Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
1997 ndio ilikuwa official recognized kama premier leagueLigi daraja la kwanza Tanzania bara
Sasa mbona kwenye data zenu za mara 27 mnataja hadi miaka ya 60s?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1997 ndio ilikuwa official recognized kama premier leagueLigi daraja la kwanza Tanzania bara
Ndio lilibakia hivyo unaweza ukaona mwenywewe hapaKwahiyo walivyokuja kwenye ligi hao, je ligi ilibakia na jina hilo hilo la bara? Je mfumo upi ulitumika kuwafanya ushirika?
Hapo kuna neno lolote lililomaanisha bara?
Ligi kuu mwaka 2003 angalia dataNipe data lilikuwa kombe lenye udhamini wa nani?
Mkuu inamaana huelewi Tanzania premier league ina maanisha nini?Hapo kuna neno lolote lililomaanisha bara?
Tukitumia hiyo hiyo screen shot unaona kuwa hao hao Malindi ni mabingwa wa Zanzibar premier league. Kwanini Malindi mwaka 1989 waonekane kuwa wamechukua kombe la Zanzibar premier league? Kama Zanzibar kulikuwa na premier league vipi upande wa bara hakukuwa na premier league yao?
Mi situmii source moja ila angalau natumia source ambazo mara zote zimepewa asilimia nyingi ya kuwa reliableLigi kuu mwaka 2003 angalia data
Shida yako unatumia source moja halafu hiyo source unayotumia kuna alama ya ku edit pale unaweza edit hata wewe saivi. Na pia hiyo source yako hawajaonesha mabingwa wa ligi kuu upande wa bara. mimi natumia source zaidi ya moja na zote zinaeleza jambo hilo hilo moja
Haya ligi ya Tanzania bara mwaka 2003 cheki msimamo
Tanzania 2003
www.rsssf.com
Utaelewa tuu. Mimi watu kama nyie mnaojichetua huwa nawapendaga sana.
Mkuu hii link yako kuna mahala imetaja bingwa au mi ndio sioni?Ligi kuu mwaka 2003 angalia data
Shida yako unatumia source moja halafu hiyo source unayotumia kuna alama ya ku edit pale unaweza edit hata wewe saivi. Na pia hiyo source yako hawajaonesha mabingwa wa ligi kuu upande wa bara. mimi natumia source zaidi ya moja na zote zinaeleza jambo hilo hilo moja
Haya ligi ya Tanzania bara mwaka 2003 cheki msimamo
Tanzania 2003
www.rsssf.com
Nijibu maswali yangu juu kuhusu Malindi tufunge mjadalaMkuu hii link yako kuna mahala imetaja bingwa au mi ndio sioni?
Sijaelewa kinacho kuchanganya wewe hapo ni kipiTukitumia hiyo hiyo screen shot unaona kuwa hao hao Malindi ni mabingwa wa Zanzibar premier league. Kwanini Malindi mwaka 1989 waonekane kuwa wamechukua kombe la Zanzibar premier league? Kama Zanzibar kulikuwa na premier league vipi upande wa bara hakukuwa na premier league yao?
Nishakujibu kuwa ligi zilikuwa zinachezwa bara na visiwani, utofauti ni kuwa wa bara walikuwa hawashiriki ligi za visiwani ila visiwani walishiriki ligi za bara ili kupata recognizationNijibu maswali yangu juu kuhusu Malindi tufunge mjadala
Sio kweli kulikuwa na ligi ya bara ambayo ilitoa bingwa upande wa bara. Na kulikuwa na ligi ya visiwani ambapo nao walitoa bingwa wa ligi kuu ya Zanzibar.Nishakujibu kuwa ligi zilikuwa zinachezwa bara na visiwani, utofauti ni kuwa wa bara walikuwa hawashiriki ligi za visiwani ila visiwani walishiriki ligi za bara ili kupata recognization
Ndio nimepaona, nawe nikuulize umepaona hapo walioandika malindi kawa bingwa wa tanzania premier league?Utaelewa tuu. Mimi watu kama nyie mnaojichetua huwa nawapendaga sana.
Haya tuje kwenye screen shot yako ya kuhusu Malindi.
Umeona hapo walipoandika kuwa Malindi walikuwa ni washindi wa Zanzibar premier league mwaka 1989?
