Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
- Thread starter
- #201
Morrison yuko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa mnakubalije kumuacha licha ya kujua kuwa hakuna kama yeye?Hakuna winga anaefikia ubora wa Morrison hapa Bongo
Hakuna adui wa kudumu kwenye Maisha ya mpira
Ktk kumbukumbu zako zinasoma bado goli??? Huyo alikuja kuwarudisha nyuma...Mpira ni ajira, ni urafiki na sio uadui. Mpira ni kama siasa tu usichukulie serious sana mienendo ya wahusika.
Morrison akirudi Yanga lazima awafunge makolo fc.
Mkataba wake umeisha na hakuna marefu yasiyo kuwa na nchaSa mnakubalije kumuacha licha ya kujua kuwa hakuna kama yeye?