Shabiki maarufu wa Simba Nabii Meja atangaza kuhamia Yanga rasmi

Nataka ya yanga bwana 😀
Basi bibie nimeshindwa mie, hata kama ikitokea nimekwenda sehemu nikakuta hakuna nguo na niko uchi, nitavaa hata majani kama jezi za Bush stars lakini sio jezi za Yanga!!
 
Basi bibie nimeshindwa mie, hata kama ikitokea nimekwenda sehemu nikakuta hakuna nguo na niko uchi, nitavaa hata majani kama jezi za Bush stars lakini sio jezi za Yanga!!
Huu ni uchawi mkuu🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…