Kulikuwa ligi ya Tanzania bara inayjutegemea, ligi ya Zanzibar inayojitegemea na kisha ligi ya muungano iliyokusanya top 3 wa ligi zote mbiliNdio nimepaona, nawe nikuulize umepaona hapo walioandika malindi kawa bingwa wa tanzania premier league?
Hiyo naweza kukufafanulia kama tu simba alivyochukua kombe la mapinduzi halafu na hili la ligi kuu aje kuchukua
Utifauti ni kwamba hii ligi ya huku bara ni kubwa na ile ya kisiwani ni changa
Mazingira kama hayo ndio yalifanyika miaka hiyo
Hata KMKM alichukua double, kisiwani na bara na ukweli wa fact hii unakuja pale unapoona katika data za bara hakuna club ya bara inayoonesha ilitwaa ubingwa katika miaka hiyo
Hizo data za kupikwa zinapwaya na ndio maana hata kimahesabu zinawagomea, yani miaka 22 nyie mnaandika 27 how come?
Haya maji maji nao mmewadhurumu ushindi wao, nao hawa mmetumia kigezo gani?
Au nao ni wazanzubar?
Maji maji hawakuwa mabingwa wa Tanzania bara walikuwa ni wa Muungano. Anza kwa kujielimisha kuhusu ligi ya muungano hapaNdio nimepaona, nawe nikuulize umepaona hapo walioandika malindi kawa bingwa wa tanzania premier league?
Hiyo naweza kukufafanulia kama tu simba alivyochukua kombe la mapinduzi halafu na hili la ligi kuu aje kuchukua
Utifauti ni kwamba hii ligi ya huku bara ni kubwa na ile ya kisiwani ni changa
Mazingira kama hayo ndio yalifanyika miaka hiyo
Hata KMKM alichukua double, kisiwani na bara na ukweli wa fact hii unakuja pale unapoona katika data za bara hakuna club ya bara inayoonesha ilitwaa ubingwa katika miaka hiyo
Hizo data za kupikwa zinapwaya na ndio maana hata kimahesabu zinawagomea, yani miaka 22 nyie mnaandika 27 how come?
Haya maji maji nao mmewadhurumu ushindi wao, nao hawa mmetumia kigezo gani?
Au nao ni wazanzubar?
Chanzo cha taarifa yako ndio huyo mnyakyusa mwandike?Sio kweli kulikuwa na ligi ya bara ambayo ilitoa bingwa upande wa bara. Na kulikuwa na ligi ya visiwani ambapo nao walitoa bingwa wa ligi kuu ya Zanzibar.
Kisha top three wa Tanzania bara wanaungana na top three wa Zanzibar na kucheza ligi ya muungano.
![]()
MIAKA 21 YA LIGI YA MUUNGANO. MIAKA 15 BILA LIGI YA MUUNGANO
NA PASCAL KABOMBE Ligi ya Muungano ilianza rasmi mwaka 1982 lengo ni kudumisha Muungano wetu na kutoa usawa wa kiuwakilishi katika mich...saidallymwandike.blogspot.com
Naomba lete chanzo chako wewe kinachoonesha mfumo wa ligi wa muungano ulikuwaje.Chanzo cha taarifa yako ndio huyo mnyakyusa mwandike?
Hivi unavyoviandika hapa vyote vimekosekana kwenye official website means ni vya kutungwaMaji maji hawakuwa mabingwa wa Tanzania bara walikuwa ni wa Muungano. Anza kwa kujielimisha kuhusu ligi ya muungano hapa
![]()
MIAKA 21 YA LIGI YA MUUNGANO. MIAKA 15 BILA LIGI YA MUUNGANO
NA PASCAL KABOMBE Ligi ya Muungano ilianza rasmi mwaka 1982 lengo ni kudumisha Muungano wetu na kutoa usawa wa kiuwakilishi katika mich...saidallymwandike.blogspot.com
Nimrkuwekea wiki umekataa, nimekuwekea miaka iliyotajwa na club yako tuhesabu tuone kama tunapata idadi hiyo ya 27 nayo pia umekaaNaomba lete chanzo chako wewe kinachoonesha mfumo wa ligi wa muungano ulikuwaje.