Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Totoo ulifichwa wapi?We totoo rudi 'home of champions'
Shabiki wa ukweli hahami timuKwa mnaotazama na kusikiliza EA radio na EATV muda huu, Huyu aliyekuwa shabiki kindakindaki wa simba ametangaza rasmi kuhamia Yanga.
Karibu sana kwenye kambi ya ushindi, Karibu kwenye kambi ya makombe! Karibu kwa MABINGWA! Kila mtu huzaliwa mwananchi ni ujeuri tu na kukengeuka huwapeleka kwingine😄
Ni suala la muda Mo dewji naye ataunga mkono juhudi.
View attachment 3070590View attachment 3070591
Kuhama timu ni usanii kama ulivyousanii mwingine!!Inawezekanaje kuhama timu?🤔 Nilijaribu kuhama Yanga niende Singida kwa Guede nikashindwa
Nashangaa hii eti nayo ni habari😀Ndio nani huyo? Kwa mara ya kwanza nimeshindwa kumfahamy mtu maarufu anaeripotiwa jf?
Guede mtu sana yule.Inawezekanaje kuhama timu?🤔 Nilijaribu kuhama Yanga niende Singida kwa Guede nikashindwa
Npo tele jukwaani we ndo huonekani nikawaza labda utakua kwenye thread za vocha🤣🤣🤣 Totoo ulifichwa wapi?
Umenena vema kabisaKuhama timu ni usanii kama ulivyousanii mwingine!!
Narudia tena Shabiki wa ukweli hahami timu labda kuna dili la hela amefuata. Pamoja na Arsenal kukosa kombe kwa zaidi ya miaka 20 lakini sijawahi kufikiria kuhama, hiyo ni timu ya ughaibuni ambayo nimeijulia kwenye screen tu sembuse timu nimekuwa naiona na kuipenda nihame kwa kukosa ubingwa miaka mitatu tu?Anajiita Nabii Meja, huwa anashiriki kwenye kipindi cha michezo East Africa Radio, kinachoanza saa 6 kamili mpaka saa 7 kamili mchana. Huyo jamaa huwa ni mtata na ana misimamo sana, ninapata ukakasi kama amehama kwa dhati kabisa.
Hilo linajulikana kuwa atakuwa ana maslahi sehemu ndo maana amehama. Arsenal na mimi ni chama langu, kuna kipindi nilijiapiza sitoifutilia tena ila nikashindwa kujizuia mpaka sasa nimeizoea naishi nayo hivyo hivyo.Narudia tena Shabiki wa ukweli hahami timu labda kuna dili la hela amefuata. Pamoja na Arsenal kukosa kombe kwa zaidi ya miaka 20 lakini sijawahi kufikiria kuhama, hiyo ni timu ya ughaibuni ambayo nimeijulia kwenye screen tu sembuse timu nimekuwa naiona na kuipenda nihame kwa kukosa ubingwa miaka mitatu tu?
Kama ana misimamo why ahame timu? May be amefanya komedi. By the way kile kipindi nikishindwa kukisikiliza huwa naona wanafanya vurugu tuu na ubishi bila kusikiluzana.Anajiita Nabii Meja, huwa anashiriki kwenye kipindi cha michezo East Africa Radio, kinachoanza saa 6 kamili mpaka saa 7 kamili mchana. Huyo jamaa huwa ni mtata na ana misimamo sana, ninapata ukakasi kama amehama kwa dhati kabisa.
Hata mimi niliacha kukisikiliza kile kipindi ni fujo ty mwandaaji uwezo wake wa kubuni umeishia kuwaita watu wale wale wafanye malumbano na wengine unaona kabisa hata mchezo wa mpira wenyewe hawauji ni washabiki oya oya tuKama ana misimamo why ahame timu? May be amefanya komedi. By the way kile kipindi nikishindwa kukisikiliza huwa naona wanafanya vurugu tuu na ubishi bila kusikiluzana.
Unaonae huyo kuna dili la hela anasiklizia huko.Inawezekanaje kuhama timu?🤔 Nilijaribu kuhama Yanga niende Singida kwa Guede nikashindwa
🤣🤣🤣🤣🤣Npo tele jukwaani we ndo huonekani nikawaza labda utakua kwenye thread za vocha