Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mkuu naomba nitafutie source inayoonesha Simba amechukua ubingwa wa Tanzania bara mwaka 2002
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nitafutie source inayoonesha Simba amechukua ubingwa wa Tanzania bara mwaka 2002
Hii ni personal view nikikuambia lete source inayoonesha yanga alichukua bingwa utapendekeza source gani?mwaka 2002 Yanga alikuwa bingwa kwa Tanzania bara, Simba alikuwa bingwa kwenye ligi ya Muungano.View attachment 2224084
Simba hakuwa bingwa wa Tanzania bara alikuwa bingwa wa ligi ya muungano
Bingwa wa bara hii ndio list yake kwa mujibu wa yanga wenyeweSimba hakuwa bingwa wa Tanzania bara alikuwa bingwa wa ligi ya muunganoView attachment 2224094
Sasa kama ni hivyo umeona wameandika 22 au 23 hapo? Kwanini wameandika 27? Na sio 22?Hii ni personal view nikikuambia lete source inayoonesha yanga alichukua bingwa utapendekeza source gani?
Ningekuwa wewe ningependekeza website ya club ambayo ni official
View attachment 2224092
Unaiona buku mbili na mbii hapo?
Umeona ulivyo na akili kijinga. Umejibiwa kwa fact na ushahidi kutoka kwenye source mbali mbali saivi unahama mada unataka tujadili website. Hoja yako ilikuwa kwamba hiyo miaka inayotimiza mara 27 Yanga hakuwa bingwa nimekuelimisha unakuja na utoto wa kujadili website. Kifupi historia ya mpira wa miguu huwezi kuipindisha kwasababu watu waliocheza mpira wapo na ukisema uongo inajulikana ni uongo.Bingwa wa bara hii ndio list yake kwa mujibu wa yanga wenyewe
View attachment 2224097
Nionyeshe hiyo 2002 iko wapi hapo?
Kama unaweza kuhisi nime edit wacha nikupe link ukajionee mwenyewe Uto na takwimu za mchongo
Hahahaha aisee we utakua mdogo wa mr beanSasa kama ni hivyo umeona wameandika 22 au 23 hapo? Kwanini wameandika 27? Na sio 22?
Fact ni kwamba wamehesabia 27 kwasababu wame jumuisha pia makombe waliyoyapata kwenye ligi kuu ya Tanzania bara pekee
Hapana hapa hufanyi mjadala na mtoto namba haziongopiUmeona ulivyo na akili kijinga. Umejibiwa kwa fact na ushahidi kutoka kwenye source mbali mbali saivi unahama mada unataka tujadili website. Hoja yako ilikuwa kwamba hiyo miaka inayotimiza mara 27 Yanga hakuwa bingwa nimekuelimisha unakuja na utoto wa kujadili website. Kifupi historia ya mpira wa miguu huwezi kuipindisha kwasababu watu waliocheza mpira wapo na ukisema uongo inajulikana ni uongo.
Sasa kwanini katika miaka hiyo mingine ambayo haipo kwenye data za website ya yanga ambazo wewe unadai kuwa haijahesabiwa, Kwanini miaka hiyo tukiangalia kwenye statistics za source nyingine inaonesha ubingwa ulichukuliwa na club zingine na sio yanga?
Naomba unikumbushe ni mwaka gani ambao majimaji walianza kuchukua ubingwa?Ubingwa wa kitu gani? Kama utatafuta source ya ubingwa wa Tanzania bara lazima hiyo miaka utaona inaonesha bingwa ni Yanga.
Source 1
![]()
FAHAMU HISTORIA YA LIGI KUU YA VODACOM BARA.
