Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

2009 yanga alichukua ubingwa?

1985 Yanga alichukua ubinngwa? na m,aji maji walichukua mwaka gani?

1989: Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa lakini hapo kongole imeenda jangwani

Na 1992 kwa mara ya pili tena malindi walichukua ubingwa lakini takwimu zimeenda jangwani

Kuanzia 1993-1995 simba alichukua mfululizo lakini hapo kwenye data zako imeonesha 1993 alichukua yanga, yani hata kwenye website ya yanga hawajaandika hiyo kitu ambayo wewe umeiweka kama references hapa

1998 ubingwa ulichukuliwa na majimaji, lakini data zako kama kawaida zinasoma yanga. Yani utafikiri hii club inamilikiwa na wakenya wazee wa kusema kila kitu chao.

2002 Simba alichukua ubingwa, haya ebu angalia tena hizo data zako hapo zilizoandika yanga alichukua ubingwa 2002

Hii aibu wameikwepa hata yanga kwenye official site ebu cheki hapa mwenyewe

Hivi unafikiri Insigne alikuwa mjinga kususia huu mjadala? unafikiri hakuona hizo data zako?
View attachment 2224019
Ww popoma watu tuna shughuli nyingi za kufanya na sio kuwepo mtandaoni muda wore

Nakuja kukupa clarification ya ubingwa Mara 27 ulivyo.....subiri nimalizie majukumu hapa
 
Ww popoma watu tuna shughuli nyingi za kufanya na sio kuwepo mtandaoni muda wore

Nakuja kukupa clarification ya ubingwa Mara 27 ulivyo.....subiri nimalizie majukumu hapa
Acha kutuongopea una shughuli gani za kufanya ofsa kukuweka busy kiasi ukose muda wa kujibu hoja hizi na wakati tunakuona online ukifanya mijadala kwenye majukwaa mengine?

Huo muda wa kushiriki mijadala kwenye majukwaa mengine umeupatia wapi?

Sema tu unajipanga kuleta uongo mwingine hivyo inakuhitaji utumie muda mwingi jikoni kuupika huo uwongo ambao nao sidhani kama unakuwa convincing

Kwa hiyo umekubali kua hizo hoja ulizojaribu kuziweka hazina mashiko?
 
Acha kutuongopea una shughuli gani za kufanya ofsa kukuweka busy kiasi ukose muda wa kujibu hoja hizi na wakati tunakuona online ukifanya mijadala kwenye majukwaa mengine?

Sema tu unajipanga kuleta uongo mwingine hivyo inakuhitaji utumie muda mwingi jikoni kuupika huo uwongo ambao nao sidhani kama unakuwa convincing

Kwa hiyo umekubali kua hizo hoja ulizojaribu kuziweka hazina mashiko?
Ww kwangu mm sio mgeni katika issue zako za unazi,nimewahi kupoteza karibu siku nzima katika kujaribu kukuelekeza jambo ila ni vile tu una kichwa kigumu
 
Scars Ww kwangu sio mgeni najua una muda mwingi wa kupiga Ngenga mtandaoni,acha wenzako kwanza tutafute riziki mzee
 
Ww kwangu mm sio mgeni katika issue zako za unazi,nimewahi kupoteza karibu siku nzima katika kujaribu kukuelekeza jambo ila ni vile tu una kichwa kigumu
Tatizo kila unaloliita tatizo unaliangalia katika upande mmoja, hata mimi ulinipotezea muda ila hunikuti nalalamika.

Ni kwasababu wote hapa tuko kwa ajili ya kupoteza muda, mtu ambaye yuko bize na mishe zake hawezi kuwa na time na JF

Na hata ulipoanza kufanya attempt za kuthibitisha madai yako ya mara 27 hukuanza kwa kulalamika ila mpaka pale nilipokuja ku dispute hoja zako kwa ushahidi ambao ni vivid
 
Benard Morrison ni kama Ex aliyeondoka kwa dharau sana na kila tulipokutana nae alitudhihaki.

Je, unakubali kumpokea Morrison katika klabu yetu tena? Morrison anaenda kucheza nafasi ya nani?
Morrison akirudi itakuwa upumbavu mkubwa sana, Africa kuna wachezaji kibao..... binafsi itabidi nipumzike kidogo , uwanjani nitaenda kwa mechi za national team tu,sinunui kits za Yanga until further notice...... itakuwa ni dharau kwa mpira wa Tz na mashabiki wa Yanga,kama ni giesiemu na uongozi ndiyo wanataka kufanya hivyo watakuwa wanarudi nyumba badala ya kusonga mbele....... Morrison hana msaada wowote,atacheza mechi 4 vizuri,mechi 26 anazingua na vituko kibao.......
 
