu🤣🤣Basi bibie nimeshindwa mie, hata kama ikitokea nimekwenda sehemu nikakuta hakuna nguo na niko uchi, nitavaa hata majani kama jezi za Bush stars lakini sio jezi za Yanga!!
Ndio uhalisia huo, maana kama ingekuwa uchawi usingeona maandishi yangu, kwani uchawi unaonekana?!Huu ni uchawi mkuu🤣🤣