HATIMAYE michuano mikubwa kabisa ya soka nchini, ijulikanayo kama Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inarejea tena kwa mara ya 51 tan...jelambaviwanjani.blogspot.com
Source 2
![]()
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965
TIMU za Simba na Yanga ndizo timu zilizochukua ubingwa mara nyingi kuliko timu nyingine nchini tangu mwaka 1965 mpaka 2017. Yanga ndiyo iliyochukua mara nyingi zaidi ubingwa huo ikifuatiwa kwa karibu na Simba ambayo zamani ilijulikana kama Sunderlanglobalpublishers.co.tz
Source 3
HISTORIA YA LIGI KUU~TANZANIA BARA. | TanzaniaTalk
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi katika harakati za kutafuta bingwa katika mwaka wake wa 49 tangu harakati za kutafuta klabutanzaniatalk.boards.net
Source 4
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965 *.1965 Sunderland (Simba SC) *.1966 Sunderland *.1967 Cosmopolitan *.1968 Yo...achombe.blogspot.com
Ubingwa wa kitu gani? Kama utatafuta source ya ubingwa wa Tanzania bara lazima hiyo miaka utaona inaonesha bingwa ni Yanga.
Source 1
![]()
FAHAMU HISTORIA YA LIGI KUU YA VODACOM BARA.
HATIMAYE michuano mikubwa kabisa ya soka nchini, ijulikanayo kama Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inarejea tena kwa mara ya 51 tan...jelambaviwanjani.blogspot.com
Source 2
![]()
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965
TIMU za Simba na Yanga ndizo timu zilizochukua ubingwa mara nyingi kuliko timu nyingine nchini tangu mwaka 1965 mpaka 2017. Yanga ndiyo iliyochukua mara nyingi zaidi ubingwa huo ikifuatiwa kwa karibu na Simba ambayo zamani ilijulikana kama Sunderlanglobalpublishers.co.tz
Source 3
HISTORIA YA LIGI KUU~TANZANIA BARA. | TanzaniaTalk
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi katika harakati za kutafuta bingwa katika mwaka wake wa 49 tangu harakati za kutafuta klabutanzaniatalk.boards.net
Source 4
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965
TUJIKUMBUSHE MABINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TANGU 1965 *.1965 Sunderland (Simba SC) *.1966 Sunderland *.1967 Cosmopolitan *.1968 Yo...achombe.blogspot.com
Ubingwa wa kitu gani?Naomba unikumbushe ni mwaka gani ambao majimaji walianza kuchukua ubingwa?
Kwani hapa tunabishana kuhusu ubingwa wa nini?Ubingwa wa kitu gani?
Unaposikia neno Tanzania bara hivi unaelewa maanake nini? Maana naona mkuu unapoteza network.View attachment 2224152
Tanzania premier league angalia mwaka 1989 hapo champion alikuwa malindi.....kumbuka hiyo ni premier league sio zanzibar tena
Lakini kwenye hizi za mchongo bingwa wa premier league alikuwa uto
View attachment 2224157
Hapa tunabishana kuhusu ubingwa wa Tanzania bara. Sasa sahihisha swali lako je unataka kujua kuhusu Maji maji kuhusiana na ubingwa wa Tanzania bara?Kwani hapa tunabishana kuhusu ubingwa wa nini?
Kwani mkuu tanzania bara si kinyume na visiwani?Unaposikia neno Tanzania bara hivi unaelewa maanake nini? Maana naona mkuu unapoteza network.
Majimaji hakuchukua ubingwa wa Tanzania premier league?Hapa tunabishana kuhusu ubingwa wa Tanzania bara. Sasa sahihisha swali lako je unataka kujua kuhusu Maji maji kuhusiana na ubingwa wa Tanzania bara?
Sasa kama tunajadili kombe la ligi ya Tanzania bara basi tuhitimishe mjadala wewe weka hapa orodha yako ya waliochukua kombe la ligi ya Tanzania bara ili tuone Yanga imechukua mara ngapi upande wa ligi ya Tanzania bara.Kwani mkuu tanzania bara si kinyume na visiwani?
Sasa mimi na wewe hapa tunajadili kuhusu kombe la ligi kuu la tanzania bara premier league usijitoe ufahamu
Ubingwa gani..yaani wa msimu gani!?Kweli ila endapo timu itakuwa na mwennendo mzuri
Ukimya wa mashabiki wa Yanga kutosema chochote kwa ujio wa manara umechangiwa na timu yao kuwa na perfomance inayo ridhisha
Lakini ukitaka kuona uadui wa kudumu upo, itokee siku simba kachukua huu ubingwa.
Nadhani hatua hiyo haitakuridhisha hata wewe, na hapo moja kwa moja manara atakuwa na moments ngumu ambazo hajawahi face kwenye carrier yake