Tatizo kila unaloliita tatizo unaliangalia katika upande mmoja, hata mimi ulinipotezea muda ila hunikuti nalalamika.

Ni kwasababu wote hapa tuko kwa ajili ya kupoteza muda, mtu ambaye yuko bize na mishe zake hawezi kuwa na time na JF

Na hata ulipoanza kufanya attempt za kuthibitisha madai yako ya mara 27 hukuanza kwa kulalamika ila mpaka pale nilipokuja ku dispute hoja zako kwa ushahidi ambao ni vivid
Sawa Mzee wa Ngenga......nisubirie nakuja
 
Hakuna winga anaefikia ubora wa Morrison hapa Bongo

Hakuna adui wa kudumu kwenye Maisha ya mpira
Halafu anacheza mechi ngapi kwa kiwango kizuri na anazingua kwa kiwango Gani? Kwa akili hizi mpira wetu ni ngumu kusonga mbele.......ubora wa mchezaji ni ndani na nje ya uwanja...... itakuwa ni upuuzi mkubwa Yanga kumsajili tena......kwanza aliisababishia hasara timu kwenye transfer yake........na aliichafua sana Brand ya Yanga
 
Halafu anacheza mechi ngapi kwa kiwango kizuri na anazingua kwa kiwango Gani? Kwa akili hizi mpira wetu ni ngumu kusonga mbele.......ubora wa mchezaji ni ndani na nje ya uwanja...... itakuwa ni upuuzi mkubwa Yanga kumsajili tena......kwanza aliisababishia hasara timu kwenye transfer yake........na aliichafua sana Brand ya Yanga
Kwahyo kwa akili zako timamu unaamini Morrison atasajiliwa Yanga tena?
 
Ni hatari sana mchezaji kama morrison kurudi Yanga, kama ninavyo mkataa manara ndivyo hivyo hivyo ninavyo mkataa huyu chizi
Na kina Manara ndiyo virus wenyewe,Manara yupo pale kwasababu ya Giesiemu tu ila hakuna anayeweza kumwamini
 
Kwa upumbavu wa Tz, anaweza kusajiliwa
Ile ilikuwa ni Kick ya kuwatoa wanayanga kwenye mada ya kuzungumzia mwenendo wa kutoa sare kwa timu yao ili kuepusha presha kwa wachezaji na ndio maana kikafanyika kitu kile Mzee

Hauoni namna Morrison anavyowaaga wachezaji wenzake kwenye mitandao na inakupa picha gani?

Topic ilikuwa ni sare za Yanga,kilichofanyika ni kuhamisha topic tu na watu waliotumika kuhamisha topic hiyo ni Manara,Bumbuli na Mwakalebela
 
Ile ilikuwa ni Kick ya kuwatoa wanayanga kwenye mada ya kuzungumzia mwenendo wa kutoa sare kwa timu yao ili kuepusha presha kwa wachezaji na ndio maana kikafanyika kitu kile Mzee

Hauoni namna Morrison anavyowaaga wachezaji wenzake kwenye mitandao na inakupa picha gani?

Topic ilikuwa ni sare za Yanga,kilichofanyika ni kuhamisha topic tu na watu waliotumika kuhamisha topic hiyo ni Manara,Bumbuli na Mwakalebela
Nalijua hilo,ila Kwa ujinga wa Tz anaweza kuja Yanga..... viongozi wetu wanaujinga mwingi sana
 
2009 yanga alichukua ubingwa?

1985 Yanga alichukua ubinngwa? na m,aji maji walichukua mwaka gani?

1989: Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa lakini hapo kongole imeenda jangwani

Na 1992 kwa mara ya pili tena malindi walichukua ubingwa lakini takwimu zimeenda jangwani

Kuanzia 1993-1995 simba alichukua mfululizo lakini hapo kwenye data zako imeonesha 1993 alichukua yanga, yani hata kwenye website ya yanga hawajaandika hiyo kitu ambayo wewe umeiweka kama references hapa

1998 ubingwa ulichukuliwa na majimaji, lakini data zako kama kawaida zinasoma yanga. Yani utafikiri hii club inamilikiwa na wakenya wazee wa kusema kila kitu chao.

2002 Simba alichukua ubingwa, haya ebu angalia tena hizo data zako hapo zilizoandika yanga alichukua ubingwa 2002

Hii aibu wameikwepa hata yanga kwenye official site ebu cheki hapa mwenyewe

Hivi unafikiri Insigne alikuwa mjinga kususia huu mjadala? unafikiri hakuona hizo data zako?
View attachment 2224019
Mkuu una chsnganya vitu. Ipo hivi kuna wakati mfumo wa ligi ulibadilika. Kukawa na ligi ya muungano ambapo bingwa wa Tanzania bara pamoja na timu mbili zinazofuatia zikijumuika na bingwa wa Tanzania visiwani pamoja na timu zinazofuatia ili kumpata bingwa wa jumla.

IMG_20220514_123212.jpg
 
Mkuu hata viongozi wanatambua now tunahitaji quality players na wanajua Morrison hana Impact kubwa akiwa kiwanjani zaidi ya kuwa Machachari tu

That's why hata kwa Simba imekuwa rahisi kuachana nae
Anacheza mechi 2 anaibwa,mechi 10 anazingua
 
2009 yanga alichukua ubingwa?

1985 Yanga alichukua ubinngwa? na m,aji maji walichukua mwaka gani?

1989: Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa lakini hapo kongole imeenda jangwani

Na 1992 kwa mara ya pili tena malindi walichukua ubingwa lakini takwimu zimeenda jangwani

Kuanzia 1993-1995 simba alichukua mfululizo lakini hapo kwenye data zako imeonesha 1993 alichukua yanga, yani hata kwenye website ya yanga hawajaandika hiyo kitu ambayo wewe umeiweka kama references hapa

1998 ubingwa ulichukuliwa na majimaji, lakini data zako kama kawaida zinasoma yanga. Yani utafikiri hii club inamilikiwa na wakenya wazee wa kusema kila kitu chao.

2002 Simba alichukua ubingwa, haya ebu angalia tena hizo data zako hapo zilizoandika yanga alichukua ubingwa 2002

Hii aibu wameikwepa hata yanga kwenye official site ebu cheki hapa mwenyewe

Hivi unafikiri Insigne alikuwa mjinga kususia huu mjadala? unafikiri hakuona hizo data zako?
View attachment 2224019
Mkuu naomba nitafutie source inayoonesha Simba amechukua ubingwa wa Tanzania bara mwaka 2002
 
Mkuu una chsnganya vitu. Ipo hivi kuna wakati mfumo wa ligi ulibadilika. Kukawa na ligi ya muungano ambapo bingwa wa Tanzania bara pamoja na timu mbili zinazofuatia zikijumuika na bingwa wa Tanzania visiwani pamoja na timu zinazofuatia ili kumpata bingwa wa jumla.

View attachment 2224075
Hesabu ni ile ile mkuu Yanga kombe hilo kachukua mara 6 huyku simba akichukua mara 5

Ambapo katika data hizo takwimu zote zimejumuishwa lakini total haiji 27

Yanga kachukua 1983, 1987, 1991, 1996, 1997 NA 2000. katika miaka hii niliyoitaja hakuna sehemu nimepinga kuhusu forgery za ubingwa

Mimi nimepinga hapo kwenye data zinazosema yanga alichukua ubingwa miaka ya 1985,1989, 1992,1993,1998,2002 na 2009

Wakati miaka hiyo niliyoitaja takwimu zinaonesha kuna club zilizochukua huo ubingwa na sio yanga kama ambavyo nyinyi mnataka mpotoshe ukweli
 
2009 yanga alichukua ubingwa?

1985 Yanga alichukua ubinngwa? na m,aji maji walichukua mwaka gani?

1989: Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa lakini hapo kongole imeenda jangwani

Na 1992 kwa mara ya pili tena malindi walichukua ubingwa lakini takwimu zimeenda jangwani

Kuanzia 1993-1995 simba alichukua mfululizo lakini hapo kwenye data zako imeonesha 1993 alichukua yanga, yani hata kwenye website ya yanga hawajaandika hiyo kitu ambayo wewe umeiweka kama references hapa

1998 ubingwa ulichukuliwa na majimaji, lakini data zako kama kawaida zinasoma yanga. Yani utafikiri hii club inamilikiwa na wakenya wazee wa kusema kila kitu chao.

2002 Simba alichukua ubingwa, haya ebu angalia tena hizo data zako hapo zilizoandika yanga alichukua ubingwa 2002

Hii aibu wameikwepa hata yanga kwenye official site ebu cheki hapa mwenyewe

Hivi unafikiri Insigne alikuwa mjinga kususia huu mjadala? unafikiri hakuona hizo data zako?
View attachment 2224019
mwaka 2002 Yanga alikuwa bingwa kwa Tanzania bara, Simba alikuwa bingwa kwenye ligi ya Muungano.
IMG_20220514_125621.jpg
 
Back
Top Bottom